Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye anasema atahamasisha waumini kupiga kura ya hapana. Hiyo ni vurugu? Acha kujifanya kipofu wewe ni mkristo mwenzangu na neno linatuambia kuwa ukweli utawaweka huru nanyi mtakuwa huru kweli kweli. Sasa kama hao wasiposimama na kusema ukweli si mawe yatasema? Hakuna anayedfanya vurugu bali ni HAPANA au kwenu HAPANA = VURUGU? Huo ndio upumbavu wako ulipo. Kama hamtaki hapana basi isiitwe katiba pendekezi ipitisheni muanze kuitumia.
Mauaji unayaongelea wewe yeye amesema anapinga katiba. Sasa kwakuwa CCM ni vipofu mnakimbilia mauaji ili kutishsa watanzania waoga na wapumbavu. Kupinga katiba kunahusiana vipi na mauaji kama sio ukenge huo?
Chabruma aka MAKONDA we mpuuuzi saana,kwa hiyo viongoxi wa dini wasikemee upuuz waendelee kuhubiri Aman???hovyo kabisa!!
Duh hawa jamaaa wakatoliki huwa ni noma, wakiamua jambo huwa hawarudi nyuma.
If you sideline the church hakika ypu are heading towards failure, thats for sure.
go go askofu Niwemugizi, tuko sote sawa. Tupo na wewe hatua zote!
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.
Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.
mimi ni mkatoliki na naungana na wewe namna ambavyo viongozi wetu wanavyopatikana, lakini kwa hili alilojitokeza na kusema atahakikisha waumini tunapiga kura ya hapana kuikataa Katiba mpya ni kinyume kabisa na maelekezo ya Katisa Katoliki.Usiwe narrow minded kiasi hicho unajidhalilisha. Knowing something doesnt mean you have experienced it. Ulishaona katika kitabu gani cha dini viongozi wa dini wanapigiwa kura. Viongozi wa dini ni wateule na majukumu yao ni kuwaongoza waamini kimwili kulingana na utaratibu waliojiwekea. Sasa kwa taarifa yako hao viongozi wa dini kuna wakati walikuwa pia viongozi wa serikali na majeshi.
.! Namuunga Mkona Askofu
Sasa hata wakiwachochea wakatae katiba,then what?.
huyu mnyarwanda anataka kuvuka mipaka
huyu anayemtumikia MPINGA CKISTO(ANTCHRIST) Wala hatunyimi usingizi. alitaka katiba ilipe kanisa katoliki mamlaka ya kutuchagulia raisi?? avue kanzu avae gwanda kama mwenzie mzinif....u wa karatu. halafu tukutane mtaani tumsambaratishe vibayaDuh hawa jamaaa wakatoliki huwa ni noma, wakiamua jambo huwa hawarudi nyuma.
If you sideline the church hakika ypu are heading towards failure, thats for sure.
go go askofu Niwemugizi, tuko sote sawa. Tupo na wewe hatua zote!