Walisema sio wote wanaojiita maaskofu watauona ufalme wa mbingu
Ila a serious note....kwenye mkao kama huu usiende na :car:...can be fatal!
Walikuwa wanatumia kutengeneze mkia wa jogoo
Unaweza kusahau njia ya kurudi nyumbani kwako....
Labda alienda kuongezea na Gongo
Sasa...mkishaamka (i.e Asprin, The Finest, Teamo and the company) mnitafute maana nina assignment kwenu... Sawa? Good!
Unaweka rivasi toka gongo la mboto hadi bunju.....
Hahahaha alienda kuchakachua duh
Sasa...mkishaamka (i.e Asprin, The Finest, Teamo and the company) mnitafute maana nina assignment kwenu... Sawa? Good!
Wakutafute wapi Smiles....
Ukizingatia hii status yako😛osted via Mobile....
Sasa...mkishaamka (i.e Asprin, The Finest, Teamo and the company) mnitafute maana nina assignment kwenu... Sawa? Good!
Ina maana hana location maalum...:confused2:
Michezo ya kupanga chupa tupu za valuu na konyagi mezani au michezo gani?
Trarrrrrrrraaa chachachachachahhhhhhhhhhh alaji! alaji! alaji.....gudududududududududdu!:doh::doh::doh:Michezo ya kupanga chupa tupu za valuu na konyagi mezani au michezo gani?
Location maalum nina hakika anayo.....ni kiasi cha kupataja tu....ila angealika mmoja mmoja...:dance::dance:
Sista Gabriella anaijua muulize atakwambia
Trarrrrrrrraaa chachachachachahhhhhhhhhhh alaji! alaji! alaji.....gudududududududududdu!:doh::doh::doh: