Asome kozi gani kati ya hizi ili kuendana na soko la ajira la sasa hapa nchini

Asome kozi gani kati ya hizi ili kuendana na soko la ajira la sasa hapa nchini

Kwann asisome kozi za kilimo mifugo uvuvi diploma wanaajiriwa sn tu nata asipoajiriwa anakuwa yupo vzur kujiajiri mwenyew
Hizo za kilimo na mifugo hapana mkuu, maana juzijuzi tu NILIENDA KWENYE INTERVIEW UTUMISHI DODOMA KULE ASHA-ROSE MIGIRO....YANI WALIKUWA WENGI HAO WATU KWA WALE WA MIFUGO WALIKUWA 1600...NA NAFASI ZILIKUWA 30 TU. EBU IMAGINE😁😁😁
 
Kwann asisome kozi za kilimo mifugo uvuvi diploma wanaajiriwa sn tu nata asipoajiriwa anakuwa yupo vzur kujiajiri mwenyew
Hawa maisha yao hayana utofauti na walimu akili yao yote inalala kwenye ajira za serikali,serikali wasipotoa post ndio basi hawajui wafanye nini,na hata wakipata hizo posts za serikali mishahara inakuwa midogo halafu maisha yao ni vijijini ndanindani huko hata hawafurahii maisha.
 
Habari wanaJF, Natanguliza shukrani.

Kuna mdogo wangu kwenye haya matokeo ya mwaka huu mwezi wa pili ya kidato cha nne alipata ufaulu wa DIV 2 YA 18(CIVICS: C, HISTORY: B, GEOGRAPHY: C, KISWAHILI: B, ENGLISH: C, LITERATURE: C, CHEMISTRY: C, BIOLOGY: B, MATHEMATICS: D, PHYSICS: D).

Alipangiwa CBG...shule moja ipo singida inaitwa Mungu Maji Sekondary, baada ya majadiliano nyumbani tukakubaliana tumpeleke chuo hivi vya kati maana yeye binafsi iyo combination ya CBG haikuipenda na alitaka chuo kwamaan alijaza kwenye zile fomu za TCM-9 sema serikali hawakumchagua.

Anataka afya, Ndo nikasema niwaulize wadau maana humu kuna watu wa taaluma tofauti tofauti...KULINGANA NA SOKO LA AJIRA LA SASA KWA UZOEFU WENU TUMPELEKE AKASOMEE FANI IPI KATI YA HIZI WANDUGU...
(i) Clinical Dentistry
(ii) Diagnostic Radiotherapy
(iii) Occupational Therapy
(iv) Physiotherapy
(v) Clinical optometry
(vi) Dental Laboratory technology
(vii) Orthotics & Prosthetics
(viii) Health record & information
(ix) Electrical and Biomedical Engineering.
Katika fani zote hizo ulizozitaja hapo azingatie hizi mbili tu yaani hiyo ya kwanza na ya mwisho ndio itampa maisha yaani itakuwa rahisi kupata ajira lakini hata asipopata ajira bado hatoyumba atakuwa na uwezo mkubwa wa kujiajiri mwenyewe na maisha yakaenda.
1.Clinical Dentistry
9.Electrical and Biomedical Engineering
Hizo zingine achana nazo
 
Back
Top Bottom