Askofu Niwemugizi: Ripoti ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala

Askofu Niwemugizi: Ripoti ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala

johnmashilatu

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
841
Reaction score
909
Askofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.

Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.

Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.

"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.

Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.

Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
 
Askofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.

Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.

Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.

"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.

Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.

Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
 
Askofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.

Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.

Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.

"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.

Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.

Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
Mhashamu Niwemugizi huwa harembi kwa watawala anawachana live
 
Tunamsubiri na chui jike anafikiri upigaji utaisha. Tutakaanga wote pasipo kutazama mafuta yamepanda bei au laah
 
Ukweli sio kwa watawala tu bali ni kwa wanaadamu wote hata madhabahuni ufisadi na ubadhilifu wa pesa unafanyika chini ya mwamvuli wa uongo.
Kwani umezuiwa kuusema ukweli wa madhabahuni?

Uovu upo wakati wote na sehemu zote.

Uhovyo wa awamu ya 5 ni uwongo wa kuwaaminisha watu kuwa hakukuwa na wizi na ufisadi wakati wa awamu ya 5. Na utawala ule kwa namna ulivyokuwa na uovu mkubwa, kwa hofu ya watu kuujua ukweli, uliamua kuua uhuru wa maoni na uhuru wa vyombo vya habari.
 
Tunamsubiri na chui jike anafikiri upigaji utaisha. Tutakaanga wote pasipo kutazama mafuta yamepanda bei au laah
Siamini kama wakati wa awamu yoyote kutakuwa hakuna wizi. Kinachotakiwa, ni wizi na wevi kuwekwa wazi na watu wawe huru kuuzungumza na kuujadili huo wizi.

Awamu ya 5, ilikuwa ya hovyo sana kwa kuwafunga midomo watu, na kuwaficha mafisadi kwa kuwadanganya watu kuwa kwenye Serikali ya awamu hiyo hakukuwa na wizi, kumbe, huenda ndiyo awamu iliyoongoza kwa ufisadi. Mpaka leo 2.5 trillion haieleweki zilienda wapi!
 
Kwani umezuiwa kuusema ukweli wa madhabahuni?

Uovu upo wakati wote na sehemu zote.

Uhovyo wa awamu ya 5 ni uwongo wa kuwaaminisha watu kuwa hakukuwa na wizi na ufisadi wakati wa awamu ya 5. Na utawala ule kwa namna ulivyokuwa na uovu mkubwa, kwa hofu ya watu kuujua ukweli, uliamua kuua uhuru wa maoni na uhuru wa vyombo vya habari.
Uanaweza kuuficha, kufunika na kuukwepa ukweli kwa mda tu ila katika mda muafaka utadhihirika. Bila kuiondoa CCM madarakani nchi itabaki masikini maana wezi wanapokezana uongozi na wizi
 
Askofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.

Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.

Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.

"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.

Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.

Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
Magufuli alitudanganya mno! Tuendelee kufunguka.
 
Askofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.

Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.

Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.

"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.

Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.

Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
Wewe watu walipiga hata enzi za mwalimu na kuua mashirika ya umma itakua leo?, Askofu awe mkweli, ubadhilifu haukianza enzi za jpm,,,
Watanzania wengi ni wezi,,
 
Askofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.

Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.

Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.

"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.

Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.

Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
Wapi umemnukuu kaka mkubwa hii kauli?
 
Siamini kama wakati wa awamu yoyote kutakuwa hakuna wizi. Kinachotakiwa, ni wizi na wevi kuwekwa wazi na watu wawe huru kuuzungumza na kuujadili huo wizi.

Awamu ya 5, ilikuwa ya hovyo sana kwa kuwafunga midomo watu, na kuwaficha mafisadi kwa kuwadanganya watu kuwa kwenye Serikali ya awamu hiyo hakukuwa na wizi, kumbe, huenda ndiyo awamu iliyoongoza kwa ufisadi. Mpaka leo 2.5 trillion haieleweki zilienda wapi!
Na kingine alichokosea wapinzani aliwapiga BAN wasiseme kitu wasiwepo bungeni hili apate Kuna na team yake.
 
Back
Top Bottom