Umegonga penyewe Mkuu,kumbe!!!fadhira hizi zimeua msimamo wa kanisa baadhi ya maaskofu wanamambo ya ajabu sana.Kumbuka Askofu Ruwaichi alitumiwa ndege kumchumkua huko KCMC Hospital na kumleta hapa Dar kupata matibabu kwa maelekezo ya rais. Katika mazingira hayo unategemea kanisa la Roma liwe upande wa haki au la wanaowalinda viongozi wake?
Hakika nilikusoma vyema katika ile mada.Na ninarudia tena, chini ya uongozi wa sasa wa TEC, msitegemee kauli yoyote ile kutoka TEC itakayokuwa kinyume na matakwa ya watawala. Kanisa, kama lilivyo bunge na mahakama, wamejumuishwa. Mark my words.
Teh,teh,teh,..huko mbeya kuna mambo ni mwendo wa kujipendekeza tu.Mhehe mwenzako huyo kama RC wa Mbeya Chalamila
Haya ndio matokeo yasiyotegemewa. Hakika imefika wakati hawa watu wapewe funzo ili akili ziwarudi. "Hakuna kutoa sadaka", acha wapate sadaka zao toka serikalini.Akapige yeye na wenzako.
Maana wanashibishwa na yatokanayo magogoni
Nasadaka yangu from now sintatoa kanisani
Ni mwendelezo wa akili za yule Aliewahi kuvimbiwa maharage hadi anastaafu yeye ni kusifu serikali tu.Huyo askofu kweli ana akili timamu??
Hivi chama chako kinaenguliwa wagombea wako zaidi ya asilimia 95 na wapinzani wako CCM wagombea wake wote asilimia 100 wanaonekana kuwa ndiyo waliojaza sahihi hizo fomu!
Hivi huyo askofu anakuwa na ujasiri kweli wa kuvilaumu vyama vya upinzani kwa kususia huo UCHAFUZI??
Hakika katika awamu hii ya utawala, hata hao wanaojiita watumishi wa Mungu wamewekwa mfukoni!
Tutawasikiliza maaskofu wetu akina Kilaini hao ndo watu wenye hekima siyo hawa akina mapengo. Tumsifu Yesu Kristu na tukeshe tukiomba kwani muda haupo nasi. Lotote laweza tokea.Niliwahi kueleza hapa jukwaani taarifa kutoka kwa Askofu mmoja kutoka inner circle ya Kanisa Katoliki. Mimi pia ni mkatoliki halisi wa imani aliyewahi kuhudumu ndani ya kanisa.
Askofu yile alieleza kuwa Kanisa Katoliki, baada ya waraka wa kwaresma, ulioeleza mapungufu mengi ya watawala wa awamu hii, uhusiano wake na mtawala mkuu ulififia sana kufikia hatua ya kujenga uadui. Inner circle ya Kanisa waliazimia kuurudisha uhusiano huo uliokuwa umezoeleka.
Hatua ya kwanza ilikuwa kumpata Rais wa TEC ambaye ana mahusiano binafsi ya karibu na mtawala, na huyo hakuwa mwingine bali huyu Rais wa TEC wa sasa. Hilo lilifanikiwa.
Na ninarudia tena, chini ya uongozi wa sasa wa TEC, msitegemee kauli yoyote ile kutoka TEC itakayokuwa kinyume na matakwa ya watawala. Kanisa, kama lilivyo bunge na mahakama, wamejumuishwa. Mark my words.
Mimi niliyasikia haya wakati wa kipindi cha kumpata Rais mpya wa TEC. Jambo la kujiuliza, hivi hizi dini zetu zipo kwaajili ya imani au maslahi fulani? Ni dini au watu fulani ndio wanaozifanya dini kuwa syndicate ya matakwa binafsi ya watu fulani?
Hawa ndo walinifanya niache kwenda kanisani nasali kwenye radio Kwizera basi. Hopeless kabisa walamba miguu.Viongozi wa Kanisa Katoliki wanastahili kupewa funzo wasiloweza kulisahau. Hii ni fursa ya pekee kwa waumini kutoa funzo hili mhimu sana.
1. Hakuna kutoa sadaka
2. Weka maoni kwenye sanduku la maoni
Sikutegemea kabisa kumwona Pengo mwingine mapema kiasi hiki baada ya kustaafu.
Hakuna Chama chochote kikubwa Cha upinzani kinachoongozwa na mkatoliki Wala muislamu wa Bakwata" hawa wenzetu mbona" ndio kauli inayotumika awamu hii.
Magufuli angekuwa "Ustadhi" tungesikia matamko kila kona ya nchi.
Sisi Wakatoliki wakati mwingine ni Wanafiki tu.
Hongereni KKKT na Moravian Sauti zenu tunazisikia.
Fuatilia historia. Uliyoyaandika ni nadharia na siyo uhalisia.Nijuavyo mimi:
• Kanisa Katoliki huwa halifanyi mambo ili kumfurahisha mtu au kikundi cha watu.
• Kanisa Katoliki huwa halifanyi mambo kwa kufuata mkumbo wa watu.
• Kanisa Katoliki halifungamani na chama chochote cha siasa.
• Kanisa Katoliki halifanyi mambo ili kuongezea tatizo zaidi, bali huangalia namna nzuri ya kuleta umoja na mshikamano.
• Kanisa Katoliki halijawahi kuwa la kidemokrasia hata siku moja. Sikumbuki kama nilishalishuhudia au hata kusoma sehemu juu ya hili.
• Kanisa Katoliki hufanya mambo yake likizingatia misingi ya Ukristu likiamini hakuna mwanadamu mkamilifu.
Ninajaribu kujiuliza:
• Kuna sababu gani ya msingi ya kulifanya Kanisa Katoliki liunge mkono ususiaji wa uchaguzi?
• Sisi Watanzania, tukisusia uchaguzi, then what will be our next plan? What will we benefit from doing so? Will that change anything?
• Je, kususia uchaguzi ndio suluhusho pekee lililopo? Ndio CCM wata-retreat? Ndio kusema kuwa wataacha uonevu?
• Je, tukisusia uchaguzi, tutaleta umoja na mshikamano kama taifa, au ndio tutazidi kugawanyika?
Ninafikiri tunapaswa kutafuta suluhisho jingine. Hatuwezi kususia tu bila kuwa na reasonable plan nyingine.
Kanisa Katoliki lipo sahihi, kwa mtazamo wangu.
Mkuu Mimi na familia yangu yote tumelihama kanisa kwasababu limekuwa compromised na ibilisiViongozi wa Kanisa Katoliki wanastahili kupewa funzo wasiloweza kulisahau. Hii ni fursa ya pekee kwa waumini kutoa funzo hili mhimu sana.
1. Hakuna kutoa sadaka
2. Weka maoni kwenye sanduku la maoni
Sikutegemea kabisa kumwona Pengo mwingine mapema kiasi hiki baada ya kustaafu.
Hakika mkuu Yani sikutegemeaKatika hili kanisa limetuangusha mno.
hapo ndipo siawaelewagi maaskofu wa kikatoliki.Askofu amewapa somo Kazi kwao
Maaskof wameona mbali mno
Kuhama sio suluhisho mwana hata huko alikohamia ibilisi ana visa ya kuingia huko na utakuta na stakupokea akionekana kama malaika wa nuruMkuu Mimi na familia yangu yote tumelihama kanisa kwasababu limekuwa compromised na ibilisi