Askofu Shoo (KKKT): Viongozi wote waliokuwa VIFUTU kipindi cha Magufuli basi wajiandae kuondolewa

Na vyeti vya elimu vya Bashite sasa ni muda muafaka vianze kuchunguzwa
 
Mkanda urudiwe: 1. Mwigulu Nchemba. Sija amini

2. Polepole, Bashite na Bashiru hawa wafukiwe ardhini wakiwa hai.
 
Hapi wa Iringa huyu muda utaongea tu maana alifikia hatua had ya kutukana wastaf wetu huyu atawindwa had anaingia kaburin na dawa yake ishachemka tayal Bado kuinywa tu.kadharirisha Sana watumish wa umma kisa sifa za kijinga Sasa akae akijiua anawindwa na atajaa tu kwenye 18 .

Chalamila wa mbeya
Mnyeti
Bashite huyu Bado Bado ana kinga maana ana ukaribu na mama yetu mpendwa so anawekwa pending Kwanza.
Bashiru huyu ashalipwa tayal watu hawana muda nae Tena.
Polepole atalipwa kwa unafki wake
James heri ashaomba msamaha ila atafikiliwa
Wasiojulikana watajulikana tu.
Ole sabaya wa hai yaan huyu kima siku akija ingia kwenye kumi na nane za wadau hasa wafanyabiashara wa hai aliowapora Mali zao nahis watamf...ra kabisa na kumpiga shaba ya matakon
 
Mku hawa ndo walitoaga waraka Utekaji ukawa usikiki tena mpaka waziri wa ulinzi akamtumbua mtu baada ya kuutolea ile waraka majibu na haikupita muda Jpm akamtumbua kabisa waziri wa ulinzi ndugu yangu Mwigulu.
Kwa hiyo mwanaccm mwenzangu usiwachukulie poa viongozi wa Dini watoapo kauli zao kwani wanaaminika kuliko wanasiasa
 
Hawa watu sijui walijisahau vipi yaani,,wskageuka kuwa wanyama,wanaongoza kwa kukomoa,,
Ila mpaka sasa kuna watu wako kimya mno
1-lowasa,
2-kinana
3-ristam
4-makamba senior.
Kama hawapo yaani..
 
Askofu Dokta Shoo ATAKUFA na TUTAMZIKA na Chadema HAITAINGIA Ikulu.
 
Samahani, hayo yanahusiana vipi na ufufuko? Ya kaisari tumwachie kaisari. Leo siku muhimu, pangua pangua ni kazi ya mama Samia si ya YESU. Leo tungeelezana habari za ufufuo.
Wafuasi wa Ibilisi Jiwe utawajua kwa maswali yao .
 
Na habari za YESU zitasemwa na nani kama siku ya ufufuo wapakwa mafuta wataongelea habari za panga pangua za samia?
Mkuu kama unakumbuka Kimei alivyochukua tu fomu kugombea ubunge, hata kabla hajapitishwa na chama wakawa wameshampangia Magufuli amteue kuwa waziri wa fedha.

Watu wa ovyo na hatari sana hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…