Askofu Severine: Kwa vyovyote vile MAGUFULI hawezi kusahaulika maana ameacha Alama za utendaji kazi wake mzuri

Askofu Severine: Kwa vyovyote vile MAGUFULI hawezi kusahaulika maana ameacha Alama za utendaji kazi wake mzuri

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.

Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.

Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '

Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.

Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .

Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.

Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa 🤣🤣.

Jioneeni wenyewe

 
Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.


Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.


Hata Yesu alisema 'Waachane wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '

Huyu ndio Hayati JPM , aliyewaj kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.



Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .


Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.



Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa 🤣🤣.



Jioneeni wenyewe


Watu wakinyamaza mawe yatapiga kelele
 
Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.


Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.


Hata Yesu alisema 'Waachane wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '

Huyu ndio Hayati JPM , aliyewaj kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.



Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .


Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.



Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787].



Jioneeni wenyewe

Nasubilia chagagang waje kupinga hili

USSR
 
Jamaa Kaz alikuwa anapiga ila sasa Ile roho mbaya ....duuuh.yaan kuona wenzie wanalia na kuteseka kwake yeye ilikuwa poa tu.Hachelewi Kukumalizana ukimkosoa....Yaan ilifikia hatua vibaraka wake nao wanaanza kutunyanyasa na kujitentgenezea umungu watu.Yaaan tulikokuwa tunaelekea ingekuwa ni Tanzania yenye visasi sisi Kwa sisi.....hapana aisee🙌
Amewah kukufanyia Roho mbaya?.
 
Sanaaa,nilianza Kaz 2013 .....2017 nilitakiwa nipande daraja ....akaminya kisa vyeti feki mpaka nimekuja kupanda wakati wa Samia.Nimeishi kwenye salary ndogo familia yangu ikiteseka Wakati yake ikineemeka.🚮
Tuachane na habari za 2013 ,hakuwepo !!.

Aliminya kisa nn?. Ulitaka apandishe Madaraka ili hali Taifa lilikua linaingia Hasara ya Mabiliom Kila Mwezi?.

Salary yako unayoipata Sasa, inakukidhi na inaendana na hali yako ya Maisha?.

Je Samia kaongeza Mshahara ?? Au
 
Tuachane na habari za 2013 ,hakuwepo !!.

Aliminya kisa nn?. Ulitaka apandishe Madaraka ili hali Taifa lilikua linaingia Hasara ya Mabiliom Kila Mwezi?.

Salary yako unayoipata Sasa, inakukidhi na inaendana na hali yako ya Maisha?.

Je Samia kaongeza Mshahara ?? Au
Alinipandisha daraja yeye aliniminya daraja.....angendelea na kupambana na vyeti feki huku tunaofanya Kaz kihalali alitupa stahiki zetu mkuu
 
Alinipandisha daraja yeye aliniminya daraja.....angendelea na kupambana na vyeti feki huku tunaofanya Kaz kihalali alitupa stahiki zetu mkuu
Hayati hakuwahi kua na Nia mbaya Kwa yoyote anayeitwa Mtanzania .

Hayati alikuta Nchi Haina Kila kitu, Mzee wa watu akaona kwanza tujibane wenyewe !!.

Nia yake ilikua Njema!!.

Je familia yako Sasa inaishia vizuri ??
 
Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.


Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.


Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '

Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.



Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .


Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.



Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787].



Jioneeni wenyewe

Msoga wamekalia matusi mawili makubwa, Magufuli shetani,muuaji,mwizi,ukiwaambia thibitisheni hawawezi.

Yaani mmue mtu makini ili msifiwe nyie?,imeshindikana hiyo


VIVA JPM
 
Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.


Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.


Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '

Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.



Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .


Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.



Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa 🤣🤣.



Jioneeni wenyewe


Unahitaji kuwa na akili kumuelewa mwana theolojia kama Askofu Niiwemugizi. Siyo wote waliobarikiwa kusoma na kuelewa, au kusikia na kuelewa.

Huwezi kumsahau Magufuli hata kama angekuwa hajajenga hata kilometre 1 ya barabara. Utamkumbuka ru kwa kufanya UHAYAWANI akiwa Ikulu. Utankumbuka kwa kusigina Katiba, kumiliki kijundi cha kuua wakosoaji wake, kuliendesha Bunge kwa kivuli, kuitisha Mahakama na kufanya ufizadi wa zaidi ya Tsh 2.4 Trillion.

Utamsahauje mtu alijenga International Airport kijijini kwake na sasa hivi hakuna ndege zinatuwa
 
Unahitaji kuwa na akili kumuelewa mwana theolojia kama Askofu Niiwemugizi. Siyo wote waliobarikiwa kusoma na kuelewa, au kusikia na kuelewa.

Huwezi kumsahau Magufuli hata kama angekuwa hajajenga hata kilometre 1 ya barabara. Utamkumbuka ru kwa kufanya UHAYAWANI akiwa Ikulu. Utankumbuka kwa kusigina Katiba, kumiliki kijundi cha kuua wakosoaji wake, kuliendesha Bunge kwa kivuli, kuitisha Mahakama na kufanya ufizadi wa zaidi ya Tsh 2.4 Trillion.

Utamsahauje mtu alijenga International Airport kijijini kwake na sasa hivi hakuna ndege zinatuwa
Huna lolote, askofu alichosema kakimaanisha Wala Hana fikra za kijinga kama zako !!.
 
Aiseeee kumbe ile airport ya chato ina vigezo vya international airports duh mkuu ushawahi kwenda duniani kwenye nchi zenye viwanja vyao au unaongozwa tu na chuki zisizo na mantiki
Unahitaji kuwa na akili kumuelewa mwana theolojia kama Askofu Niiwemugizi. Siyo wote waliobarikiwa kusoma na kuelewa, au kusikia na kuelewa.

Huwezi kumsahau Magufuli hata kama angekuwa hajajenga hata kilometre 1 ya barabara. Utamkumbuka ru kwa kufanya UHAYAWANI akiwa Ikulu. Utankumbuka kwa kusigina Katiba, kumiliki kijundi cha kuua wakosoaji wake, kuliendesha Bunge kwa kivuli, kuitisha Mahakama na kufanya ufizadi wa zaidi ya Tsh 2.4 Trillion.

Utamsahauje mtu alijenga International Airport kijijini kwake na sasa hivi hakuna ndege zinatuwa
 
Back
Top Bottom