Tusiobiri tuone yule mpuuzi wa Arusha atatoka na povu la aina gani ,asante sana Baba Askofu.Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.
Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.
Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Na ndicho alichomaanisha huyu MTU wa Mfumo!!Awamu 2
1. 2015 - 2020 akiwa na magu
2. 2020 - 2025 bila Magu.
Hiyo ni awamu ya tano ya vipindi viwili!
We ndio maandazi kweli hivi CCM umewaona mafala sana au sio?Natamani sana katiba ibadilishwe, Tanzania tuwe na Malkia wetu wa kwanza, mama Samia Suluhu Hassan.
Yaani.....unafiki mtupuMbona na yeye anachofanya ni uchawa pia.
Ajaye ni Dr Mwigullu PhD 😂😂Natamani sana katiba ibadilishwe, Tanzania tuwe na Malkia wetu wa kwanza, mama Samia Suluhu Hassan.
Ana maanisha kama kuuza Bandari,mashirika ya umma na mengine makubwa kuliko hats watangulizi wake ikiwemo kuuza ardhi kwa waarabu!!Haya maneno yanafikirisha. Yanaleta maswali mengi.
Sio Ndugu Februari Malope?Ajaye ni Dr Mwigullu PhD 😂😂
Kashindwa kuelewa kuwa hata yeye anachokifanya ni uchawa...Chawa hata huko MadhabaHUNI wapo.....
Huyo ni Waziri MkuuSio Ndugu Februari Malope?
Mbona sijaona alipotaja vipindi 2, zaidi ya maneno vya kikatiba?Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.
Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.
Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Hapo anawasema akina mche 😀Kashindwa kuelewa kuwa haya yeye anachokifanya ni uchawa...
Vipindi vitatu sio viwili mpaka 2035 nyoosha maelezo hii amechukua tu sub bado yeye kuingia kupiga jaramba kwa nafasi yake akamue vipindi vyake viwili ukijumuisha na hiki vitatuMbona sijaona alipotaja vipindi 2, zaidi ya maneno vya kikatiba?