MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 403
Sijamtishia hapa mtanzania yeyote nimemwambia NIWEMUGIZI mwenye jina la kitusi toka rwanda
We Ni Miongoni Mwa Wapuuzi Wanaoleta Thread Za Kipuuzi Kabisa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamtishia hapa mtanzania yeyote nimemwambia NIWEMUGIZI mwenye jina la kitusi toka rwanda
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.
Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.
Mkuu hiyo kauli ya kuwakilisha vijana hutumiwa na Paul Makonda sio ChabrumaHujui ulisemalo halafu kauli yakusema unawakilisha vijana wa kitanzania ukome kuitumia kuhalalisha upuuzi wenu.
Ati nini???!!Makonder tulia dawa ikuingie
Wewe kweli mpumbavu inatosha tu kukwambia hivyo.
mi Naona Hilo Ni Zaidi Ya Mburula, Sijui Ni @.Mburula jingine hili hapa. Yeye kasema atahamasisha waumini kupiga kura ya hapana kwa katiba mpya. Haya ya vurugu umeyatoa wapi? Hii ni hasara kubwa sana kwenye hii nchi kuwa na makitu yaliyozoea kutisha waoga tu. Mwisho wenu unakaribia.
Kwahiyo Lowasa anapinga hii katiba pendekezwa?Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake
Vile vile hilo Jimbo la Rulenge liko karibu sana na Burundi na Rwanda, sitashangaa kusikia kuwa huyu askofu siyo raia bali ni Mlowezi. Yeye anaongea kama askofu, tunaomba tupate msimamo wa Kanisa Katoliki hapa nchini kupitia Muadhama Kadinali Pengo na siyo huyo kidampa tu. Ameshindwa kuishi huko kwao, tumemfuga kama mbwa halafu anataka kutuletea vuruguru za kidini hapa. Hata mbwa akipata kichaa na kung'ata watoto ni sharti afe.
mkuu kwani mtu huyo si alipiga kura ya ndio kabla ya kwenda kuanza ziara?Kinachokera ni kuona viongozi hao wa kiroho wakitoa matamko baada ya kushinikizwa na mtu anayeutamani urais kwa udi na uvumba
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano
Hahahahahahahaaaaaa! What time are you talking about.
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.
Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.
Nashangaa nchi ilivyogawanyika,nchi hii inakwenda kuangamia,kuporomoka kwa ulaya mashariki na sovieti ilikuwa hivi hivi,unaweza kushangaa kuna taasisi zinaendeshwa kidini tu,upinzani unadidimizwa,uwizi wa mali ya umma,upendeleo serikalini.Utashangaa katiba ya nchi inaandikwa but nchi imegawanyika.
Umesharudisha simu za watu?
Kwani Lowassa(fisadi mwizi) anaipinga katiba?Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake
Mkuu ameulizwa Paul mbona umejibu wewe?
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano