Assad kawatesa Sana Wasyria kwenye gereza la Sednaya

Assad kawatesa Sana Wasyria kwenye gereza la Sednaya

Ndg yangu sisi tumeishi Iran Kwa muda sasa. Kama miaka 11. Kwa sasa kuna taharuki kubwa Sana huku. Waafrika wengi wameanza kung'oa hususan wanaotoka nchi zinazoongea kingereza. Nikipata muda nitawaeleza NI Kwa nn. Mtashangaa Sana. Kuna mengi wanaafrika hawajui
Huku watu wanaangalia CNN na BBC na mitandao kiasi kwa hiyo pumba zote zinaokotwa huko
Na wengi ni washabiki tu wa dini au rangi
 
Huku watu wanaangalia CNN na BBC na mitandao kiasi kwa hiyo pumba zote zinaokotwa huko
Na wengi ni washabiki tu wa dini au rangi
Mkuu, inamaana Waingereza ni wajinga kiasi hicho?!

Basi hawana tofauti na Level yetu ya Kizezeta.
 
Nlichogundua nchi zaa kiarabu haziwezi tawalika bira mkono wa chuma.
 
nani kakwambia gerezani pahala pa starehe, gereza lolote ni sehemu ya kutumikia adhabu kulingana na kosa ulilofanya, kama kunyonga ata nchi zetu bado tuna adhabu ya kunyonga na kuua,
kusema asad alikua katili sababu chini ya utawala wake kulikua na magereza ya kunyongea inashangaza.
 
Nina fuatilia hapa Al Jazeera kuhusu yaliyokuwa yanafanyika kwenye gereza la Sednaya nadhani Assad alikuwa mtu katili Sana. Ndio maana wasyria wameshangilia Sana. Leo halaiki ya watu walifika kwenye gereza la Sednaya kuona kama ndugu zao bado wapo. Ila kwa masikitiko wengi hawapo aidha walikufa kwa mateso au waliuawa na askari wa Assad. Nimejiuliza kwa Nini waarabu wanachukiana hivi?. Unabadilisha gereza kuwa machinjio ya raia wako. Kweli Assad hafai kabisa.

Ukisikiliza shuhuda za hapo utashangaa Sana. Watu walikatwa miguu na wengine kuuawa. Kuna wengine wamepotea kabisa . Inadaiwa wafungwa karibia 1000 waliuawa kwenye kipindi Cha Assad. Huyu hakuwa binadamu wa kawaida .
History is not almost the story
 
Na ukute alikuwa hapitwi na sala
Nataman wangemkamata wakamuua shetan
 
Back
Top Bottom