At their peaks,nani alikuwa mkali zaidi...Marlaw Vs Mb Dogg?

At their peaks,nani alikuwa mkali zaidi...Marlaw Vs Mb Dogg?

Hivi Mb maana yake ni Member of Parliament au mimi tu na akili zangu za kukariri
 
MB dog... kwa mara ya kwanza natafuna papuchi ngoma ya ratifa iko radio inabang.... siwezi kusahau hili asee
 
Kuna muda nilikua najiuliza uyu jamaa anawezaje kutunga nyimbo kias kile mb dogg sio tu kwamba marlow au nan mpaka leo hii ni msanii mkubwa sana ambae aliutendea haki mzik wa bongo fleva tutawashindanisha wasanii kimapenz ya kibinadam ila mb dogg ni hatar zaid
 
Kuna muda nilikua najiuliza uyu jamaa anawezaje kutunga nyimbo kias kile mb dogg sio tu kwamba marlow au nan mpaka leo hii ni msanii mkubwa sana ambae aliutendea haki mzik wa bongo fleva tutawashindanisha wasanii kimapenz ya kibinadam ila mb dogg ni hatar zaid
Nlikua form 2 kipindi hicho tulikua tuna enda kusoma magetoni kwa brother wake classmate wetu pale Getho kulikua na radio yule bro alikua kanunua album ya MB Doggy inagongwa asubuh hadi jioni nlikua nikitoka tu shule nawahi Getho kujisomea huku nasikiliza madini ya huyu nguli wa mziki, salute kwake, kilinge chetu kilikua cha watu wa hip hop ila kwa MB doggy tuli legea
 
Hadi sasa,,, MB Dog kazoa kura zote!
Mb dog ni mkali zaidi!
Jamaa alikuwa anajua sana
Majuzi tu hapa nilijikuta nazitafuta nyimbo zake nazipakua kwenye sim yangu,, nikiwa nmetulia zangu napiga ngoma moja baada ya nyingine najiskia poa sana
 
Najua kuna mpishano kidogo wa eras,lakini hawa wote kwa kipindi fulani walishawah kuwa kwenye peak ya Bongo fleva
Kwa mtazamo wako yupi alikuwa mkali zaidi?

Mb Dogg aliwahi kutamba na hits kama
-Latifa
-Si uliniambia
-Mapenzi kitu gani
-Natamani
-Inamaana

kwa upande wa Marlaw
-Rita
-Bembeleza
-Pi Pii
-Busu la pink
-Bado umenuna
Iv marlaw alikua anaimba nini,
Na dog man kweli at his peak ebu tuache utani bora ata ungemuweka tonya kidg
 
Back
Top Bottom