Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Kinachokera ni kuona viongozi hao wa kiroho wakitoa matamko baada ya kushinikizwa na mtu anayeutamani urais kwa udi na uvumba

Kumbe EL naye haitaki hii rasim? Sasa mbona kaenda Dom? Anafanya nn?
 
unafikiri hao wanausalama wanatoka wapi?? Rais wako na mwenyekiti wa chama chako mwenyewe alienda vatican kutambika,

Mchango wao kwenye mambo ya usalama unajulikana sana lakini sio excuse ya maaskofu wachache kuutumia vibaya kuvuruga nchi please.

Iko haja ya kuheshimiana na kuujali mipaka ya utawala. Kila mtu aangalie mipaka yake inaishia wapi.Nadhani naeleweka.
 
Mchango wao kwenye mambo ya usalama unajulikana sana lakini sio excuse ya maaskofu wachache kuutumia vibaya kuvuruga nchi please.

Iko haja ya kuheshimiana na kuujali mipaka ya utawala. Kila mtu aangalie mipaka yake inaishia wapi.Nadhani naeleweka.

Naona mnakariri muda wote!! Mipaka ya Utawala ni ipi kati ya maaskofu na hao watawala washupavu??!!
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake

Unajua wee jamaa Paul Makonda sijui ndo makonda wa mitaloni unakera sana. Hii katiba ya CCM imetukera hata tusio na vyama, sasa viongozi wa dini unafikiri wanaongoza mawe? Lazima waongee mawazo yao na waamini wayapime, mie nikishawishika napiga HAPANA! Paul u have to know, hatuitaki hiyo katiba yenu! Kaitumieni kule kule chamani!!! Bored: bored: bored!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Inamaana!

Kuna mhuni mmoja hapa anadai kuwa eti EL amewadrive maaskofu kushikilia msimamo wao kuipinga hiyo rasim anayoenda kuipokea rais. Sijajua Makonda anawaza nn?japo najua yeye pia ni mfagio wa mjamaa fluani anayeutaka ukuu wa kaya.
 
Naona mnakariri muda wote!! Mipaka ya Utawala ni ipi kati ya maaskofu na hao watawala washupavu??!!

Wanajua utawala wao wa kiaskofu mwisho wake ni kwa wakatoliki wa maeneo yao ya uaskofu na sio watanzania wote nje ya maeneo yao ya uaskofu wawe wakatoliki au wasio wakatoliki.Na makanisani mwao kitabu chao kikubwa ni MISALE YA WAUMINI NA BIBLIA SIO KATIBA.
 
Askofu atangaza kufia katiba

Ingekuwa anaifia dini ningeelewa lakini kuapa kuifia katiba iliyotengenezwa na binadamu ni ukafiri uliopitiliza.Huyu askofu hajui dini.
Hivi kuna mfia katiba mtakatifu hata mmoja katika kanisa katoliki?
 
Wanajua utawala wao wa kiaskofu mwisho wake ni kwa wakatoliki wa maeneo yao ya uaskofu na sio watanzania wote nje ya maeneo yao ya uaskofu wawe wakatoliki au wasio wakatoliki.Na makanisani mwao kitabu chao kikubwa ni MISALE YA WAUMINI NA BIBLIA SIO KATIBA.

Wakatoliki hao sio watanganyika na pia hao maaskofu pia sio watanganyika!! Una kiburi cha duniani!!!
 
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.

Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.

Hawa Wazee wa DOGMA utawaweza?
 
Wakatoliki hao sio watanganyika na pia hao maaskofu pia sio watanganyika!! Una kiburi cha duniani!!!

Nchi inayoheshimu taaluma kwenye masuala ya kilimo,mtaalamu wa kilimo atakuwa ndiye msemaji,Kwenye ualimu mwalimu na Kwenye dini kiongozi wa dini atakuwa ndiye msemaji,lakini nchi iliyovurugika ukikuta askofu anaongelea siasa anaacha kuongelea dini basi ujue ni wakati muafaka wa kufungua wodi nyingi zaidi za vichaa za kulaza watu wa kawaida na maaskofu.
 
Wewe kweli mpumbavu inatosha tu kukwambia hivyo.

'Ee mungu wangu ninasadiki MANENO YOTE linayosadiki na linayofundisha KANISA KATOLIKI LA ROMA kwani ndiwe uliyefunulia hayo, nawe hudanganyi wala hudanganyiki, amina' (Katekismu ya Kanisa Katoliki, sala ya Imani).
 
Nchi inayoheshimu taaluma kwenye masuala ya kilimo,mtaalamu wa kilimo atakuwa ndiye msemaji,Kwenye ualimu mwalimu na Kwenye dini kiongozi wa dini atakuwa ndiye msemaji,lakini nchi iliyovurugika ukikuta askofu anaongelea siasa anaacha kuongelea dini basi ujue ni wakati muafaka wa kufungua wodi nyingi zaidi za vichaa za kulaza watu wa kawaida na maaskofu.

Kwa hiyo msemaji wa taaluma hata kama akiboronga hao maaskofu watakaa kimya wakiogopa kuwa upande wa siasa! Wewe kweli mshupavu!
 
'Ee mungu wangu ninasadiki MANENO YOTE linayosadiki na linayofundisha KANISA KATOLIKI LA ROMA kwani ndiwe uliyefunulia hayo, nawe hudanganyi wala hudanganyiki, amina' (Katekismu ya Kanisa Katoliki, sala ya Imani).

Wewe imani yako inasemaje!! Imani yako wewe mshupavu inakutuma kuamini nusu tu!
 
Ingekuwa anaifia dini ningeelewa lakini kuapa kuifia katiba iliyotengenezwa na binadamu ni ukafiri uliopitiliza.Huyu askofu hajui dini.
Hivi kuna mfia katiba mtakatifu hata mmoja katika kanisa katoliki?
Jaji Warioba mwenyewe ni Mkatoliki. Acha kuropoka utachekwa!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Jaji Warioba mwenyewe ni Mkatoliki. Acha kuropoka utachekwa!

Ina maana hiyo katiba aliyotengeneza mkatoliki warioba ilitengenezwa kwenye altare ya parokia ya kikatoliki kwa ajili ya wakatoliki ndio maana huyo askofu wai katoliki anafoka kuwa lazima ifwatwe?
 
Back
Top Bottom