Ni Upumbavu Kutumia Dini Kuitisha SERIKALI au Kubeba Ajenda za KISIASA NIWEMUGIZI Anaweza Kuwa na Upande wake KISIASA ni HAKI YAKE na Hajakosea, Kosa no Yeye na Wengine Kutumia Dini Kudrive Agenda za KISIASA.
Hivi na Waislamu Mfano Wakasema Bila 2 Hatukubali???
Walutheri, WAHINDU, nk nk Wakawa na MISIMAMO Yao Tofauti na Wakitoa Vitisho?????
SIASA ni Utawala wa DOLA , Utawala wa DOLA Hauwezi Endeshwa kwa UTASHI WA DINI MOJA ktk TAIFA AMBALO ni SECULAR HALINA DINI.
Ni Mpotofu Kanisa Katoliki Haliwezi Kuibulldozz SERIKALI Hata away mini wake sio Wote Wanaokubali UPUUZI HUU!
Tunawaheshimu Viongozi wa Dini KAMWE HATUWAABUDU.
Tutafuata Maelekezo Yao ya KIDINI SIO YA KISIASA.
"YA MUNGU MPE MUNGU YA KAISARI MPE KAISARI " YESU KRISTO