Assad kawatesa Sana Wasyria kwenye gereza la Sednaya

Aisee... nimeona yale Mapipa ya Acid ambayo Mtu akishanyongwa anatiwa ili mabaki ya Mwili yayeyuke..aloo...yule Dikteta kaua sana Watu wake kwa tamaa ya Madaraka.
 
Wewe unafikiri itokee CCM madarakani, hata hapa Tanzania si itakuwa hivyo hivyo? Watu itabidi wazunguke magereza yote na zile kambi za mateso za TISS kwenda kuwatafuta akina Ben Sanane, Azory Gwanda, Kanguye, akina Soka, n.k.

Utawala wa kwetu hapa una tofauti ndogo sana na huo wa Assad. Huko Syria, shetani ilikuwa ukoo wa Assad, hapa kwetu shetani wetu mkubwa ni CCM.
 
Dah watu wa MUNGU huwindwa kila siku
 
Nilipita huko miaka ya nyuma yaani Syria na Jordan nchi mbili tofauti kabisa
Syria ni wakomunist ukiingia kutoka ni kazi maana hata $ hupati ni mwendo wa kuruka tu
Ubabe mwingi hata Iraq ina unafuu sana enzi hizo
Kote nimeishi
Aisee!
 
Unafikiri mtoa mada ana ubongo wa kuelewa ulichoandika?
 
Aisee... nimeona yale Mapipa ya Acid ambayo Mtu akishanyongwa anatiwa ili mabaki ya Mwili yayeyuke..aloo...yule Dikteta kaua sana Watu wake kwa tamaa ya Madaraka.
Nipe link mkuu, nikajionee ukatili kama wa serikali ya CCM
 
Na hutasikia wakiandamana wao wanasubiri myahudi na mmarekani atuhumiwe kuua na kutesa ndiyo wapige kelele, Assad kaua sana waislamu
 
Waliotoboa visigino mababu zako ni haohao mababu wakiuzana wenyewe kwa wenyewe na kutoboana..... Mwarabu munamsingizia tu.
 
Soma kitabu katiba I mean Quran siku hizi zipo za kiswahili na kiingereza pia Uislam ni simpo sana shika nguzo 5 hakuna atakae kuyumbisha na kijidhehebu chochote uchwara, lakini ukimsikiliza kila shekh umepotea
 
Ila hutasikia wenzao wa huku TZ wakitoa tamko!wako kimyaàaaa!ila angekua kafanya mmarekani au muisrael hapo ungesikia yowe kila mahali!BATAWAHED
 
— 🇮🇷 🇮🇷 🇸🇾 Deputy Commander-in-Chief of the IRGC 'Khatam al-Anbiyaa' Headquarters: 'Bashar al-Assad did not request Iranian help – in fact he actibely prevented us from coming and helping'

General Mohammad Jafar Asadi, deputy commander of Khatam al-Anbiyaa HQ:

– Bashar al-Assad said to one of our (Iranian) officials: 'My soldiers have truly become either smugglers or thieves, they only defend those who offer them bribes and privileges. They could not defend me, and when I wanted to protect at least Damascus, I realized that they were not able to protect Damascus either.'

– Bashar al-Assad did not allow us (the IRGC) to go help the Syrian Arab Army, although he asked us for assistance in the past, but this time he not only did not ask, but he was worried about us leaving, and said that 'if you come, Israel will probably attack us'.

– Turkey is a part of NATO, and we should not see or accept this country anywhere outside of America and Europe. Turkey is a part of them, and with this attitude, it serves America. America is active behind the scenes.

– It seems that the factions present in Syria will clash with each other based on their own different interests. Maybe separating Syria is Turkey's desire, because they have been coveting a part of Syria for a long time.

@Middle_East_Spectator
 
HUYUU WANGEMPELEKA AKAONA WALE BIKIRA 72 HANA ADABU SIO WA KUONDOKA HIVIHIVI
 
Waliotoboa visigino mababu zako ni haohao mababu wakiuzana wenyewe kwa wenyewe na kutoboana..... Mwarabu munamsingizia tu.
Wewe unawatetea kwa sababu kwa fikra zako potofu unaamini kwamba wenyewe ndio wamekufanya umjue mungu wao anayeitwa allah.
 
Biashara ya utumwa ilifanywa na waarabu tu.?
Babu zako walienda U.S.A, U. K kutafuta maisha..?
......... Lakini huko Ulaya na Marekani hawakuteswa kama walivyoteswa wale waliochukuliwa na waarabu na ushahidi upo kabisa.
 
Nilipita huko miaka ya nyuma yaani Syria na Jordan nchi mbili tofauti kabisa
Syria ni wakomunist ukiingia kutoka ni kazi maana hata $ hupati ni mwendo wa kuruka tu
Ubabe mwingi hata Iraq ina unafuu sana enzi hizo
Kote nimeishi
Ndg yangu sisi tumeishi Iran Kwa muda sasa. Kama miaka 11. Kwa sasa kuna taharuki kubwa Sana huku. Waafrika wengi wameanza kung'oa hususan wanaotoka nchi zinazoongea kingereza. Nikipata muda nitawaeleza NI Kwa nn. Mtashangaa Sana. Kuna mengi wanaafrika hawajui
 
Ni kweli he was a dictator
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…