Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuhamasishwa na kuleta vurugu, Wakristu wamepewa ushauri wa kiroho na wanajua kuchagua mbivu na mbichi. Huo ushauri una mashiko.
 
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano
Hivi amehubiri kipi cha vurugu kusema ati ataendesha kazi ya kupinga yale ambayo SISI WATANZANIA WENGI HATUAMINI AU?????????????? Najiuliza hivi mnasense kweli nani analeta vurugu kusema ukweli au USITISHE WATU NDIO MAANA TUNAJENGA USUGU EBU anagalia kule waalimu POLISI WALICHANA MABANGO LIKAIBUIKIA KWENYE SHAIRI!!!!!!!!!!! Use your common sense though not so common SIMPLE
 
Kusimamia haki ni pamoja na kuhakikisha waumini wanakuwa na haki ya kuwapigia kura ili kuwapata maaskofu wao akiwemo yeye badala ya kuletewa tu.Hilo kafika nalo wapi?
Kanisa la Mitume la Katoliki lina utaratibu wake elewaaaa si hatujengi maaskofu BALI MUNGU ANATUTEULIWA SABABU HILI SI KANISA LA FULANI NI Kanisa Takatifu la Mitume ni la wote UNIVERSAL CHURCH. Askofu Niwe Mugizi leo anaweza kuteuliwa akaongo Uganda, Marekani, Vatican and so on..... si changanye mambo kama hujui kaa kimya my dear...
 
Sijamtishia hapa mtanzania yeyote nimemwambia NIWEMUGIZI mwenye jina la kitusi toka rwanda
huna ubavu wa kumwambia kipenzi wa Watanzania wapenda ukweli Askofu Niwe Mugizi. Watanzania tutasema HAPANA KATIBA YA KIFISADI kwanaza mjitayarishe nchi kufilisika maana hela mlio kula itawatokea puani tuuuuuuu:A S 11:
 
“Muwe waangalifu baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi tu si za kiroho” Samuel Sitta
tunatayarisha hospitali ya Mirembe ili mambo yatakofunuliwa hakika aliyesema haya zitamruka tuuuuu!!!!!!!!!!!:A S wink::deadhorse:
 
Hawana lolote hao mikwala tu
Waliamua na kuunga mkono Slaa awe Rais
kiko wapi walishindwa, babu wamempoza kisiasa
Duh hawa jamaaa wakatoliki huwa ni noma, wakiamua jambo huwa hawarudi nyuma.

If you sideline the church hakika ypu are heading towards failure, thats for sure.

go go askofu Niwemugizi, tuko sote sawa. Tupo na wewe hatua zote!
 
mie kinachonishangaza ni ccyemu kushabikia na kushadadia katiba mpya wakati hawakuwa na thamira ya katiba mpya!
 
hili jina la huyu askofu lina walakini..
mbona limekaa kama ni BANYAMULENGE!!!! NA SIO AJABU YUKO KWENYE PAYROL YA PAUL KAGAME. na ni wazi ana hasira na JK kwa sababu ndugu zake wamehamishwa kurudi kwao na yeye alikuwa ni miongoni mwa wafaidika na wahamiaji haramu. asitake kutuletea ya rwanda na jinsi ukatoliki ulivyoratibu maangamizi ya watutsi. hapa atachemka na hilo tunamuahidi
 
Huyu askofu kanisa lake limejaa walevi wazinzi wezi nk
Na akaifanye kazi yake na si kuingilia yasio muhusu
 
hili jina la huyu askofu lina walakini..
mbona limekaa kama ni BANYAMULENGE!!!! NA SIO AJABU YUKO KWENYE PAYROL YA PAUL KAGAME. na ni wazi ana hasira na JK kwa sababu ndugu zake wamehamishwa kurudi kwao na yeye alikuwa ni miongoni mwa wafaidika na wahamiaji haramu. asitake kutuletea ya rwanda na jinsi ukatoliki ulivyoratibu maangamizi ya watutsi. hapa atachemka na hilo tunamuahidi

ewe binti mdogo jitulize ungo wenyewe umevunja hata miez 3 haijapita!
 
hili jina la huyu askofu lina walakini..
mbona limekaa kama ni BANYAMULENGE!!!! NA SIO AJABU YUKO KWENYE PAYROL YA PAUL KAGAME. na ni wazi ana hasira na JK kwa sababu ndugu zake wamehamishwa kurudi kwao na yeye alikuwa ni miongoni mwa wafaidika na wahamiaji haramu. asitake kutuletea ya rwanda na jinsi ukatoliki ulivyoratibu maangamizi ya watutsi. hapa atachemka na hilo tunamuahidi
 
ewe binti mdogo jitulize ungo wenyewe umevunja hata miez 3 haijapita!
hahaaaaaaaa. na wewe ulikulia kanisani nini???
vijana wengi mliolelewa na hawa maparoko,mapadri na maaskofu TABIA ZENU TUNAZIJUA..POLE SANA
 
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.

Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.

Siku zote nyie ccm mkikosa hoja hamuachi kukimbilia vita, mawe Mara oh wanajeshi watachukua nchi Mara uraia wa MTU. ? sh-en-zi kabisa mnawaonea sana raia wa Kagera hasa Ngara kwa kuwaita Mara wanyarwanda au warundi kama ni hivyo iacheni Ngara iamue kuwa nchi mojawapo kati ya Rwanda au Burundi na muondoe majeshi yenu huko kuliko kuwasakama kwa siasa zenu uchwara. Pyuuu!.
 
Huyu askofu kanisa lake limejaa walevi wazinzi wezi nk
Na akaifanye kazi yake na si kuingilia yasio muhusu




Tuna safari ndefu sana.
Haya yanahusiana nini na katiba?
Wewe hujui kuwa katiba inapaswa itungwe kwa umakini mkubwa kwani inaongoza pia hao walevi na wasio walevi.Wenye dini na wasio nayo.

Usipokuwa makini katiba inavuruga nchi. Hivi CCM na wewe mpiga debe wake unaona amani itaimarika endapo mwaka kesho Chama kingine kitatawala na rais wake kutumia hii katiba kuwangoa wakuu wote wa wilaya ,mikoa,wakurugenzi,mabalozi,na wakuu wa idara mbalimbali na pia kuongeza wilaya na mikoa ili awape rafiki zake nafasi hizo? Je ,CCM kikiwa chama pinzani hakitaona udhaifu wa katiba?
Acheni kushangilia watoto wanaochezea bomu kama mpira!
HII NCHI SIO YA WATAWALA WALIOPO LEO TU.
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake
Wewe ni kipofu tu,unashabikia upumbavu watakuelewa wapumbavu wenzako.Alisema Prof.Kabudi,wapumbavu hushupaa na kujaa kiburi.Ndo ninyi,ipo siku nchi hii mtaiona chungu.
 
hahaaaaaaaa. na wewe ulikulia kanisani nini???
vijana wengi mliolelewa na hawa maparoko,mapadri na maaskofu TABIA ZENU TUNAZIJUA..POLE SANA
Dull minds always talk about people while intelligent minds discuss issues. Si ajabu tumepata katiba iliyosheheni takataka ndani yake kwasababu BMK lilijaa Wajumbe wenye akili kama zako!
 
Back
Top Bottom