Askofu Niwemugizi amuomba Rais Samia asikubali kufananishwa na Mungu

Askofu Niwemugizi amuomba Rais Samia asikubali kufananishwa na Mungu

Nyerere alitwa mtukufu rais mpk anang'atuka na hakuna lolote lililompata.

Ni unafiki wetu tu wanadamu tunaweza kutukuza kitu kwa mdomo lakini moyoni hakuna kitu.

Uzuri hilo neno liliisha ondolewa tangu awamu ya tatu.
Umezaliwa lini wewe? Enzi za Mwalimu hata neno mheshimiwa lilikuwa halitumiki. Wote tulikuwa tunaitana "Ndugu" au Comredi tukiwaiga China na Mozambique enzi za Samora Machel.
 
Back
Top Bottom