Teeeeh,teeeeh,teeeeh,teeee,jamanieeee magamba maji ya shingo kabla ya october
Teeeeh,teeeeh,teeeeh,teeee,jamanieeee magamba maji ya shingo kabla ya october
We unaongea nini?mmeungana ili mpate kuongoza nchi wenzenu hawajaungana na kwa taarifa yenu muungano wenu umejaza wasaliti hakina mnajifia nyie na ole wenu tutawabemenda mchana kweupe!!
Duuuuu,utakaa tu,tulia kijana na punguza munkaali
Tulia,husiwe na papara kwani UKAWA ndio hiyooo ipo mlangoni inawasubiria kuwatupa nje...pole sana mwaka huu mtakula jeuri yenu.
We unaongea nini?mmeungana ili mpate kuongoza nchi wenzenu hawajaungana na kwa taarifa yenu muungano wenu umejaza wasaliti hakina mnajifia nyie na ole wenu tutawabemenda mchana kweupe!!
Hakuna unaloliandika zaidi ya kumbwerambwera tu hapa jukwaani,pole sana
Mkuu unamaanisha kitu gani kwani sijakusoma vema,tulia andika vizuri wacha kumbwerambwera
Naona saaasa umeamua kuwayawaya kwani hakuna unalolikusudia baada ya plan A,yako kufeli.poole sanaKama wewe sio Msukule mbona umekuja haraka kujibu??? Unacheza na Pengo wewe tayari hapo ulipo waambie jirani zako wakukague una uharo?????
Kwani siku hizi matusi hapa jamvini yanaruhusiwa?
Naona saaasa umeamua kuwayawaya kwani hakuna unalolikusudia baada ya plan A,yako kufeli.poole sana
Kwani hoja ni kutukana mkuu?