Assad kawatesa Sana Wasyria kwenye gereza la Sednaya

Humu kuna story nyingi za kwenye kahawa....cheki huu mkeka
 
Tukiwa hai hatujui hilo...
Na ndiyo maana mwenye Mali akifa ndugu kwa hasira huzitumia kwa mwezi mmoja.Lakini kama mtu aliishi nao vizuri hata kwa kiasi bas watawaangalia mpaka watoto wa marehemu
Ni sahihi
 
wewe ni big sucker
 
Mimi sishangai hata kidogo, waarabu ni jamii ya watu wakatili sana duniani na hilo halina ubishi.

Kumbuka wakati wa biashara yao haramu ya utumwa ukatili waliofanyiwa mababu zetu kama kutobolewa visigino na kuingiziwa minyororo ili wasiweze kutoroka kwenye msafara wa kupelekwa Bagamoyo.

Kibaya zaidi watumwa vijana wa kiume walihasiwa mithili ya ng'ombe ili wasiweze kuzaa huko uarabuni na Asia walikokuwa wakipelekwa utumwani.

Angalia leo wanavyoweza kujilipua na mabomu na kuua watu hovyo kisa tu kutimiza malengo yao ya kiimani na kwa kweli ni jamii moja ya watu wa hovyo sana.

Wao kwa fikra yao finyu wanatamani kila mtu duniani awe anafuata utamaduni wao wa karne ya saba na kama unakataa adhabu yako iwe ni kukatwa kichwa kwa jina la mungu wao anayeitwa allah. Bure kabisa.
 
Wanao uwana kwa ajili ya madaraka ni waarabu tu?
 
Ni kweli. Mpaka leo dada zetu wanaopelekwa Uarabuni eti ajira za ndani, wanafanywa watumwa wa ngono, wanapigwa, wananyimwa mishahara na kunyang'anywa passport. Waarabu ni wanyama wa hovyo.
 
Kuna mfungwa mmoja gereza lilivyofunguliwa akakimbia kuelekea wafungwa wenzake wanapoelekea. Akafika nje akaona raia wanashangilia, akaja kuuliza kipi kimetokea huku anachechemea, akajibiwa serikali imeanguka. Akaangua kicheko cha furaha huku anakimbia.

Mwingine alipofunguliwa akaja na hofu akidhani Saddam Hussein kavamia nchi. Hajui kwamba Saddam alishakufa miaka zaidi ya 20 nyuma. Wengine inasemekana hawakuwa wanajua hata kama Assad senior aliishafariki na aliyeondolewa ni mtoto wake.

Humo kwenye gereza kulikuwa na magaidi, wakosoaji wa serikali, ISIS, Islamic extremists, wapinzani, waasi. Walikuwemo wema na wabaya.

Hata serikali ijayo ya Syria itakuwa na gereza kubwa na itafunga maelfu ya watu na itaua sana. Middle East ina maisha yake yasiyobadilika. Watu wamepinda, serikali lazima ipinde kama wao.
 
Lakini huko ndio sehemu nzuri ya kwenda kuchukua watoto wa kiarabu, na kuwaleta Bongo...
 
Biashara ya utumwa ilifanywa na waarabu tu.?
Babu zako walienda U.S.A, U. K kutafuta maisha..?
 
Wewe punguani sana unamlaumu Assad kisha unamshabikia Netanyahu mateso anayaowapa wapalestina wewe unaona ni sawa pumbavu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…