eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Niwemugizi Yuko biased na haki. Chawa Kama wewe unachojua ni kutetea chama chako tu kilichojaa dhulma.Huyo Niwemugizi wako Kabende Msakila.
Anatambuliwa na taasisi gani za kimataifa kama Desmond Tutu?
Zaidi ya kuwa Biased na chadema,ni maslahi gani au jambo gani amewahi kusimamia kidete kulitetea kitaifa?
Huyo askofu Niwemugizi ana tuzo gani ya heshima aliyowahi kutunukiwa kimataifa.
Je!
Niwemugizi anatambuliwa hata na kamati ya NOBEL Prize?
Maswali ni mengi sana ila itoshe kukwambia kwamba usilinganishe Mima na Kichuguu.
View attachment 2127535
Kuna wakati Yesu aliamuru majini yaingie kundi la nguruwe wakafa baharini, kwa mtu Kama wewe, ungesema mnamsifia Yesu wakati cc aliharibu mali za watu kwa kuwa mawazo yako yako upande wa dhulma Kama chama chako.Wewe acha ujinga,mshenzi huyu unajua alichomfanya mwanzilishi wa jimbo la rulenge,askofu mwoleka?
Unajua chuki aliyomfanyia marehemu karugendo kwakuwa tu ni mjomba ya askofu mwoleka,acheni kusufia watu msiowajua
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Leo chawa wa CCM mmepigwa nyundo ya utosi na Askofu mnaona kizunguzungu Kama siyo Kihindihindi.Watu wasiojua historia wanajulikana tu. Hivi kweli Bishop Tutu ufananishe na hawa maaskofu wenu wachumia tumbo. Niwemugizi amewahi kusimama na hoja gani ktk taifa hili tukaona kweli amesimamia na kutetea haki.
Desmond Tutu mnamfananisha na huu uchafu wenu. Wachumia tumbo hawa uwafananishe na Tutu kweli
Nadhani heading sahihi ya mada yako ilipaswa kuwa;Jfteam
Taifa tuna hazina kubwa ya watu wanaofaa kuwa washauri wa viongozi wakuu.
Katika taifa letu namlinganisha Askofu Niwemugizi wa Ngara - Tanzania na hayati Archbishop Desmond Tutu wa Africa ya Kusini. Ni watu wasiojua kula maneno, kujikomba wala kujipendekeza. Mara zote huongea hisia za jamii, hushauri kwa maslahi mapana ya jamii tofauti na wengine wanajiweka karibu ya viongozi ili wachonge mzinga.
Kutokana na hali hiyo nashauri mamlaka za nchi zisikie ushauri wake kwa heshima ya kufanyia kazi shauri zao zitakumbukwa na vizazi vijavyo. Mbele yetu kuna suala la katiba mpya, watu walioko mahabusu kwa hila, ufisadi kwa baadhi ya watendaji, tume huru ya uchaguzi, matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya watendaji, nk nk
Hivyo vyote vitampa heshima kubwa Rais SSH ikiwa atavitekeleza kwa watanzania. Watanzania tumezaliwa bila vyama vya siasa sasa Siasa haiwezekani ziligawe taifa. Mama wasikilize akina Niwemugizi utabarikiwa na nchi ulojaliwa kuitawala.
# SSH kazi iendelee
# Niwemugizi ushauri uendelee
# Watanzania tuwaombee viongozi wetu.
Msakila M Kabende
Kakonko / Bukoba
MaCCM hayaeleweki siku zote Kaka pembe .Hizo tuhuma ni za niwemugizi au tutu maana umeanza kushuka kwa jazba sana.
Niwemugizi Yuko biased na haki. Chawa Kama wewe unachojua ni kutetea chama chako tu kilichojaa dhulma.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe punguani ukapimwe ubongo, shutuma unazotoa kwa Askofu wetu ni za kizandiki na uchochezi zisizo na hata chembe ya ushahidi, unachokitafuta utakipata!Wewe acha ujinga,mshenzi huyu unajua alichomfanya mwanzilishi wa jimbo la rulenge,askofu mwoleka?
Unajua chuki aliyomfanyia marehemu karugendo kwakuwa tu ni mjomba ya askofu mwoleka,acheni kusufia watu msiowajua
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sio kwamba hana mapungufu, kwani tutu hakuwa nayo?kumbe huna habari zozote zile za jiwe kumchukia askofu huyu, alianza chuki naye toka hata hajawa rais, kisa kiwanja alichojenga kanisa jiwe pale kwake, na askofu alisimamia msimamo wake!!!alipokuwa rais , bado jamaa ana misimamo yake tu, ya kuwa mkweli, mizengwe ikaanza ya uraia!!Alimuweka marehemu Askofu Mwoleka(R.I.P)
Kwenye kifungo cha ndani kwenye jimbo alilolianzisha kwa nguvu kubwa.
Hili wengi hawalijui humu,tena wengi hawaijui vema historia ya jimbo katoliki la Rulenge.
Hata huyo askofu Mwoleka,wewe unaweza kuwa mtu wa kwanza kumtaja humu.
Vijana hawajihangaishi kujisomea.
Wako ready kupost mistari mitatu mitatu...kupinga au kupongeza.
Alimfanyia zengwe mpwa wake Padre Karugendo mpaka akatoka kwenye mstari.
Halafu watu wanakuja kumsifia kisa tu alikuwa akimpinga JPM.
Huyu askofu ni mnufaika mkubwa wa kuingiza vitu kwa mgongo wa kanisa bila kulipa kodi.
JPM alilipinga hilo na akalizuia na tangia hapo ndio ukaanza kuwasikia hawa maaskofu wapigaji wakianza kelele.
Hata leo ameendelea kumuomba Samia amsamehe kodi.
Kuna ukweli mmoja tuu, na ukweli una upande mmoja tuu.... Ni hatari kwa taifa kwa vijana wapofu wa fikra km wewe kuwaza kuwa yeyote anayesimama kusema yanayosemwa na wasio serikalinu au wasio wana ccm basi atapachikwa majina hayo ya upinzani,ya vyama,uanaharakati n.kHuyo Niwemugizi wako Kabende Msakila. (kabendera).
Anatambuliwa na taasisi gani za kimataifa kama Desmond Tutu?
Zaidi ya kuwa Biased na chadema,ni maslahi gani au jambo gani amewahi kusimamia kidete kulitetea kitaifa?
Huyo askofu Niwemugizi ana tuzo gani ya heshima aliyowahi kutunukiwa kimataifa.
Je!
Niwemugizi anatambuliwa hata na kamati ya NOBEL Prize?
Maswali ni mengi sana ila itoshe kukwambia kwamba usilinganishe Mima na Kichuguu.
View attachment 2127535
Nimekuelewa sana - huyu mwamba ni shujaa asiyekula midomoKweli kabisa mkweli na anasimamia ukweli Daima. Iwe jua mvua Zama Za JPM alisema na Leo pia kasema
Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app
Ni wewe kweli ?Jfteam
Taifa tuna hazina kubwa ya watu wanaofaa kuwa washauri wa viongozi wakuu.
Katika taifa letu namlinganisha Askofu Niwemugizi wa Ngara - Tanzania na hayati Archbishop Desmond Tutu wa Africa ya Kusini. Ni watu wasiojua kula maneno, kujikomba wala kujipendekeza. Mara zote huongea hisia za jamii, hushauri kwa maslahi mapana ya jamii tofauti na wengine wanajiweka karibu ya viongozi ili wachonge mzinga.
Kutokana na hali hiyo nashauri mamlaka za nchi zisikie ushauri wake kwa heshima ya kufanyia kazi shauri zao zitakumbukwa na vizazi vijavyo. Mbele yetu kuna suala la katiba mpya, watu walioko mahabusu kwa hila, ufisadi kwa baadhi ya watendaji, tume huru ya uchaguzi, matumizi mabaya ya madaraka kwa baadhi ya watendaji, nk nk
Hivyo vyote vitampa heshima kubwa Rais SSH ikiwa atavitekeleza kwa watanzania. Watanzania tumezaliwa bila vyama vya siasa sasa Siasa haiwezekani ziligawe taifa. Mama wasikilize akina Niwemugizi utabarikiwa na nchi ulojaliwa kuitawala.
# SSH kazi iendelee
# Niwemugizi ushauri uendelee
# Watanzania tuwaombee viongozi wetu.
Msakila M Kabende
Kakonko / Bukoba
Hapana siijui ,ila Kuna Askofu mwenzake mmoja wa kanisa la roman nilibahatika kumuuliza vipi jiwe na HUYU Niwemugizi Wana ugomvi gani,alinijibu kwa mkato tu kuwa hao wawili WANAJUANA wenyewe,du leo kwenye hizi nyuzi Kuna mtu kasema HUYU Askofu ni MHUTU nikajua ndio walewale tunawaita SUKUMAGANG ,genge la kihutu lenye ROHO mbaya ,nimeamua simsikilizi Tena kanitia kichefuchefuUnaijua historia ya jimbo la Rulenge na roho mbaya ya huyu askofu Niwemugizi?!
Pascal MayallaAlimuweka marehemu Askofu Mwoleka(R.I.P)
Kwenye kifungo cha ndani kwenye jimbo alilolianzisha kwa nguvu kubwa.
Hili wengi hawalijui humu,tena wengi hawaijui vema historia ya jimbo katoliki la Rulenge.
Hata huyo askofu Mwoleka,wewe unaweza kuwa mtu wa kwanza kumtaja humu.
Vijana hawajihangaishi kujisomea.
Wako ready kupost mistari mitatu mitatu...kupinga au kupongeza.
Alimfanyia zengwe mpwa wake Padre Karugendo mpaka akatoka kwenye mstari.
Halafu watu wanakuja kumsifia kisa tu alikuwa akimpinga JPM.
Huyu askofu ni mnufaika mkubwa wa kuingiza vitu kwa mgongo wa kanisa bila kulipa kodi.
JPM alilipinga hilo na akalizuia na tangia hapo ndio ukaanza kuwasikia hawa maaskofu wapigaji wakianza kelele.
Hata leo ameendelea kumuomba Samia amsamehe kodi.
Yani umfananishe mahindi wa tuzo ua Nobel na huu uchafuLeo chawa wa CCM mmepigwa nyundo ya utosi na Askofu mnaona kizunguzungu Kama siyo Kihindihindi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hovyo weweWatu wasiojua historia wanajulikana tu. Hivi kweli Bishop Tutu ufananishe na hawa maaskofu wenu wachumia tumbo. Niwemugizi amewahi kusimama na hoja gani ktk taifa hili tukaona kweli amesimamia na kutetea haki.
Desmond Tutu mnamfananisha na huu uchafu wenu. Wachumia tumbo hawa uwafananishe na Tutu kweli
NonsenseAlimuweka marehemu Askofu Mwoleka(R.I.P)
Kwenye kifungo cha ndani kwenye jimbo alilolianzisha kwa nguvu kubwa.
Hili wengi hawalijui humu,tena wengi hawaijui vema historia ya jimbo katoliki la Rulenge.
Hata huyo askofu Mwoleka,wewe unaweza kuwa mtu wa kwanza kumtaja humu.
Vijana hawajihangaishi kujisomea.
Wako ready kupost mistari mitatu mitatu...kupinga au kupongeza.
Alimfanyia zengwe mpwa wake Padre Karugendo mpaka akatoka kwenye mstari.
Halafu watu wanakuja kumsifia kisa tu alikuwa akimpinga JPM.
Huyu askofu ni mnufaika mkubwa wa kuingiza vitu kwa mgongo wa kanisa bila kulipa kodi.
JPM alilipinga hilo na akalizuia na tangia hapo ndio ukaanza kuwasikia hawa maaskofu wapigaji wakianza kelele.
Hata leo ameendelea kumuomba Samia amsamehe kodi.
Acha matusiWewe acha ujinga,mshenzi huyu unajua alichomfanya mwanzilishi wa jimbo la rulenge,askofu mwoleka?
Unajua chuki aliyomfanyia marehemu karugendo kwakuwa tu ni mjomba ya askofu mwoleka,acheni kusufia watu msiowajua
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app