Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Kwani wewe ukikereka kuna hasara gani kwa taifa?
BTW Fungua uzi wako uendelee kumsakama Lowasa acha kuharibu huu uzi.
Sijaharibu uzi but nilichoeleza ndio uhalisia na alichoongea Askofu Severin ndicho kilitegemewa
 

Wewe ndio una mawazo ya kipumbavu.
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano
 
Sioni kitufe cha Like Mkuu, Pokea Like x1,000... Na Wakatoliki tukisimama bega kwa bega na Waislamu ndipo serikali itakapojua waamuzi ni wananchi wala sio kina Makonda.

Nimempa kwa niaba yako mkuu. Simwelewi Rais wangu, si ilikuwa hizi shughuli zisitishwe tarehe 4 oct ili Rais ajaye aje aendelee?
 
Akiamua kuingia siasa tunamwambia karibu ila asije piga yowe.Sababu tuna uzoefu wa maaskofu katoliki kuongoza na kuleta vurugu hasa Rwanda na kusababisha mauaji ya kimbari.Vurugu zikilipuka ajue hatatambuliwa kama askofu hakuna mwenye muda huo.Ajue vita haina macho nondo na mawe yakianza kurushwa yatarushwa hadi kwenye kiti chake na kofia lake la Uakofu.

Lakini tunajua kuwa kuna maaskofu ambao ni wahamiaji haramu ambao wanataka kulipa kisasi kwa kutimuliwa ndugu zao kwa kisingizio cha katiba mpya.Wametumwa. Na huyo kama ni kweli KASEMA atakuwa ametumwa na M23.Vyombo vya Usalama mzingireni hadi kwenye kitanda anacholala.

Mburula jingine hili hapa. Yeye kasema atahamasisha waumini kupiga kura ya hapana kwa katiba mpya. Haya ya vurugu umeyatoa wapi? Hii ni hasara kubwa sana kwenye hii nchi kuwa na makitu yaliyozoea kutisha waoga tu. Mwisho wenu unakaribia.

 
angalieni linyani hili la kike nalo likitoa maoni. ivi wewe chabruma aka makonda wa uvccm huoni nchi nzima ikilia mchakato huu kufanywa na ccm kwa manufaa ya ccm haifai na wewe unakejeli. kweli makonda hufai hata kujumuika katika jamii ya wtatanzania
Nchi hailii bali kuna walioshindwa kihalali kwenye mchakato ndo wanapiga kelele. Hapa ni kelele za UKAWA na boss wao Lowasa
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake

AS LONG AS YEYE ASKOFU WA WATU BASI LZM AWAPE MWONGOZO WA KIROHO NA MAISHA YAO KWA UJUMLA. YOU BETTER KEEP QUIET. KOKOTE ATAKAPOYAONGEA WATANZANIA TUTAMFUATA. ACHAKACHUI KITU UYU TUNAMUAMINI.
MI CCM MSIJILINGANISHE NA UYU BABA. NYIE NI WEZI MNAONUKA KT JAMII. IMAGINE MMEKUWA WEZI ATA KTK KURA MAREHEMU SHIDA SALUM MAMAKE ZITTO KAABWE NAE ATI KAPIGA KURA KT BMK MNANUKA SANA SHOMBO LA UKE NYIe CCM
 
Nchi hailii bali kuna walioshindwa kihalali kwenye mchakato ndo wanapiga kelele. Hapa ni kelele za UKAWA na boss wao Lowasa

Chabruma hii sasa it is too much hata kama unahongwa.Umewadanganya wasanii na makundi mengine mtaweka haki za makundi kama wasanii kumbe mmewachomekea kipengele cha kutoenda kudai haki mahakamani.
 
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano

Yeye anasema atahamasisha waumini kupiga kura ya hapana. Hiyo ni vurugu? Acha kujifanya kipofu wewe ni mkristo mwenzangu na neno linatuambia kuwa ukweli utawaweka huru nanyi mtakuwa huru kweli kweli. Sasa kama hao wasiposimama na kusema ukweli si mawe yatasema? Hakuna anayedfanya vurugu bali ni HAPANA au kwenu HAPANA = VURUGU? Huo ndio upumbavu wako ulipo. Kama hamtaki hapana basi isiitwe katiba pendekezi ipitisheni muanze kuitumia.
 
AS LONG AS YEYE ASKOFU WA WATU BASI LZM AWAPE MWONGOZO WA KIROHO NA MAISHA YAO KWA UJUMLA. YOU BETTER KEEP QUIET. KOKOTE ATAKAPOYAONGEA WATANZANIA TUTAMFUATA. ACHAKACHUI KITU UYU TUNAMUAMINI.
MI CCM MSIJILINGANISHE NA UYU BABA. NYIE NI WEZI MNAONUKA KT JAMII. IMAGINE MMEKUWA WEZI ATA KTK KURA MAREHEMU SHIDA SALUM MAMAKE ZITTO KAABWE NAE ATI KAPIGA KURA KT BMK MNANUKA SANA SHOMBO LA UKE NYIe CCM
On top, Kanisa linamjenga binadamu kimwili na kiroho huwezi kuhudumia roho ya mtu anayekandamizwa effectively. Ndio maana wanajenga shule hospital n.k...Mbona wakifanya hayo hamsemi wameingilia siasa? Shame upon you nendeni vijijini mkaendelee kuwadanganya wabibi wauza tumbaku na ugoro.
 
Nchi hailii bali kuna walioshindwa kihalali kwenye mchakato ndo wanapiga kelele. Hapa ni kelele za UKAWA na boss wao Lowasa

Ukizidi kumtaja Lowassa kwenye huu uzi unazidi kuonekama kituko. Au majungu yameisha?
 
AS LONG AS YEYE ASKOFU WA WATU
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.

Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.
 
ukweli wa sita umewachanganya hao ni taasisi iliosajiliwa tunaweza kuifuta ikabakia kama dini tu
 
Duh hawa jamaaa wakatoliki huwa ni noma, wakiamua jambo huwa hawarudi nyuma.

If you sideline the church hakika ypu are heading towards failure, thats for sure.

go go askofu Niwemugizi, tuko sote sawa. Tupo na wewe hatua zote!

Mbona ana jina la kitusi after all biblia kama imemshinda ataweza siasa?
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake


Duh! You hate Lowassa to the core!

Ila mkuu nakupa angalizo tuu.....know how to play your politics without antagonizing others.....hata Lowassa akiupata huo Uraisi..sii kwamba utahama nchi..maisha yataendelea.

Unfortunately, While I am not a fun of fisadi Lowassa..hata wewe ni mchumia tumbo tuu..you are on the payroll of somebody to attack him..kwa hila hizo hizo za kifisadi...As if unaowahangaikia ni wasafi... I wish ungekuwa hata na credibility kidogo..BUT you are dead rotten scum with your masters who pay your bills.
 
Haitoshi tu kusema kuwa nina mawazo ya kipumbavu ilhali umeshindwa kuyaainisha. Viongozi wa kidini wanapaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano na si kuhamasisha vurugu, utengano na mfarakano

umesahau kuwa wanatakiwa kusimamia HAKI
 
Back
Top Bottom