Askofu pengo kemea na serikali

Askofu pengo kemea na serikali

Afadhari dogo aka Buguruni camp umekuja kushika lindo eti umekuja kuongeza nguvu hapa tokaaaa Pengo sio size yako nenda kachangie hoja nyingine!! Nenda kamkemee huyu king'ang'anizi wa madaraka mbadilisha katiba ya chama ili abakie madarakani toka 2003 mpaka 2019 ukiweza uje hapa kuchangiaView attachment 254449

Eti unajiita,SIDANGANYIKI? epa,escrow,richmond na uoza mwingine wote bado haviibadili akili yako ikabadilika na kuhama hilo li chama lenu na kuhamia ktk vyama vya ukombozi chini ya mwavuli muruuuwa wa UKAWA?
 
Umetoa hoja unatakiwa kutulia wanaJF wachangie sasa ukianza kuisimamia kama uko kwenye baiskeli
ya nini kuileta hapa?????????
Bora ungetafuta marafiki zako mkapeana majibu kuliko kutoa michango yako ya kutukana!!
Hoja yako ni nzuri ila unakoelekea siko unaipotezea maana hoja hii na kukaribisha michango isiyo comstructive na unakoelekea ni kubaya!!!!!

Tununuuuu!!!
 
Akili ya mjinga huwaza ujinga hii mada inayohusu Pengo ukitaka mada kuhusu Mbowe kaandike thread yako utapata wachangiagi huko shuleni mnaendaga kusomea ujinga.

Mwaka huu mnakufa kwa mpigo na jeneza lenu linaitwa UKAWA!!
 
Eti unajiita,SIDANGANYIKI? epa,escrow,richmond na uoza mwingine wote bado haviibadili akili yako ikabadilika na kuhama hilo li chama lenu na kuhamia ktk vyama vya ukombozi chini ya mwavuli muruuuwa wa UKAWA?

SAFI sana kwa kuendelea kuhama kwenye topic ya kijinga uloianzisha teh teh teh te ndo mpango wangu kupima ufahamu wako dogo inaonyesha umetumwa wewe na sasa umesahau topic yako umeingia kwingine safiiii na bado utachanganywa sana image.jpg
 
Tununuuuu!!!

Usilete ukabila hapa,rudi kwenye hoja maana uko aggressive kutukana tu kwa hoja uloianzisha mwenyewe na hutaki member wenzako wachangie si bora ungekaa nayo mwenyewe au ukaita watu wa familia yako mkajibizana kuliko kutuchafulia hali ya hewa hapa!!!kwa mfumo huu hakuna atakayekuheshimu na ndo maana hakuna anayesapoti mawazo yako!!!
 
SAFI sana kwa kuendelea kuhama kwenye topic ya kijinga uloianzisha teh teh teh te ndo mpango wangu kupima ufahamu wako dogo inaonyesha umetumwa wewe na sasa umesahau topic yako umeingia kwingine safiiii na bado utachanganywa sanaView attachment 254475

Mimi nakujibu wewe,ulichokiuliza.pitia nini uliandika.
 
Usilete ukabila hapa,rudi kwenye hoja maana uko aggressive kutukana tu kwa hoja uloianzisha mwenyewe na hutaki member wenzako wachangie si bora ungekaa nayo mwenyewe au ukaita watu wa familia yako mkajibizana kuliko kutuchafulia hali ya hewa hapa!!!kwa mfumo huu hakuna atakayekuheshimu na ndo maana hakuna anayesapoti mawazo yako!!!

Mkuu mimi silazimishi kuheshimiwa na wewe chumia tumbo,hakuna mtu chumia tumbo atakubali kukosolewa dhidi ya madhaifu,nimesema kuwa kama kadinari pengo alivyokemea wito wa ma askofu wake kutowachagulia waumini wao juu ya nini cha kufanya ktk katiba pendekezwa,hivyo aikemee serikali kwa kuwalazimisha watanzania kuipigia kura ya ndio..wacha kujitoa ufahamu wewe chumia tumbo wa lumumba.
 
Usilete ukabila hapa,rudi kwenye hoja maana uko aggressive kutukana tu kwa hoja uloianzisha mwenyewe na hutaki member wenzako wachangie si bora ungekaa nayo mwenyewe au ukaita watu wa familia yako mkajibizana kuliko kutuchafulia hali ya hewa hapa!!!kwa mfumo huu hakuna atakayekuheshimu na ndo maana hakuna anayesapoti mawazo yako!!!

Mkuu mimi siyo mtu wa kutaka kuungwa mkono kama wanalumumba
 
Mkuu mimi silazimishi kuheshimiwa na wewe chumia tumbo,hakuna mtu chumia tumbo atakubali kukosolewa dhidi ya madhaifu,nimesema kuwa kama kadinari pengo alivyokemea wito wa ma askofu wake kutowachagulia waumini wao juu ya nini cha kufanya ktk katiba pendekezwa,hivyo aikemee serikali kwa kuwalazimisha watanzania kuipigia kura ya ndio..wacha kujitoa ufahamu wewe chumia tumbo wa lumumba.

Leo uko lindo kwelikweli leo inaonekana wewe ndo champlin Buguruni team!! Kabla ya Oktoba tunawazika rasmi acha kushadadia hoja usizokuwa na uwezo nazo kemea Sugu, Pumba,Mambowe,Mambatia, Silaha and the like waache kampeni za hapana utazeeka mapema!!
 
Mtakufa nyinyi machumia tumbo,kwani chama chenu cha mafisi kinaondolewa madarakani sijui mtakula wapi maana kila siku mnashinda lumumba kusujudia wanene,teeeh,teeeh,teeeh

Unaota ukiwa unaendesha bodaboda wewe!
 
Hata mgonjwa anayekaribia kufa hujipa moyo atapona kumbe ndo anakufa sasa nyie ccm endeeleni kujipa moyo.
VOTE FOR UKAWA.




UKAWA ni sikionla kufa na kiama chenu kimekaribia mtapasuana kwa sababu ya uroho wa madaraka maana Lipumba keshajitangazia ushindi teh teh teh buf buf buf buf buf buf buf wachumia tumbo buf buf
image.jpgNa Oktoba 2015 mnazikwa rasimi!!!RIP UKAWA, 2015.​
 
Tabia ya kuzozana zozana mara nyingi ni ya watu wasiojiamini.Fuateni Katiba ya nchi inasemaje, na taratibu za NEC zikoje. Then muda ukifika wananchi ndiyo wenye mamlaka ya kuamua kwa kutumia kura na siyo maneno ya kwenye mitandao.
 
Leo uko lindo kwelikweli leo inaonekana wewe ndo champlin Buguruni team!! Kabla ya Oktoba tunawazika rasmi acha kushadadia hoja usizokuwa na uwezo nazo kemea Sugu, Pumba,Mambowe,Mambatia, Silaha and the like waache kampeni za hapana utazeeka mapema!!

Chumia tumbo kazini,subiri october ndio utajua kwabi utakufa na njaa,hata mwenyekiti wako keshawaambia kuwa mjiandae ki saikolojia,...ndooooroooobo
 
Back
Top Bottom