Askofu Shoo (KKKT): Viongozi wote waliokuwa VIFUTU kipindi cha Magufuli basi wajiandae kuondolewa

Askofu Shoo (KKKT): Viongozi wote waliokuwa VIFUTU kipindi cha Magufuli basi wajiandae kuondolewa

Na vyeti vya elimu vya Bashite sasa ni muda muafaka vianze kuchunguzwa
 
Mkanda urudiwe: 1. Mwigulu Nchemba. Sija amini

2. Polepole, Bashite na Bashiru hawa wafukiwe ardhini wakiwa hai.
 
Hapi wa Iringa huyu muda utaongea tu maana alifikia hatua had ya kutukana wastaf wetu huyu atawindwa had anaingia kaburin na dawa yake ishachemka tayal Bado kuinywa tu.kadharirisha Sana watumish wa umma kisa sifa za kijinga Sasa akae akijiua anawindwa na atajaa tu kwenye 18 .

Chalamila wa mbeya
Mnyeti
Bashite huyu Bado Bado ana kinga maana ana ukaribu na mama yetu mpendwa so anawekwa pending Kwanza.
Bashiru huyu ashalipwa tayal watu hawana muda nae Tena.
Polepole atalipwa kwa unafki wake
James heri ashaomba msamaha ila atafikiliwa
Wasiojulikana watajulikana tu.
Ole sabaya wa hai yaan huyu kima siku akija ingia kwenye kumi na nane za wadau hasa wafanyabiashara wa hai aliowapora Mali zao nahis watamf...ra kabisa na kumpiga shaba ya matakon
 
Huyu jamaa anajisahau sana na kujiona kuwa yeye anaweza kutoa amri hata kwenye mambo ya kiserikali na kusahau wajibu wake wa kufundisha kiimani. Waamini wake wengi hawajui tafsiri za vifungu vya biblia ndio jukumu lake na atahojiwa mbele ya haki kwa hilo suala la uongozi wa kisiasa wawaachie viongozi wa kisiasa ambao watahukumiwa kwa nafasi yao

Hili ni tatizo kubwa kwa viongozi wa madhehebu makuu mawili ya kikristo mkoani kilimanjaro ambao hujiona ni zaidi ya viongozi wa dini na kujiona wao ni MANGI wakuu hili linatokana na heshima kubwa na uoga wa waamini wao mbele yao na kuanza kufanya majukumu hata yaliyotakiwa kufanywa na serikali saa nyingine wana abuse mpaka human right .Unakuta baadhi ya sehemu vijijini wanafanya misako ya gongo, pombe za kienyeji na bangi na kutoa adhabu physical hili tatizo lipo

Bado akili zao vipo nyakati za MEDIEVAL wakati dini na serikali vilikuwa havitenganishwi wakati wa TWO SWORD concept. Waacheniviongozi wa kiserikali wafanye majukumu yao na ninyi tekelezeni wajibu wenu. Hayo manyaraka yenu na matamko yenu dhidi ya serikali yanachangia sana ku frustrate viongozi katika kutimiza wajibu wao.

Hakuna uongozi wowote duniani ambao watu wote waliwahi kufurahishwa, fuatilia kwenye biblia, kwenye Quran utaona jinsi Mungu mwenyewe alikuwa anaongoza baadhi ya mataifa kulingana vita vya mapanga kwa watu walio kinyume.
Mku hawa ndo walitoaga waraka Utekaji ukawa usikiki tena mpaka waziri wa ulinzi akamtumbua mtu baada ya kuutolea ile waraka majibu na haikupita muda Jpm akamtumbua kabisa waziri wa ulinzi ndugu yangu Mwigulu.
Kwa hiyo mwanaccm mwenzangu usiwachukulie poa viongozi wa Dini watoapo kauli zao kwani wanaaminika kuliko wanasiasa
 
Hawa watu sijui walijisahau vipi yaani,,wskageuka kuwa wanyama,wanaongoza kwa kukomoa,,
Ila mpaka sasa kuna watu wako kimya mno
1-lowasa,
2-kinana
3-ristam
4-makamba senior.
Kama hawapo yaani..
 
#HABARI Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo amesema wale wote waliokuwa wanajifanya vifutu, kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakae mguu sawa, wakae tayari./https://bit.ly/3sR1WwS


NB:
Kwa kusaidia niwataje tu vifutu ili kumraisishia Rais wetu kazi...

1. Dr. Bashiru - Huyu Rais kashafanya kazi nzuri sana. Na tayari jana karudi home kwake Msewe.... Wiki hii ndio atanunua gari lake binafsi

2. Chalamila - RC Mbeya
3. Ole Sabaya
4. Salum Hapi
5. Pole Pole
6. Mpogolo
7. Jafo - Tayari kaporomoshwa
8 Doto James
9.
10.
Askofu Dokta Shoo ATAKUFA na TUTAMZIKA na Chadema HAITAINGIA Ikulu.
 
Samahani, hayo yanahusiana vipi na ufufuko? Ya kaisari tumwachie kaisari. Leo siku muhimu, pangua pangua ni kazi ya mama Samia si ya YESU. Leo tungeelezana habari za ufufuo.
Wafuasi wa Ibilisi Jiwe utawajua kwa maswali yao .
 
Na habari za YESU zitasemwa na nani kama siku ya ufufuo wapakwa mafuta wataongelea habari za panga pangua za samia?
Mkuu kama unakumbuka Kimei alivyochukua tu fomu kugombea ubunge, hata kabla hajapitishwa na chama wakawa wameshampangia Magufuli amteue kuwa waziri wa fedha.

Watu wa ovyo na hatari sana hawa.
 
Back
Top Bottom