Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Mahaba yako kwa Magufuli ni makubwa kuliko hata ya wanafamilia wake.Huna lolote, askofu alichosema kakimaanisha Wala Hana fikra za kijinga kama zako !!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahaba yako kwa Magufuli ni makubwa kuliko hata ya wanafamilia wake.Huna lolote, askofu alichosema kakimaanisha Wala Hana fikra za kijinga kama zako !!.
Airport siyo jengo la abiria bali ni runway. Uwanja wa Chato una runway ya 3 km, unazidiwa na JKNIA, KIA na Songwe. Hata Zanzibar na Mwanza haifikii. Kama inaweza kupokea Boeing Dreamliner na Airbus basi ujuwe hiyo ni kiwango cha InternationalAiseeee kumbe ile airport ya chato ina vigezo vya international airports duh mkuu ushawahi kwenda duniani kwenye nchi zenye viwanja vyao au unaongozwa tu na chuki zisizo na mantiki
Airport siyo jengo la abiria bali ni runway. Uwanja wa Chato una runway ya 3 km, unazidiwa na JKNIA, KIA na Songwe. Hata Zanzibar na Mwanza haifikii. Kama inaweza kupokea Boeing Dreamliner na Airbus basi ujuwe hiyo ni kiwango cha International
Niliitoa angalizo nilisema Askofu ni Theologian kumuelewa inabidi uwe na akiliHuna lolote, askofu alichosema kakimaanisha Wala Hana fikra za kijinga kama zako !!.
Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.
Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.
Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '
Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.
Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .
Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.
Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa 🤣🤣.
Jioneeni wenyewe
Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.
Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.
Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '
Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.
Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .
Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.
Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa 🤣🤣.
Jioneeni wenyewe
Kwamba Theologian ndio inawafundisha Ma Askofu wawe wanaongea vitu wasivyomaanisha yaan wafanye dhambi za waziwazi?.Niliitoa angalizo nilisema Askofu ni Theologian kumuelewa inabidi uwe na akili
Wapo wanuka mafii wanataka kujifananisha na magufuliMwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.
Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.
Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '
Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.
Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .
Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.
Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787].
Jioneeni wenyewe
Nihakikishie kwanza kama una akili ndiyo tuendelee.Kwamba Theologian ndio inawafundisha Ma Askofu wawe wanaongea vitu wasivyomaanisha yaan wafanye dhambi za waziwazi?.
Usilazimishe Askofu ,awe na fikra kama zako.
Sasa kufanya hayo chato ni dhambi? Chato ipo msumbuji??.Nihakikishie kwanza kama una akili ndiyo tuendelee.
Huyu Askofu Niwemugizi alipata harassment kubwa sana kutoka watu wa Magufuli waliochukua passport yake. Akiwa anatumia madhabahu yake alitoa mahubiri ambayo hayakumfurahisha mwendazake hasa kuhusu watu wanaouliwa na kukutwa miili inazagaa baharini. Kwa akili yako unaona kamsifia lakini kwa tuliosoma Cuba tunaona kampaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Ujenzi wa stendi kubwa ya Mkoa ya Chato ambayo haitumiki, Jengo la CRDB, Wanyama wa Burigi, Hospitali ya Rufaa Kanda na Uwanja wa Ndege wenye runway ya kimataifa vyote vilivyopo Chato vitaendelea kuonyesha kuwa kuna MTU mmoja KICHAA ambaye aliamua kutumia raslimali za taifa vibaya kwa ajili ya kupendelea kijiji chake. Hiyo ndiyo maana ya maneno ya Niiwemugizi
Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.
Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.
Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '
Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.
Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .
Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.
Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa 🤣🤣.
Jioneeni wenyewe
Usimulishe maneno, hajasema amefanya mazuri bali amefanya mengi. Katika mengi kuna mazuri na maovu, evil, mengiYeye kua Askofu lkn ikaona Mahali Fulani kunashida, kusingemfanya asinyang'anywe kama unavyodai.
Na yeye huyo huyo bado haifanyi asisemw ukweli, kwamba JPM amefanya mazuriii
Anaposema ameishi kwa salary ndogo kwani alipoajiriwa aliambiwa atalipwa ngapi?Tuachane na habari za 2013 ,hakuwepo !!.
Aliminya kisa nn?. Ulitaka apandishe Madaraka ili hali Taifa lilikua linaingia Hasara ya Mabiliom Kila Mwezi?.
Salary yako unayoipata Sasa, inakukidhi na inaendana na hali yako ya Maisha?.
Je Samia kaongeza Mshahara ?? Au
Unafikiri familia za Ben Saanane, Azori Gwanda, Akwilina na wengine wengi wanaweza kumsahau huyo kichaa? Ukimuona Lissu anatembea kwa kuvuta mguu unawezaje kumsahau Magumashi?Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.
Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.
Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '
Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.
Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .
Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.
Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787].
Jioneeni wenyewe
Naam, kwa hakika mtu mmoja ambaye hatamsahau JPM ni yeye mwenyewe Askofu Niwemugizi! Askofu huyu alinyang'anywa passport yake na utawala wa awamu ya tano baada ya kuongelea umuhimu wa katiba mpya! Alituhumiwa siyo raia wa nchi hii. Passport yake ilikuja kurudishwa siku chache tu kabla ya kutembelewa na Lissu wakati wa kampeni za uchaguzi wa 2020. JPM atabaki katika historia ya nchi hii kama kielelezo hai cha yale mafundisho ya Biblia kuwa anayedhani amesimama ajihadhari asianguke! Nchi hii ilidhani imekomaa kisiasa na kubweteka kinyume cha tahadhari aliyotupa Baba wa Taifa. Chini ya utawala wa JPM tahadhari ya Baba wa Taifa ilitimia. Baba Askofu anatuambia kuwa nchi hii itabaki kuwa mfano hai wa jinsi nchi ambayo ilionekena ni mfano mzuri wa ustaarabu wa kijamii na kisiasa inavyoweza kuharibika ghafla kutokana na uongozi wa kisiasa. Maana ya Askofu; kwamba kila wakati katika kuijenga nchi hii watu wenye mapenzi mema watakuwa wanajaribu kujikumbusha na kutafiti ilikuwaje nchi hii ikafika mahali ilipofikishwa katika awamu ya tano. Jenerali Ulimwengu alipata kusema haya kuhusu hali hiyo: kidemokrasia tumerudi nyuma miaka 50.Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.
Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.
Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '
Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.
Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .
Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.
Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787].
Jioneeni wenyewe
Kwa takwimu zipi? Msilazimishe huyo ibilisi akubalike na kila mtu.Akiongea askofu ni kama wameongea WATANZANIA zaidi ya milioni 50 inatosha
Hata kwetu sisi aliyetukwapulia mamilioni yetu kwa mtutu wa bunduki kwenye maduka ya kubadilishia fedha ametuachia alama.Mwenye Macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi Sikiaa.
Wakati Vyombo vya Habari vikubwa hapa Nchini vikiwa mfukoni Kwa Msoga Gang na Kwa matukio ya kupangwa, lengo ikiwa ni kupambana na JPM.
Hata Yesu alisema 'Waacheni wapige kelele, maana Hata Hawa wakinyamaza basi Ile miamba na mawe pale yatapiga kelele '
Huyu ndio Hayati JPM , aliyewahi kua Rais Bora na atakayebaki kua Bora hapa Tanzania.
Askofu anasema.... Huyu mtu hasahauliki maana Kila Mahali ,popote unapopita Kuna Alama yake kaichaa...popoteeee paleeee Nchi nzima .
Askofu anasema.... Ili asahaulike ni labda itokee Alama alizoziacha Zipoteee !!.
Hivi Tanzania hiii, ni wapi utagusa, usimkute JPM?? Usipomkuta kama Mbunge .utamkuta Kama Waziri - Mwambaa na Meli ya Wachina wa Samaki... Utamkuta Ujenzi - na Mabadabara Kila Kona ,,,,,,, Kwenye Urais ndo kabisaaaa [emoji1787][emoji1787].
Jioneeni wenyewe