Thibitisha kauli yako we unayefikiri kwa kutumia makalio.Kinachokera ni kuona viongozi hao wa kiroho wakitoa matamko baada ya kushinikizwa na mtu anayeutamani urais kwa udi na uvumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha kauli yako we unayefikiri kwa kutumia makalio.Kinachokera ni kuona viongozi hao wa kiroho wakitoa matamko baada ya kushinikizwa na mtu anayeutamani urais kwa udi na uvumba
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.
Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.
Wana waumini kibao makanisani wanaojua siasa wawaachie hao wao maaskofu waendelee na kazi zao za dini.
Nadhani huyo ndugu yake na CHABURUMA, hatambui wala hafahamu kuwa kanisa katoliki lina mifumo mizuri ya kuwapata viongozi kuliko hata mifumo ya kisiasa. Alafu kuhusu KURA NA UPIGAJI KURA KUWAPATA VIONGOZI, AKASOME KITABU CHA WALAWI NA SAMWEL VITABU VYOTE VIWILI AONE JINSI AMBAVYO VIONGOZI WALIVYOPATIKANA. SIYO ANAKURUPUKA TU.Hawa Wazee wa DOGMA utawaweza?
Nadhani huyo ndugu yake na CHABURUMA, hatambui wala hafahamu kuwa kanisa katoliki lina mifumo mizuri ya kuwapata viongozi kuliko hata mifumo ya kisiasa. Alafu kuhusu KURA NA UPIGAJI KURA KUWAPATA VIONGOZI, AKASOME KITABU CHA WALAWI NA SAMWEL VITABU VYOTE VIWILI AONE JINSI AMBAVYO VIONGOZI WALIVYOPATIKANA. SIYO ANAKURUPUKA TU.
aliyeongea hayo si huyo askofu bali boss wwke lowasa
huyu askofu kwanza mkimbizi wa rwanda. usikute anafanya kazi ya kagame. askofu mzima unafunga kibwebwe kupinga jambo la kisiasa ambalo linakubalika na mamilioni ya wananchi....lazima kuna jambo!Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya.
na yatakuja tu. C mumeyataka!tunapaswa tuwe makin na hawa watumishi wa mungu wasije leta machafuko tz
labda kwanza ashuke kwenye mimbari ya kanisa na kujiunga na hiyo cdm yake. akijaribu tu kuendesha hiyo kampeni na kanzu ya uaskofu ndio atajua hapa sio rwanda.Hao wanaopiga mayowe ni watu walioshindwa. Nchi hii ni zaidi ya huyo askofu wa Rulenge
Hahahahahahahaaaaaa! What time are you talking about.
Ingekuwa anaifia dini ningeelewa lakini kuapa kuifia katiba iliyotengenezwa na binadamu ni ukafiri uliopitiliza.Huyu askofu hajui dini.
Hivi kuna mfia katiba mtakatifu hata mmoja katika kanisa katoliki?
Mimi sijaelewa, hivi ASKOFU ndiyo ana ufahamu wa waumini mpaka awahamasishe waikatae Katiba? waumini wenyewe hawawezi kuisoma Katiba na kutambua kama inafaa kupigiwa kura ya ndiyo au hapana?
Wana waumini kibao makanisani wanaojua siasa wawaachie hao wao maaskofu waendelee na kazi zao za dini.
Namuunga mkono nasubiri siku ya kupiga kura ya hapana mimi na familia yangu
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.
Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.
Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.
Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya.