Askofu pengo kemea na serikali

Teeeeh,teeeeh,teeeeh,teeee,jamanieeee magamba maji ya shingo kabla ya october

We unaongea nini?mmeungana ili mpate kuongoza nchi wenzenu hawajaungana na kwa taarifa yenu muungano wenu umejaza wasaliti hakina mnajifia nyie na ole wenu tutawabemenda mchana kweupe!!
 
We unaongea nini?mmeungana ili mpate kuongoza nchi wenzenu hawajaungana na kwa taarifa yenu muungano wenu umejaza wasaliti hakina mnajifia nyie na ole wenu tutawabemenda mchana kweupe!!

Tulia,husiwe na papara kwani UKAWA ndio hiyooo ipo mlangoni inawasubiria kuwatupa nje...pole sana mwaka huu mtakula jeuri yenu.
 
TANZIA. Tunasikitika kutangaza kifafa na kifo cha UKAWA kilichosababishwa na ugonjwa wa uroho wa madaraka!

MArehemu UKAWA aliugua kwa muda mfupi na kisha kulazwa Buguruni,mara baada ya hali yake kuwa mbaya na kuonekana hakuna dawa ya kumtibunalijifia kifo cha aibu na kuzikwa!!RIP UKAWA 2015, Zombi aiweke mahali pabaya roho yako!!!
 
Duuuuu,utakaa tu,tulia kijana na punguza munkaali

Watoto mapacha hawaachani daima na wanapokosana huwa wanaelewana. Kubali anachokushauri ndg yako Kinjekitile junior maana anaweza kukusaidia sana katika kuongea maana naona una shida ya kuongea vizuri (munkaali)
 
Tulia,husiwe na papara kwani UKAWA ndio hiyooo ipo mlangoni inawasubiria kuwatupa nje...pole sana mwaka huu mtakula jeuri yenu.

Mnakuja kwa spidi gani wakati wote mnaumwa matende na mabusha teh teh teh teh!kwishaaaaa.RIP UKAWA 2015
 
We unaongea nini?mmeungana ili mpate kuongoza nchi wenzenu hawajaungana na kwa taarifa yenu muungano wenu umejaza wasaliti hakina mnajifia nyie na ole wenu tutawabemenda mchana kweupe!!

Mkuu hujui kuwa wasaliti tayari tumeshaanza kuwatupia virago?
 
Hakuna unaloliandika zaidi ya kumbwerambwera tu hapa jukwaani,pole sana

Kama wewe sio Msukule mbona umekuja haraka kujibu??? Unacheza na Pengo wewe tayari hapo ulipo waambie jirani zako wakukague una uharo?????
 
Kama wewe sio Msukule mbona umekuja haraka kujibu??? Unacheza na Pengo wewe tayari hapo ulipo waambie jirani zako wakukague una uharo?????
Naona saaasa umeamua kuwayawaya kwani hakuna unalolikusudia baada ya plan A,yako kufeli.poole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…