cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingekimbiza sana, manake hatuelewi Mapiano yanayoimbwa na wasanii wa sasa...
Hivi mapiano ilitokea wapi? Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingekimbiza sana, manake hatuelewi Mapiano yanayoimbwa na wasanii wa sasa...
Hivi mapiano ilitokea wapi? Lol
Sasa unadhan Nancy hakujua? Saiv c angekua manzese, mchezeshaji wa vicoba au Upatu. Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]sio wana jf wa miaka hyo!ndo ukweli ulivyo!alimkataa live kabisa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ritha [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Kwangu Marlow ndiye ninaye mkubali na nyimbo ninayo ikubali sana ni bado umenuna.
Nlikua form 2 kipindi hicho tulikua tuna enda kusoma magetoni kwa brother wake classmate wetu pale Getho kulikua na radio yule bro alikua kanunua album ya MB Doggy inagongwa asubuh hadi jioni nlikua nikitoka tu shule nawahi Getho kujisomea huku nasikiliza madini ya huyu nguli wa mziki, salute kwake, kilinge chetu kilikua cha watu wa hip hop ila kwa MB doggy tuli legeaKuna muda nilikua najiuliza uyu jamaa anawezaje kutunga nyimbo kias kile mb dogg sio tu kwamba marlow au nan mpaka leo hii ni msanii mkubwa sana ambae aliutendea haki mzik wa bongo fleva tutawashindanisha wasanii kimapenz ya kibinadam ila mb dogg ni hatar zaid
Mapenzi ni kitu gani ft chelea man kama sikosei.kuna moja anadai ya kwamba mademu wengi wanamshobokea sababu ana jina ila yule demu anayemuelewa hamtaki
hii ngoma nasikia ilikuwa dedication kwa nancy sumari,kwa mujibu wa wana JF waliokuwepo Daslamu miaka hiyo
Nafikiri itakuwa biti zake zinatengezwa na piano nyingii, ndio maana yakaitwa MAPIANOIngekimbiza sana, manake hatuelewi Mapiano yanayoimbwa na wasanii wa sasa...
Hivi mapiano ilitokea wapi? Lol
Mzee ulikula maharage ya wapi!?Bado umenuna ni mb dog [emoji190] [emoji23][emoji23][emoji23]
MegaByteHivi Mb maana yake ni Member of Parliament au mimi tu na akili zangu za kukariri
Iv marlaw alikua anaimba nini,Najua kuna mpishano kidogo wa eras,lakini hawa wote kwa kipindi fulani walishawah kuwa kwenye peak ya Bongo fleva
Kwa mtazamo wako yupi alikuwa mkali zaidi?
Mb Dogg aliwahi kutamba na hits kama
-Latifa
-Si uliniambia
-Mapenzi kitu gani
-Natamani
-Inamaana
kwa upande wa Marlaw
-Rita
-Bembeleza
-Pi Pii
-Busu la pink
-Bado umenuna