Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Huku watu wanaangalia CNN na BBC na mitandao kiasi kwa hiyo pumba zote zinaokotwa hukoNdg yangu sisi tumeishi Iran Kwa muda sasa. Kama miaka 11. Kwa sasa kuna taharuki kubwa Sana huku. Waafrika wengi wameanza kung'oa hususan wanaotoka nchi zinazoongea kingereza. Nikipata muda nitawaeleza NI Kwa nn. Mtashangaa Sana. Kuna mengi wanaafrika hawajui
Mkuu, inamaana Waingereza ni wajinga kiasi hicho?!Huku watu wanaangalia CNN na BBC na mitandao kiasi kwa hiyo pumba zote zinaokotwa huko
Na wengi ni washabiki tu wa dini au rangi
Nakubaliana na wewe.Huku watu wanaangalia CNN na BBC na mitandao kiasi kwa hiyo pumba zote zinaokotwa huko
Na wengi ni washabiki tu wa dini au rangi
Hapana aiseeMkuu, inamaana Waingereza ni wajinga kiasi hicho?!
Basi hawana tofauti na Level yetu ya Kizezeta.
History is not almost the storyNina fuatilia hapa Al Jazeera kuhusu yaliyokuwa yanafanyika kwenye gereza la Sednaya nadhani Assad alikuwa mtu katili Sana. Ndio maana wasyria wameshangilia Sana. Leo halaiki ya watu walifika kwenye gereza la Sednaya kuona kama ndugu zao bado wapo. Ila kwa masikitiko wengi hawapo aidha walikufa kwa mateso au waliuawa na askari wa Assad. Nimejiuliza kwa Nini waarabu wanachukiana hivi?. Unabadilisha gereza kuwa machinjio ya raia wako. Kweli Assad hafai kabisa.
Ukisikiliza shuhuda za hapo utashangaa Sana. Watu walikatwa miguu na wengine kuuawa. Kuna wengine wamepotea kabisa . Inadaiwa wafungwa karibia 1000 waliuawa kwenye kipindi Cha Assad. Huyu hakuwa binadamu wa kawaida .