abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Hahaaaa
SUKUMA-GANG lazima wanune.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SUKUMA-GANG lazima wanune.
Naomba link kuna mtu nataka nimthibitishie hiki alichokisema au ilikuwa anazungumza media gani?Ametoa salaam zake na kurushwa leo saa 7: 30 mchana
OkAskofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.
Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.
Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.
"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.
Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.
Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
JPM alikuwa mwizi wa kimataifaAskofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.
Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.
Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.
"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.
Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.
Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
Hakuna cha dhalimu ww sema umelipwa tu na hii ni Ajira yako,kiongozi wa nchi Kesha lala lkn kila kukicha ni matusi Hili Lina baraka na mkono wa watawala wa sasa bila hivyo lisingewezekana, mwambieni boss wenu, marehemu hajitetei.Ni kweli, ila uzi huu ni kuhusu uongo wa dhalimu.
Hakuna hata mwaka mmja ripoti ya CAG uliwahi kuwa na ahueni..Askofu wa Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara, mhashamu Severine Niwemugizi amesema ripiti ya hivi karibuni ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala.
Katika salaam zake za Pasaka, Askofu Niwemugizi amesema waumini wajifunze kuwa wakweli na kuepuka uongo kama Yesu alivyokubali kufa msalabani kwa kutetea ukweli.
Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.
"Mabilioni ya fedha yamepigwa serikalini, vyama vya siasa... mpaka wanaume wamejifungua, uongo huu haukubaliki" amesema.
Amesema ukweli lazima usemwe ingawa una gharama zake, unaweza kukamatwa, kupewa kesi ya uhujumu uchumi ili usipate dhamana, lakini lazima tujifunze kuutafuta, kuusema na kuutetea.
Amesema kauli ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde juu ya hali mbaya ya maisha wananchi kutokana kupanda kwa mafuta ni ukweli wa hali ilivyo mitaani.
Si ilikubalika kwamba enzi za JPM ufisadi ulikoma Serikalini na nidhamu ya kazi ofisi za umma ilikuwa juu? Wenye nidhamu waliibaje tena?Wewe watu walipiga hata enzi za mwalimu na kuua mashirika ya umma itakua leo?, Askofu awe mkweli, ubadhilifu haukianza enzi za jpm,,,
Watanzania wengi ni wezi,,
Yule ni mwizi sana, anakaribia rekodi ya Sani Abacha na Mobutu Sese seko kuku ngbendu wa zabangaHakuna cha dhalimu ww sema umelipwa tu na hii ni Ajira yako,kiongozi wa nchi Kesha lala lkn kila kukicha ni matusi Hili Lina baraka na mkono wa watawala wa sasa bila hivyo lisingewezekana, mwambieni boss wenu, marehemu hajitetei.
Mawe yanarushwa Sana kwa Magu kwa sababu alijifanya kuwa kwake hakukuwa na ufisadi na wapambe wake kama wewe mlikuwa mnapokea na kutuaminisha kuwa awamu ya tano hakukuwa na ufisadi,Wewe watu walipiga hata enzi za mwalimu na kuua mashirika ya umma itakua leo?, Askofu awe mkweli, ubadhilifu haukianza enzi za jpm,,,
Watanzania wengi ni wezi,,
Unamuonea alishasema anajua kila mtu anakula urefu wa kamba yake- anajuaTunamsubiri na chui jike anafikiri upigaji utaisha. Tutakaanga wote pasipo kutazama mafuta yamepanda bei au laah
Si vizuri kumbishia na kumsema "mtumishi" wa Mungu. Lakini katika kukua kwangu na kushuhudia awamu za utawala hapa nchini mpaka hawamu hii ya "5" ama ya 6. Sijawahi kusikia kiongozi wa serikali yeyote anasema Rushwa nchini, hivyo PCCB ikomeshwe na Mahakama ya Mafisadi ifungwe. Sasa Askofu Niwemgizi aliambiwa na nani kuwa watanzania wameaminishwa Rushwa na ubadhirifu vimekomeshwa? Wakati awamu za hivi Karibuni Vita dhidi ya ufisadi na Rushwa imepamba Moto kwa PCCB kupewa nyenzo zikiwemo majengo na rasilimali watu na Mahakama ya Mafisadi imeanzishwa.Amesema watanzania waliaminishwa kuwa rushwa ma ubadhirifu umekomeshwa lakini ripoti hii inaonyesha uongo wa watawala.
Sawa kabisa. Hususan ni kuiondoa CCM na kubomoa kabisa mfumo wake wa ulaghai wa chama dola. Kisha hapo hapo kurejesha nguvu ya wananchi kuchagua na kuwajibisha viongozi wao kupitia chaguzi makini na mihimili huru ya kidemokrasia.Uanaweza kuuficha, kufunika na kuukwepa ukweli kwa mda tu ila katika mda muafaka utadhihirika. Bila kuiondoa CCM madarakani nchi itabaki masikini maana wezi wanapokezana uongozi na wizi
Unamuonea alishasema anajua kila mtu anakula urefu wa kamba yake- anajua
Hakuna cha dhalimu ww sema umelipwa tu na hii ni Ajira yako,kiongozi wa nchi Kesha lala lkn kila kukicha ni matusi Hili Lina baraka na mkono wa watawala wa sasa bila hivyo lisingewezekana, mwambieni boss wenu, marehemu hajitetei.