Askofu Niwemugizi: Ripoti ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala

JP alikuwa mwizi sana
 
Askofu niwemugizi ni askofu wangu huyu halembi huwa nimsema kweli nimesoma shule yake inatwa SAINT ALFRED RULENGE SECONDARY MIAKA HIYO namkubali sana katika speech zake.
 
Ripoti za hivi kila mwaka zinatoka hivi hatua gani huwa zinachukuliwa Sasa?dhidi ya mamlaka zilizosababisha huo ufujaji ,kila saaa tunasoma comment tu askofu,sijui she he sijui mwanasiasa kaiponda serikali kwa ufisadi,halafu je baada ya hapo Nini Tena mafisadi wanaendelea kufuga vitambi tuuuuuuuuuuu!!!!!!! Ovyoooooooooooooo
 
Ukweli sio kwa watawala tu bali ni kwa wanaadamu wote hata madhabahuni ufisadi na ubadhilifu wa pesa unafanyika chini ya mwamvuli wa uongo.
Ila Uongo wa Magufuli ulizidi hata Malaika wa Ibilisi
 
Ukweli sio kwa watawala tu bali ni kwa wanaadamu wote hata madhabahuni ufisadi na ubadhilifu wa pesa unafanyika chini ya mwamvuli wa uongo.
Tayar dawa imekuingia kisawasawa 😂😂😂 naona unaanza tafuta justification!!
 
Kikubwa zaidi cha kuzingatiwa ni kwamba tulishuhudia jitihada kubwa kupitiliza ikifanyika kuzuia ofisini ya umma ambayo kikatiba dhamana yake ni kuhakiki matumizi sahihi ya rasilmali za nchi ikidhibitiwa ili isitekeleze wajibu wake huo. Kwa maneno mengine badala ya kushughulika na ufujaji wa kodi zetu, uongozi wa nchi ulijielekeza kutumia vibaya mamlaka yake kuzuia ufujaji wa rasilmali za nchi kuwekwa hadharani kama sheria inavyoelekeza. Maana yake hasa ni kwamba sehemu ya ufujaji huu ulioanikwa na CAG uliidhinishwa na wakuu wa serikali wenyewe. Wakuu hao hao sasa wamebaki tu kumtupia lawama zote mtu mmoja badala ya kukubali uwajibikaji wa pamoja na kukiri makosa kwanza na kuomba radhi.
 
Uj7mbe wa Pasaka unatoa CAG?
 
Wawajibike wote maana amefatiki mmoja ila wengine waliokuwa nae wapo WATUJIBU.
 
Tunamsubiri na chui jike anafikiri upigaji utaisha. Tutakaanga wote pasipo kutazama mafuta yamepanda bei au laah
Yule kuanzia mwaka kesho Ripoti za CAG zitachujwa maana zitakuwa zinaanza kukagua awamu ya 6, watu wanasherekea ya awamu ya 5 ambayo ni serikali ileile iliyopo Hadi Leo imebadilisha jina tu
 
Hii ni ngumi ya pua.

Cc NAWATAFUNA
 
Maaskofu wamecharuka. Full kusagia watu kunguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…