Askofu Niwemugizi ni kama Desmond Tutu wa Afrika ya Kusini

Askofu Niwemugizi ni kama Desmond Tutu wa Afrika ya Kusini

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Jfteam
Taifa tuna hazina kubwa ya watu wanaofaa kuwa washauri wa viongozi wakuu.

Katika taifa letu namlinganisha Askofu Niwemugizi wa Ngara - Tanzania na hayati Archbishop Desmond Tutu wa Africa ya Kusini. Ni watu wasiojua kula maneno, kujikomba wala kujipendekeza. Mara zote huongea hisia za jamii, hushauri kwa maslahi mapana ya jamii tofauti na wengine wanajiweka karibu ya viongozi ili wachonge mzinga.

Kutokana na hali hiyo nashauri mamlaka za nchi zisikie ushauri wake kwa heshima ya kufanyia kazi shauri zao zitakumbukwa na vizazi vijavyo. Mbele yetu kuna suala la katiba mpya, watu walioko mahabusu kwa hila, ufisadi kwa baadhi ya watendaji, tume huru ya uchaguzi, matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya watendaji, nk nk

Hivyo vyote vitampa heshima kubwa Rais SSH ikiwa atavitekeleza kwa watanzania. Watanzania tumezaliwa bila vyama vya siasa sasa Siasa haiwezekani ziligawe taifa. Mama wasikilize akina Niwemugizi utabarikiwa na nchi ulojaliwa kuitawala.

# SSH kazi iendelee
# Niwemugizi ushauri uendelee
# Watanzania tuwaombee viongozi wetu.

Msakila M Kabende
Kakonko / Bukoba
 
Eti nini Askofu Niwemugizi anafanana na Askofu Desmund tutu yule mtetea mashoga na ndoa za jnisia Moja na aliyezaa nje ya ndoa na kufukuzwa uaskofu baada ya kukiri?
 
Eti nini Askofu Niwemugizi anafanana na Askofu Desmund tutu yule mtetea mashoga na ndoa za hisia Moja na aliyezaa nje ya ndoa na kufukuzwa uaskofu baada ya kukiri?
Mkuu naona una kifaa cha kupima dhambi za watu (dhambiometer)

Kiongozi mwanadamu sio Mungu udhaifu wetu ndio unadhihirisha kuwa tunamwitaji Mungu (Yesu)

Sio ajabu Mwanadamu akitenda hayo ila ni ajabu sana kama asipotubu (akikataa kuziungama)

Maana Yesu ndio anaewahesabia watu haki sio hicho kifaa chako cha midhambiometer analyser

Personal life ya mtu haimwondolei kipawa alichonacho
 
Jfteam
Taifa tuna hazina kubwa ya watu wanaofaa kuwa washauri wa viongozi wakuu.

Katika taifa letu namlinganisha Askofu Niwemugizi wa Ngara - Tanzania na hayati Archbishop Desmond Tutu wa Africa ya Kusini. Ni watu wasiojua kula maneno, kujikomba wala kujipendekeza. Mara zote huongea hisia za jamii, hushauri kwa maslahi mapana ya jamii tofauti na wengine wanajiweka karibu ya viongozi ili wachonge mzinga.

Kutokana na hali hiyo nashauri mamlaka za nchi zisikie ushauri wake kwa heshima ya kufanyia kazi shauri zao zitakumbukwa na vizazi vijavyo. Mbele yetu kuna suala la katiba mpya, watu walioko mahabusu kwa hila, ufisadi kwa baadhi ya watendaji, tume huru ya uchaguzi, matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya watendaji, nk nk

Hivyo vyote vitampa heshima kubwa Rais SSH ikiwa atavitekeleza kwa watanzania. Watanzania tumezaliwa bila vyama vya siasa sasa Siasa haiwezekani ziligawe taifa. Mama wasikilize akina Niwemugizi utabarikiwa na nchi ulojaliwa kuitawala.

# SSH kazi iendelee
# Niwemugizi ushauri uendelee
# Watanzania tuwaombee viongozi wetu.

Msakila M Kabende
Kakonko / Bukoba

Braza punguza njaa ya kiu
 
Jfteam
Taifa tuna hazina kubwa ya watu wanaofaa kuwa washauri wa viongozi wakuu.

Katika taifa letu namlinganisha Askofu Niwemugizi wa Ngara - Tanzania na hayati Archbishop Desmond Tutu wa Africa ya Kusini. Ni watu wasiojua kula maneno, kujikomba wala kujipendekeza. Mara zote huongea hisia za jamii, hushauri kwa maslahi mapana ya jamii tofauti na wengine wanajiweka karibu ya viongozi ili wachonge mzinga.

Kutokana na hali hiyo nashauri mamlaka za nchi zisikie ushauri wake kwa heshima ya kufanyia kazi shauri zao zitakumbukwa na vizazi vijavyo. Mbele yetu kuna suala la katiba mpya, watu walioko mahabusu kwa hila, ufisadi kwa baadhi ya watendaji, tume huru ya uchaguzi, matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya watendaji, nk nk

Hivyo vyote vitampa heshima kubwa Rais SSH ikiwa atavitekeleza kwa watanzania. Watanzania tumezaliwa bila vyama vya siasa sasa Siasa haiwezekani ziligawe taifa. Mama wasikilize akina Niwemugizi utabarikiwa na nchi ulojaliwa kuitawala.

# SSH kazi iendelee
# Niwemugizi ushauri uendelee
# Watanzania tuwaombee viongozi wetu.

Msakila M Kabende
Kakonko / Bukoba
Huyo Niwemugizi wako Kabende Msakila.
Anatambuliwa na taasisi gani za kimataifa kama Desmond Tutu?

Zaidi ya kuwa Biased na chadema,ni maslahi gani au jambo gani amewahi kusimamia kidete kulitetea kitaifa?

Huyo askofu Niwemugizi ana tuzo gani ya heshima aliyowahi kutunukiwa kimataifa.

Je!
Niwemugizi anatambuliwa hata na kamati ya NOBEL Prize?

Maswali ni mengi sana ila itoshe kukwambia kwamba usilinganishe Mima na Kichuguu.
View attachment 2127535
 
Huyo Niwemugizi wako Kabende Msakila.
Anatambuliwa na taasisi gani za kimataifa kama Desmond Tutu?

Zaidi ya kuwa Biased na chadema,ni maslahi gani au jambo gani amewahi kusimamia kidete kulitetea kitaifa?

Huyo askofu Niwemugizi ana tuzo gani ya heshima aliyowahi kutunukiwa kimataifa.

Maswali ni mengi sana ila itoshe kukwambia kwamba usilinganishe @lMima na Kichuguu.
Mimi mtu wa dhambi ambaye nimeshaandaliwa tanuru kuchomwa huko kunakohusika nimehusikaje na Maaskofu wasiokuwa na dhambi?

Usinitanie mzee wangu!!
 
Leo Askofu amepigilia msumari wa moto serikalini ,kaongea vitu vya maana kwa taifa letu,CCM muusikilize huo ushauri mliopewa mliokoe taifa.
 
Baadae wakianza kuwa Upande wa Ccm mnaanza kuwaita wahutu sijui watutsi ila sasa hivi unamfananisha na Desmund tutu yule askofu wa kisasa kama nabii tito!!
 
Mkuu naona una kifaa cha kupima dhambi za watu (dhambiometer)

Kiongozi mwanadamu sio Mungu udhaifu wetu ndio unadhihirisha kuwa tunamwitaji Mungu (Yesu)

Sio ajabu Mwanadamu akitenda hayo ila ni ajabu sana kama asipotubu (akikataa kuziungama)

Maana Mungu ndio anaewahesabia watu haki sio hiyo midhambiometer yenu

Personal life ya mtu haimwondolei kipawa alichonacho
Unapoamua kuwa Askofu kwa imani na uelewa wetu ni kuwa tunakutegemea uwe kwenye level tofauti za kiimani,kiutu na kiakili kushinda sie wengine tuliamua kuwa waumini wa kawaida..sasa ukianza kuleta hoja za kumtetea kwa minajir hiyo basi auvue uaskofu apishe wanao uweza.
 
Jfteam
Taifa tuna hazina kubwa ya watu wanaofaa kuwa washauri wa viongozi wakuu.

Katika taifa letu namlinganisha Askofu Niwemugizi wa Ngara - Tanzania na hayati Archbishop Desmond Tutu wa Africa ya Kusini. Ni watu wasiojua kula maneno, kujikomba wala kujipendekeza. Mara zote huongea hisia za jamii, hushauri kwa maslahi mapana ya jamii tofauti na wengine wanajiweka karibu ya viongozi ili wachonge mzinga.

Kutokana na hali hiyo nashauri mamlaka za nchi zisikie ushauri wake kwa heshima ya kufanyia kazi shauri zao zitakumbukwa na vizazi vijavyo. Mbele yetu kuna suala la katiba mpya, watu walioko mahabusu kwa hila, ufisadi kwa baadhi ya watendaji, tume huru ya uchaguzi, matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya watendaji, nk nk

Hivyo vyote vitampa heshima kubwa Rais SSH ikiwa atavitekeleza kwa watanzania. Watanzania tumezaliwa bila vyama vya siasa sasa Siasa haiwezekani ziligawe taifa. Mama wasikilize akina Niwemugizi utabarikiwa na nchi ulojaliwa kuitawala.

# SSH kazi iendelee
# Niwemugizi ushauri uendelee
# Watanzania tuwaombee viongozi wetu.

Msakila M Kabende
Kakonko / Bukoba
Wewe acha ujinga,mshenzi huyu unajua alichomfanya mwanzilishi wa jimbo la rulenge,askofu mwoleka?
Unajua chuki aliyomfanyia marehemu karugendo kwakuwa tu ni mjomba ya askofu mwoleka,acheni kusufia watu msiowajua.
 
Wewe acha ujinga,mshenzi huyu unajua alichomfanya mwanzilishi wa jimbo la rulenge,askofu mwoleka?
Unajua chuki aliyomfanyia marwhemu karugendo kwakuwa tu ni mjomba ya askofu mwoleka,acheni kusufia watu msiowajua

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Alimuweka marehemu Askofu Mwoleka(R.I.P)
Kwenye kifungo cha ndani kwenye jimbo alilolianzisha kwa nguvu kubwa.

Hili wengi hawalijui humu,tena wengi hawaijui vema historia ya jimbo katoliki la Rulenge.

Hata huyo askofu Mwoleka,wewe unaweza kuwa mtu wa kwanza kumtaja humu.
Vijana hawajihangaishi kujisomea.
Wako ready kupost mistari mitatu mitatu...kupinga au kupongeza.

Alimfanyia zengwe mpwa wake Padre Karugendo mpaka akatoka kwenye mstari.

Halafu watu wanakuja kumsifia kisa tu alikuwa akimpinga JPM.

Huyu askofu ni mnufaika mkubwa wa kuingiza vitu kwa mgongo wa kanisa bila kulipa kodi.

JPM alilipinga hilo na akalizuia na tangia hapo ndio ukaanza kuwasikia hawa maaskofu wapigaji wakianza kelele.

Hata leo ameendelea kumuomba Samia amsamehe kodi.
 
Watu wasiojua historia wanajulikana tu. Hivi kweli Bishop Tutu ufananishe na hawa maaskofu wenu wachumia tumbo. Niwemugizi amewahi kusimama na hoja gani ktk taifa hili tukaona kweli amesimamia na kutetea haki.

Desmond Tutu mnamfananisha na huu uchafu wenu. Wachumia tumbo hawa uwafananishe na Tutu kweli
 
Back
Top Bottom