Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano

Viongozi wa siasa wanapaswa kuiba kura, kuonga mabilion kwa wananchi ili kulinda aman ya nchi.....
 
umesahau kuwa wanatakiwa kusimamia HAKI

Kusimamia haki ni pamoja na kuhakikisha waumini wanakuwa na haki ya kuwapigia kura ili kuwapata maaskofu wao akiwemo yeye badala ya kuletewa tu.Hilo kafika nalo wapi?
 
Mbona ana jina la kitusi after all biblia kama imemshinda ataweza siasa?

una laana ya ubaguzi wewe. kama waha na wahangaza ni watusi, wafukuzeni warudi kwao. ifufueni ile kampeni yenu.
 
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.

Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.

Wacha kutishia watu mkuu hapa ni jukwaa huru,mambo ya mauaji yanatokea wapi?watanzania wa leo siyo wa kuwatishia nyau.
 
Wacha kutishia watu mkuu hapa ni jukwaa huru,mambo ya mauaji yanatokea wapi?watanzania wa leo siyo wa kuwatishia nyau.

Sijamtishia hapa mtanzania yeyote nimemwambia NIWEMUGIZI mwenye jina la kitusi toka rwanda
 
Kusimamia haki ni pamoja na kuhakikisha waumini wanakuwa na haki ya kuwapigia kura ili kuwapata maaskofu wao akiwemo yeye badala ya kuletewa tu.Hilo kafika nalo wapi?

haki hutambuliwa na katiba, sasa utuambie ni kanisa gani limeainisha hiyo haki ya kumchagua askofu kwenye katiba yake.
 
Hao wanaopiga mayowe ni watu walioshindwa. Nchi hii ni zaidi ya huyo askofu wa Rulenge

Vile vile hilo Jimbo la Rulenge liko karibu sana na Burundi na Rwanda, sitashangaa kusikia kuwa huyu askofu siyo raia bali ni Mlowezi. Yeye anaongea kama askofu, tunaomba tupate msimamo wa Kanisa Katoliki hapa nchini kupitia Muadhama Kadinali Pengo na siyo huyo kidampa tu. Ameshindwa kuishi huko kwao, tumemfuga kama mbwa halafu anataka kutuletea vuruguru za kidini hapa. Hata mbwa akipata kichaa na kung'ata watoto ni sharti afe.
 
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.

Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.

Kura ya Siri au Wazi?
 
mimi mwislamu lkn kwenye hili nipo na wakatoliki bega kwa bega...hatutaki huu wizi


Hilo ustaadh mwenzangu nakuunga mkono,taratibu nyingi zilifanywa kijanja kijanja tu,hata uteuzi wa wajumbe makundi mengi yakiwemo ya dini yanakili kwamba wajumbe waliowapendekeza hawakuteuliwa na Rais.Pia uendeshaji wake ulikuwa wa kitapeli na si wauaminifu.Aibu kubwa sana katika ngazi ya uamuzi.Watu waliopiga kura na kura zenyewe haukuwa wa kiadilifu na hauna utukufu wa Mungu.Hivyo Askofu sisi tunakuunga mkono

 
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.

Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.

Wewe kweli mpumbavu inatosha tu kukwambia hivyo.
 
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano

We Kichwan Wenyewe Hawamo,
 
"Muwe waangalifu baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi tu si za kiroho" Samuel Sitta
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake

Naona sasa rasmi umeungana na baba yako kutukana watumishi wa Mungu. Laana iwe juu yenu.
 
Back
Top Bottom