Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Yeye anasema atahamasisha waumini kupiga kura ya hapana. Hiyo ni vurugu? Acha kujifanya kipofu wewe ni mkristo mwenzangu na neno linatuambia kuwa ukweli utawaweka huru nanyi mtakuwa huru kweli kweli. Sasa kama hao wasiposimama na kusema ukweli si mawe yatasema? Hakuna anayedfanya vurugu bali ni HAPANA au kwenu HAPANA = VURUGU? Huo ndio upumbavu wako ulipo. Kama hamtaki hapana basi isiitwe katiba pendekezi ipitisheni muanze kuitumia.

Ndani ya ccm hakuna mkristo wa kweli wote ni wanafiki mkuu. Imani na unafiki havichangamani hivyo huyo sio mkristo mwenzio usibabaishwe na jina kisa anaitwa Paulo.
 
Chabruma aka MAKONDA we mpuuuzi saana,kwa hiyo viongoxi wa dini wasikemee upuuz waendelee kuhubiri Aman???hovyo kabisa!!
 
Mauaji unayaongelea wewe yeye amesema anapinga katiba. Sasa kwakuwa CCM ni vipofu mnakimbilia mauaji ili kutishsa watanzania waoga na wapumbavu. Kupinga katiba kunahusiana vipi na mauaji kama sio ukenge huo?


Huyo askofu atakuwa alishiriki kuandika ule waraka uliosmwa Bungeni. Waumini tutawapuuza viongozi wa dini kama hao.
 
Chabruma aka MAKONDA we mpuuuzi saana,kwa hiyo viongoxi wa dini wasikemee upuuz waendelee kuhubiri Aman???hovyo kabisa!!

mkuuupuuzi ni upi? hata kule BMK kuliwa na viongozi wa dini, tena wastaafu ambao wamelifikisha taifa hapa kwa amani, hawa viongozi wa aina ya NIWEMGIMIZI ni wanaharakati tu, na kamwe hatutakubali watupeleke huko.
 
Duh hawa jamaaa wakatoliki huwa ni noma, wakiamua jambo huwa hawarudi nyuma.

If you sideline the church hakika ypu are heading towards failure, thats for sure.

go go askofu Niwemugizi, tuko sote sawa. Tupo na wewe hatua zote!



Naaaam! Hili jambo sassa linaelekea pazuri!
 
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.

Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.

Usiwe narrow minded kiasi hicho unajidhalilisha. Knowing something doesnt mean you have experienced it. Ulishaona katika kitabu gani cha dini viongozi wa dini wanapigiwa kura. Viongozi wa dini ni wateule na majukumu yao ni kuwaongoza waamini kimwili kulingana na utaratibu waliojiwekea. Sasa kwa taarifa yako hao viongozi wa dini kuna wakati walikuwa pia viongozi wa serikali na majeshi.
 
Ama kweli pesa mwanahatamu, Juzi tu LOWASSA ametoka kuwachochea viongozi wa dini huko Kagera, tayari wameapa kuwashawishi waumini kuitakaa Katiba? kazi mbona tunayo watanzania wazalendo.
 
Usiwe narrow minded kiasi hicho unajidhalilisha. Knowing something doesnt mean you have experienced it. Ulishaona katika kitabu gani cha dini viongozi wa dini wanapigiwa kura. Viongozi wa dini ni wateule na majukumu yao ni kuwaongoza waamini kimwili kulingana na utaratibu waliojiwekea. Sasa kwa taarifa yako hao viongozi wa dini kuna wakati walikuwa pia viongozi wa serikali na majeshi.
mimi ni mkatoliki na naungana na wewe namna ambavyo viongozi wetu wanavyopatikana, lakini kwa hili alilojitokeza na kusema atahakikisha waumini tunapiga kura ya hapana kuikataa Katiba mpya ni kinyume kabisa na maelekezo ya Katisa Katoliki.
 
Sasa hata wakiwachochea wakatae katiba,then what?.
huyu mnyarwanda anataka kuvuka mipaka
 
Duh hawa jamaaa wakatoliki huwa ni noma, wakiamua jambo huwa hawarudi nyuma.

If you sideline the church hakika ypu are heading towards failure, thats for sure.

go go askofu Niwemugizi, tuko sote sawa. Tupo na wewe hatua zote!
huyu anayemtumikia MPINGA CKISTO(ANTCHRIST) Wala hatunyimi usingizi. alitaka katiba ilipe kanisa katoliki mamlaka ya kutuchagulia raisi?? avue kanzu avae gwanda kama mwenzie mzinif....u wa karatu. halafu tukutane mtaani tumsambaratishe vibaya
 
Baba askofu Niwemugizi,naweka tofauti zangu zote na wakatoliki kando,nakuunga mkono kuhusu hilo,na wakristo wengi tukiwa sehemu ya watz wanayoitakia mema nchi yetu,tutapiga kura ya Hapana.Tutaungana kama watz,wote wakristo,waislam,wapagani,kupinga upuuzi huu wa watu wanaokula na kushiba na kuvimbewa hadi akili zinawapotea!

Siwalaumu lakini!Ukishiba kupita kiasi,tumbo likawa kubwa,huuoni utupu wako pale chini,na akili zako hivyo hivyo,hazioni utupu wake!No wonder jamaa wanafanya sherehe Dodoma kwa kituko kama hiki cha maandiko ya Sita(sisemi katiba maana haina heshima ya kuitwa hivyo).
 
Back
Top Bottom