Askofu wa kanisa la Ufunuo ashutumu viongozi wa Kanisa Katoliki kwa kuingilia masuala ya siasa

Haya makanisa ya machawa, wavhumia tumbo, wanafiki, mafarisayo, manabii wa uongo yafutwe. Hawa wezi wasio kuwa faida na hata elimu ya dini hawana wakae kimya
 
Ni mpongeze kwa kuutimiza ule Unabii wa Bwana Yesu wa Siku za mwisho. Watakuja kwa jina langu na Mbwamwitu waliovaa umbo la kondoo.

Wamesema ukweli wote maana Kanisa Katoliki linaleta tishio la amani ya nchi yetu kwa kuingia huu Nkataba/haya makubaliano ya awali na dp world wenye vifungu vinavyopigiwa kelele kila kona ya nchi. Kanisa Katoliki ni chanzo cha vurugu. Ni wape tahadhari hakuna mtu yeyote ataugawa Mwili wa Kristo Yesu kwa manufaa yake ya kisiasa.
 
KAMA MNAPINGA WARAKA WA TEC HEBU NA NYINYI TOENI WARAKA WENU ACHENI KUIJADILI TEC JADILINI BANDARI NA MKATABA
 
Hapa wachungaji ndo pa kupatia umaarufu msiache lipite hili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mwenye kanisa mzee gwajima ndio wa kwanza kuchanganya dini na siasa sasa huyu kwann asimkemee boss wake ajiuzulu na ubunge arud kuchapa injili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…