Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

LOWASSA noma, ziara moja Maaskofu wamebadilika, na iwe hivyo ili watanzania wajionee wazi athari za siasa za LOWASSA katika nchi hii.

..! Poor Thinking Capacity. Huhitaji Kushawishiwa Na M2 Kuikataa Takataka Ya Ccm
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake
Wamechoka kila siku makanisani wanahubiria watu waache dhambi ya kusema uongo wizi n.k, ila nyie viongozi mnadanga waziwazi, na kufanya wizi mchana kweupe! wewe unategemea Askofu atasemaje? kura za siri zote mmezichakachua mchana kweupe, what kind of ballot box u r talking about?
 
Sijaharibu uzi but nilichoeleza ndio uhalisia na alichoongea Askofu Severin ndicho kilitegemewa

Ccm wameondoa maoni ya wananchi na kuweka yao ndio sababu wenye maoni yao ya kutaka wabunge wasiwe mawaziri wanapiga kelele
 
Utajua ni mwamiaji haramu au mzaliwa wa tanzania we subiri kidogo na huo ndio msimamo wa wakristo mtajuta mwaka huu.

.... Eti Jina Ni La Kitutsi? Kwani Watutsi Siyo Watu? Huyu Jamaa Anaweweseka Tu, Achana Nae
 
Aliyeongea hayo si huyo Askofu bali boss wwke Lowasa
Kaa ufahamu Lowassa ni Mlutheri na si Mkatoliki
ungeniambia Dr Slaa hapo ningekuelewa ndiye anayepinga mpaka sasa
Muhimu
Kila DINI ikishinikisha mambo yake yaongezwe hatutafuka maana hapo Waislamu hawajatamka wala Pentekoste kwa ina Kakobe bado
Huyu Askofu ana matatizo naona kwa sababu yeye sio MUNGU awalazimishe binadamu wote wavuke SHAMU wakati kuna watu wa Pharao kibao tupo nyuma huku
 
... Kuna Jamaa Anaitwa Chabruma, Anahangaika Sana Humu Ndan. Atakuwa Kada Wa Chama Cha Majangiri Ccm
 
... Nashauri Waislamu Wote Waungane Na Wakristo Kuipiga Vita Hii Takataka
 
Ni Upumbavu Kutumia Dini Kuitisha SERIKALI au Kubeba Ajenda za KISIASA NIWEMUGIZI Anaweza Kuwa na Upande wake KISIASA ni HAKI YAKE na Hajakosea, Kosa no Yeye na Wengine Kutumia Dini Kudrive Agenda za KISIASA.
Hivi na Waislamu Mfano Wakasema Bila 2 Hatukubali???
Walutheri, WAHINDU, nk nk Wakawa na MISIMAMO Yao Tofauti na Wakitoa Vitisho?????
SIASA ni Utawala wa DOLA , Utawala wa DOLA Hauwezi Endeshwa kwa UTASHI WA DINI MOJA ktk TAIFA AMBALO ni SECULAR HALINA DINI.
Ni Mpotofu Kanisa Katoliki Haliwezi Kuibulldozz SERIKALI Hata away mini wake sio Wote Wanaokubali UPUUZI HUU!
Tunawaheshimu Viongozi wa Dini KAMWE HATUWAABUDU.
Tutafuata Maelekezo Yao ya KIDINI SIO YA KISIASA.
"YA MUNGU MPE MUNGU YA KAISARI MPE KAISARI " YESU KRISTO

Acheni woga nahuko ndiko tunakoelekea Mnapoambiwa KATIBA ni Maridhiano nyie mnaelewa nini,,,,!! Hamjiulizi kwanini cku zote hao Viongoz wa DINI walikuwa kimya lkn ss hv wanapaza Sauti
 
mkuu,mimi mkatoliki safi, nimebatizwa katika Parokia ya Mtakatifu Augustino UKonga naishi Ukonga na ni muumini safi wa jumuya ya mt. CECILIA hapo hapo Ukonga. Nawaheshimu sana viongozi wangu,lakini siwezi kamwe kuungana na viongozi wangu wa dini wenye mwelekeo wa kuhatarisha aman ya nchi. Kama muumni napaswa kuyaishi mapenzi mema(yakiwemo amani na upendo) yanayofundiswa na vitabu vitakatifu vya mungu na siyo vinginevyo.

kwahiyo unataka huyo askofu nae aishi maisha kama yako ya kinafikinafiki, unashabikia hata mambo ambayo yanaathari katika jamii, uwezi kulazimisha watu wawe wa nafiki kama wewe.
 
Aisee kwa kweli Chabruma, FaizaFox, Msalani na akina Simiyu yetu bla kuwasahau akina HotLady wana michango yenye kujenga sana humu. Wengine humu wamekaa tu wanasuburi mada zenye nia mbaya na amani ya nchi yetu ndiyo utawona wanavyotoa mapovu. Hi kuna sababu yoyote ya kushabikia hii mada inayohusiana na askofu KIBWETERE?

nch ya woga hua ni nch ya wapuuz hatutajikomboa had kurud kwa mwana wa adam yesu masiha issa mwana maria na yoseph e eloi eloi lamatasabakitan
 
Huyu askofu ndo aliyeipa ushindi chadema jimbo la biharamulo -mbuge ni kijana wake toka rulenge ; kwa fitina ni mzuri.
 
Katika maneno haya hapa chini ni nini ambacho haujakielewa?

''Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya''

Nilikuwa cjasoma hii habari so ckujua km uliickia wapi aidha kwa Tv,Radio au Gazet
 
Huyu askofu ndo aliyeipa ushindi chadema jimbo la biharamulo -mbuge ni kijana wake toka rulenge ; kwa fitina ni mzuri.

... Huo Ni Mtazamo Wako, Lakin Sis Tunamkubali Sana
 
... Huo ni mtazamo wako, lakin sis tunamkubali sana

ndo aliyegoma dr slaa kulala gesti kipindi cha kampeni za uraiai 2010 na kumlaza kwenye convert za biharamulo na rulenge akidai slaa bado ni padre ana haki zote za kulindwa na kanisa
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake

Sasa Lowasa kaingiaje hapa? Kwanza inajilikaka wazi Lowasa mwenyewe amepiga kura ya ndiyo bungeni kuipitisha hiyo katiba. Nafikiri jipange vizuri na hoja zako. Hueleweki!
 
Kaa ufahamu Lowassa ni Mlutheri na si Mkatoliki
ungeniambia Dr Slaa hapo ningekuelewa ndiye anayepinga mpaka sasa
Muhimu
Kila DINI ikishinikisha mambo yake yaongezwe hatutafuka maana hapo Waislamu hawajatamka wala Pentekoste kwa ina Kakobe bado
Huyu Askofu ana matatizo naona kwa sababu yeye sio MUNGU awalazimishe binadamu wote wavuke SHAMU wakati kuna watu wa Pharao kibao tupo nyuma huku

Ndipo mnapoambiwa KATIBA ni Maridhiano sio uBABE kwani NCH zilizovurugika zimeanzaje ni sababu ya watawala na wapambe kujifanya wanajua zaidi,,,!! Mwisho wa cku inatumika gharama kubwa kuponya majeraha wakati hapa mwanzo ipo.nafasi yakutosha kurekebisha hilo
 
Kaa ufahamu Lowassa ni Mlutheri na si Mkatoliki
ungeniambia Dr Slaa hapo ningekuelewa ndiye anayepinga mpaka sasa
Muhimu
Kila DINI ikishinikisha mambo yake yaongezwe hatutafuka maana hapo Waislamu hawajatamka wala Pentekoste kwa ina Kakobe bado
Huyu Askofu ana matatizo naona kwa sababu yeye sio MUNGU awalazimishe binadamu wote wavuke SHAMU wakati kuna watu wa Pharao kibao tupo nyuma huku

Msipotoshe watu,askofu kama mtanzania yeyote yule mwenye dhamana ya kuhakikisha haki zake na za wengine zinalindwa,ameamua kuwaelimisha watz kukataa takataka zenu na Sita.
Wala hakuna maslahi ya ukatoliki anayoyalinda,bali maslahi yetu watz ambao rasimu yetu mmeiweka kapuni,mkaja na hiyo takataka yenu mnayoichezea ngoma huko Dom saa hizi.

Hivi tume ya Warioba iliundwa na kanisa katoliki?
Hivi wabongo mtaacha lini siasa hizi za majitaka hata kwa vitu sensitive kama katiba?
Nyie watu ni hatari sana!

Lengo lako hapo ni kuonyesha Askofu anapigania maslahi ya ukatoliki,ili tusio wakatoliki tusimsapoti,mtengeneze mgawanyiko kwenye jamii kubwa isishikamane,halafu nyie jamii ndogo ya kifisadi mlioshikana mshinde.Mbinu za kijasusi chafu hizi,tumezistukia,tumewachoka,kawaambieni waliowatuma humu mitandaoni,watz tumejitambua.
 
Back
Top Bottom