Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Tuweke mjadala wa jinsi wewe na mimi tunavyomfahamu huyu Askofu halafu uone kama wewe hujazaliwa "MAGGOT"!!!Nafikiri wewe aliyekuzaa alikuwa katoka Club
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuweke mjadala wa jinsi wewe na mimi tunavyomfahamu huyu Askofu halafu uone kama wewe hujazaliwa "MAGGOT"!!!Nafikiri wewe aliyekuzaa alikuwa katoka Club
Asante.Washauri wa papa na warithi kiti cha petro.
Kwa sasa wanateua wenye daraja tu.
2017 papa aliteua padri kuwa kadinali toka Asia
Mkuu hebu muache huyo anatapatapa kila thread kutuonesha ni jinsi gani alivyo mjinga,,Nishakwambia huna akili na nimekuthibitishia kutokana na ujinga ulioshauri. Bad enough kubishana na mwehu kama wewe naona unanipotezea tu muda wangu.
Tuweke mjadala wa jinsi wewe na mimi tunavyomfahamu huyu Askofu halafu uone kama wewe hujazaliwa "MAGGOT"!!!
Muwe mnauliza taratibu jinsi zilivyo ndani ya kanisa katoliki sio mtu unajiandikia tu kitu usichokielewa.Asante.
Kwa maana hiyo ina maana Kadinali ana cheo zaidi ya Askofu, hivyo sitashangaa huo uamuzi wa Askofu ukiondolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuweke mjadala wa jinsi wewe na mimi tunavyomfahamu huyu Askofu halafu uone kama wewe hujazaliwa "MAGGOT"!!!
Kanisa Katoliki Jimboni Rulenge-Ngara, wamesitisha kabisa Ibada/misa. Watu wasali nyumbani! Pia amewataka waumini wajikinge na COVID-19 na kuchukua tahadhari
Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara limesema limesitisha Ibada za Misa, maadhimisho mengine yanayokusanya Waumini wengi Kanisani na sala za Jumuiya kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Aprili 19, 2020
Askofu Severine Niwemugizi wa Jimbo hilo amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kutafakari alama za nyakati na kujifunza kutoka kwa watu wa Ulaya, Marekani na nchi za jirani na hatua ambazo Baba Mtakatifu alizichukua kwa kutoa maelekezo kwa Maaskofu Wakatoliki Duniani na namna ya kuadhimisha Ibada
Amesema pamoja na kumshukuru Rais Magufuli kutotoa amri ya kufunga Makanisa na Misikiti, akihimiza kufanya ibada kumuomba Mungu atunusuru na janga hili, kama Mchungaji wa Jimbo la Rulenge-Ngara ameamua kuchukua uamuzi huo
Aidha, Askofu Niwemugizi amesema pale itakapowezekana wataomba redio Kwizera irushe adhimisho la Misa fupi na Waamini wafuatilie redioni. Baada ya mwezi kuisha Kanisa litaangalia hali ilivyo ili kama iliongeze muda
Pia, amewataka mapadre kuadhimisha misa peke yao kwa niaba ya waumini kuwaombea na kuiombea dunia ili Mungu atunusuru na #COVID19 hili na kuagiza sala za Jumuiya kufanyika ndani ya familia kwa familia moja moja
View attachment 14226
Kuna mida ni sahihi kusoma teolojia na miongozo ya mambo yahusuyo dini unayoichangia hapa.,Hebu huyu Mungu tusimchukulie vibaya,katupatia akili na utashi pia maarifa tuyatumie kwa ajili yetu na matakatifuza yake.Mungu aliagiza watu wasiache kukusanyika kumeabudu huyo askofu ni Nani Wa kutengua alichoagiza Mungu? Hana mamlaka hayo
Kukusanyika kuabudu Mungu ndie kaagiza yeye Nani Wa kukataa.
Raisi yuko sahihi sababu hayuko juu ya Mungu na kaona asitdngue alichoagiza Mungu
Raisi anaijua dini kuliko huyo Askofu
Kila askofu ana mahamuzi yake ila wote ufuata mwongozo wa papa.Hili kanisa (katoliki)halina uongoz imara??naona kila kiongozi anatoa tamko kwa anavojisikia yeye.Wameshindwa kutoa tamko kwa makanisa yote tz?yule sijui kadinar mbna yupo kmya?
Shetani mkubwa wewe!Askofu huyo akili hana alipo Mungu shetani hakajagi awe corona au Nani.Hana Mungu huyu Askofu na hajui uwezo Wa Mungu
Na hajui kanisani kuwa Mungu akiwepo hakuna corona
Askofu mpagani huyo
Shetani mkubwa ni huyo Askofu anayezuia watu wasiende kanisani kusali.Ni shetani kamili kabisaShetani mkubwa wewe!
Leo nakupa like ya manenoUamuzi sahihi, kuna mapadre 30 wamekufa pale Italia peke yake sijaongelea huko Ecuador na kwenye mataifa mengine.
Hii kitu ni hatari, ikiukuta mwili wako una matatizo mengine inafanya kumalizia tu.
Ni mpagani tu huyo Askofu
Hivi nyie hata kwenye Corona bado mnasifu na kuabudu ?!. Haa hii aibu kwa LB7 [emoji107]Mkuu hakuna mtu mchafu wa roho na mtendo kama huyu Askofu Niwemugizi. Hata uaskofu achilia mbali upadre sijui alivipataje!!!
Huwezi kuipenda Tz kwa unafki kama huo wako.
Papa mwenywe kwake kafunga mzee..ngoja uje usikie baraza la maaskofu tamko lake...walisema hakuna mwanadam anaye weza kuzuia hudumaAskofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app