Asome kozi gani kati ya hizi ili kuendana na soko la ajira la sasa hapa nchini

Asome kozi gani kati ya hizi ili kuendana na soko la ajira la sasa hapa nchini

Pionaire

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
1,603
Reaction score
1,135
Habari wanaJF, Natanguliza shukrani.

Kuna mdogo wangu kwenye haya matokeo ya mwaka huu mwezi wa pili ya kidato cha nne alipata ufaulu wa DIV 2 YA 18(CIVICS: C, HISTORY: B, GEOGRAPHY: C, KISWAHILI: B, ENGLISH: C, LITERATURE: C, CHEMISTRY: C, BIOLOGY: B, MATHEMATICS: D, PHYSICS: D).

Alipangiwa CBG...shule moja ipo singida inaitwa Mungu Maji Sekondary, baada ya majadiliano nyumbani tukakubaliana tumpeleke chuo hivi vya kati maana yeye binafsi iyo combination ya CBG haikuipenda na alitaka chuo kwamaan alijaza kwenye zile fomu za TCM-9 sema serikali hawakumchagua.

Anataka afya, Ndo nikasema niwaulize wadau maana humu kuna watu wa taaluma tofauti tofauti...KULINGANA NA SOKO LA AJIRA LA SASA KWA UZOEFU WENU TUMPELEKE AKASOMEE FANI IPI KATI YA HIZI WANDUGU...
(i) Clinical Dentistry
(ii) Diagnostic Radiotherapy
(iii) Occupational Therapy
(iv) Physiotherapy
(v) Clinical optometry
(vi) Dental Laboratory technology
(vii) Orthotics & Prosthetics
(viii) Health record & information
(ix) Electrical and Biomedical Engineering.
 
Pia naomba kufahamishwa juu ya ile BIOMEDICAL EQUIPMENT ENGEENERING YA DIT NI SAWA NA ELECTRICAL & BIOMEDICAL ENGEENERING INAYOTOLEWA PALE ARUSHA na MVUMI?
 
Diagnostic radiography na biomedical zingemfaa sana tatizo ana D ya physics na mathematics

Hapo akasome dental technology kuna uhaba mkubwa sana wa watengeneza meno bandia
 
Diagnostic radiography na biomedical zingemfaa sana tatizo ana D ya physics na mathematics

Hapo akasome dental technology kuna uhaba mkubwa sana wa watengeneza meno bandia
Sawa, ila sijaelewa kitu mkuu...kwamba izo D za Mathe na Physics kakosa vigezo ama?...maan navyoelewa mimi D ni pass tayari kweny matokeo na kwenye izo kozi wanataka principal pass tu kwenye hayo masomo uliyotaja wew...kwahiyo vigezo anavyo kabisa.

AU NIMEELEWA TOFAUTI NDUGU?....Cheki apo chini alafu utoe mrejesho.

*Ipo namba.2 hapo.
1000010990.jpg


*ipo namba.12 hapo mwishoni.
1000010989.jpg
 
Sawa, ila sijaelewa kitu mkuu...kwamba izo D za Mathe na Physics kakosa vigezo ama?...maan navyoelewa mimi D ni pass tayari kweny matokeo na kwenye izo kozi wanataka principal pass tu kwenye hayo masomo uliyotaja wew...kwahiyo vigezo anavyo kabisa.

AU NIMEELEWA TOFAUTI NDUGU?....Cheki apo chini alafu utoe mrejesho.

*Ipo namba.2 hapo.
View attachment 3011873

*ipo namba.12 hapo mwishoni.
View attachment 3011874
Siku hizi kinachoangaliwa competition. Fikiria huyu ana compete na mwenye division three form six
 
Diagnostic Radiography: Muhas, Bugando, Benjamin Mkapa

Dental techn. MUHAS

Biomedical engineering: MUST, D.I.T, na kile chuo cha Arusha
Well said mkuu...ngoja ajaribu kwanza, nafahanu changamoto ya hawa madogo waliotoka form.4 kweny hizo kozi za diploma ni vijana wa form.6 waliokosa kwend bachelor...huwa wanaangaliw sana kuliko wao.
 
Diagnostic Radiography: Muhas, Bugando, Benjamin Mkapa

Dental techn. MUHAS

Biomedical engineering: MUST, D.I.T, na kile chuo cha Arusha
Hii kozi nadhani iliondolewa maana mwaka jana niliifuatilia nikaambiwa haipo na hata kwenye Diploma course wanazotoa sijaiona.
 
Pia naomba kufahamishwa juu ya ile BIOMEDICAL EQUIPMENT ENGEENERING YA DIT NI SAWA NA ELECTRICAL & BIOMEDICAL ENGEENERING INAYOTOLEWA PALE ARUSHA na MVUMI?
Sio sawa huyo wa arusha tech anaweza ajiliwa kama electrical lakini wa dit au wa MUST hawezi ajiliwa kama electrical,kama kijana yupo vizuri aende Arusha.
NB; Kama yupo vizuri elimu yao ngumu sana.
 
Back
Top Bottom