Duh hawa jamaaa wakatoliki huwa ni noma, wakiamua jambo huwa hawarudi nyuma.
If you sideline the church hakika ypu are heading towards failure, thats for sure.
go go askofu Niwemugizi, tuko sote sawa. Tupo na wewe hatua zote![/QUOTE
Lane Unasema wakimua jambo ni noma hawarudi nyuma mbona sikuelewi?wakiamua nini?kwaninwao ni Mungu wasipingwe, hatua ya kuwaamulia watu kufanya maamuzi unaona ni sawa? mie ningekubaliana na wewe kama askofu huyo angeanzsha kampeni ya kupinga maovu kwa waumini wake ningemuelewa,kampeni ya watu kuachadhambi wamjue Mungu wa Kweli hapo ningemuunga mkono hata kwa maandamano, lakini hili la kuipinga Katiba mimi silikubali na hiyo siyo kazi yake anachepuka.