onechromosome
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 1,243
- 780
Nchi hailii bali kuna walioshindwa kihalali kwenye mchakato ndo wanapiga kelele. Hapa ni kelele za UKAWA na boss wao Lowasa
Lowasa alipiga kura ipi,ndio au hapana?alipiga wazi au ya siri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hailii bali kuna walioshindwa kihalali kwenye mchakato ndo wanapiga kelele. Hapa ni kelele za UKAWA na boss wao Lowasa
Sijamtishia hapa mtanzania yeyote nimemwambia NIWEMUGIZI mwenye jina la kitusi toka rwanda
Angekaa kimya msingemfikiria kama mhamiaji haramu.
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.
Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.
ngoma bado mbichi - tuwaache wafanye bwembwe zao pale dodoma ila kutawashika tu. Asante askofu tupo pamoja.Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya.
Sijamtishia hapa mtanzania yeyote nimemwambia NIWEMUGIZI mwenye jina la kitusi toka rwanda
Mbona ana jina la kitusi after all biblia kama imemshinda ataweza siasa?
Ni kweli. Ukibebwa mgongoni kunja miguu.
Kinachokera ni kuona viongozi hao wa kiroho wakitoa matamko baada ya kushinikizwa na mtu anayeutamani urais kwa udi na uvumba
Kusimamia haki ni pamoja na kuhakikisha waumini wanakuwa na haki ya kuwapigia kura ili kuwapata maaskofu wao akiwemo yeye badala ya kuletewa tu.Hilo kafika nalo wapi?
Unaongea tu wewe,ila hulijui kabsa kanisa katoliki,kuna mwanausalama gani nchi hii anayeweza kumkamata kiongozi wa kanisa katoliki??unafikiri hao wanausalama wanatoka wapi?? Rais wako na mwenyekiti wa chama chako mwenyewe alienda vatican kutambika,halafu dogo unaongea ongea tu kama ulianza kutoa miguu badala ya kichwa..nchi hii atakapotoa kauli askofu wa kanisa katoliki ni tofauti na kauli ya maaskofu uchwara wala mashehe. Katoliki wakiamua wameamua,then vichwa vya wakatoliki wengi viko flexible na asilima kubwa wameenda shule na mchango wa hilo kanisa kwenye nchi hii hauelezeki. Acha kuropoka
Aliyeongea hayo si huyo Askofu bali boss wwke Lowasa
Mimi na wakatoliki wenzangu hatuna shaka na hilo daraja la uaskofu,aliempa tunamwamini hizi ni taratibu zetu za kikanisa
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano
nyie ni wazee wa 'dogma' hakuna asiyelijua hilo.