Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Goliath kamtukana Mungu acha tuone kama atashinda!!!!!!!!!!!!!!!
 
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.

Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.

Unaongea tu wewe,ila hulijui kabsa kanisa katoliki,kuna mwanausalama gani nchi hii anayeweza kumkamata kiongozi wa kanisa katoliki??unafikiri hao wanausalama wanatoka wapi?? Rais wako na mwenyekiti wa chama chako mwenyewe alienda vatican kutambika,halafu dogo unaongea ongea tu kama ulianza kutoa miguu badala ya kichwa..nchi hii atakapotoa kauli askofu wa kanisa katoliki ni tofauti na kauli ya maaskofu uchwara wala mashehe. Katoliki wakiamua wameamua,then vichwa vya wakatoliki wengi viko flexible na asilima kubwa wameenda shule na mchango wa hilo kanisa kwenye nchi hii hauelezeki. Acha kuropoka
 
  • Thanks
Reactions: jme
Wewe kweli mpumbavu inatosha tu kukwambia hivyo.

Heko,ni Mpumbavu Haswa,na Hawa Ndo Kikwazo Cha Maendeleo Ya Tz, Fikiria Hadi Mwanasheria Mkuu Ambae Ni C.C.M Tena Yupo Madarakani Kakubari Kuachia Maulaji Na Miposho Ya Mamilion Kwa Jambo Hl La Katiba Kaiona Haina Tija Anatokea Huyu Mpuuzi Kuleta Upuuzi Wake Humu.
 
Mburula jingine hili hapa. Yeye kasema atahamasisha waumini kupiga kura ya hapana kwa katiba mpya. Haya ya vurugu umeyatoa wapi? Hii ni hasara kubwa sana kwenye hii nchi kuwa na makitu yaliyozoea kutisha waoga tu. Mwisho wenu unakaribia.

mi Naona Hilo Ni Zaidi Ya Mburula, Sijui Ni @.
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake
Kwahiyo Lowasa anapinga hii katiba pendekezwa?
 
Vile vile hilo Jimbo la Rulenge liko karibu sana na Burundi na Rwanda, sitashangaa kusikia kuwa huyu askofu siyo raia bali ni Mlowezi. Yeye anaongea kama askofu, tunaomba tupate msimamo wa Kanisa Katoliki hapa nchini kupitia Muadhama Kadinali Pengo na siyo huyo kidampa tu. Ameshindwa kuishi huko kwao, tumemfuga kama mbwa halafu anataka kutuletea vuruguru za kidini hapa. Hata mbwa akipata kichaa na kung'ata watoto ni sharti afe.

Angekaa kimya msingemfikiria kama mhamiaji haramu.
 
Kinachokera ni kuona viongozi hao wa kiroho wakitoa matamko baada ya kushinikizwa na mtu anayeutamani urais kwa udi na uvumba
mkuu kwani mtu huyo si alipiga kura ya ndio kabla ya kwenda kuanza ziara?
 
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano

Umesharudisha simu za watu?
 
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.

Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.

Ebu mweke wazi huyo askofu muhamiaji haramu ajulikane hapa tumjue ili tuamini ulichosema..
 
Nashangaa nchi ilivyogawanyika,nchi hii inakwenda kuangamia,kuporomoka kwa ulaya mashariki na sovieti ilikuwa hivi hivi,unaweza kushangaa kuna taasisi zinaendeshwa kidini tu,upinzani unadidimizwa,uwizi wa mali ya umma,upendeleo serikalini.Utashangaa katiba ya nchi inaandikwa but nchi imegawanyika.

kikwete katufikisha pabaya sana hafai hata kidogo,kweli nyerere aliona mbali.
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake
Kwani Lowassa(fisadi mwizi) anaipinga katiba?
Mbona ni miongoni mwa wapiga vigelegele wenzako?


Vote No
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake

Wewe mbona umekula mlungula kumponda lowasa,na unawalisha sumu mazwazwa menzio?muache baba askofu atoe elimu kwa kondoo wake waelewe upuuzi wenu mnaolifanyia taifa hili.
 
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano

Hebu tuambie,ni wapi na kivp baba askofu amehamasisha vurugu,na utengano,na hiyo mifarakano
 
Back
Top Bottom