Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Tusimame kwa dakika 5 kushukuru taifa hili linalotoa misaada katika sekta mbali mbali.
 
Kwani wewe nani kaka au ninyi ni nani? Tunafuatilia kujua wanaofadhili au wanaotumika kigaidi ndiyo maana tunataka kujua ninyi ni akina nani? Mnahusikaje na mambo ya Amboni Tanga?
 
Hayaa! Washaigusa tayari tena vibaya, sasa sijui ni wewe ndo utawafuta walioipiga Medina!
 
Tayari kimenuka huko saudia,tena sio saudia holela ni zile sehemu nyeti kabisa.Haya matamshi yanayotolewa nyuma ya key board huku umejificha yanatabu sana.
Saudia yenyewe unaisikia kwenye redio tu then mikwara kibao.
Chamsingi tuiombee dunia amani hilo ndilo lamsingi lakini sio hivi vituko.
 
Washalipua msikitini kwa mtume nenda kawatetee
 
Saudia itapigwa tu one of these days, haiwezekani ifadhili magaidi wanaochafua dunia nzima halafu dunia tuwaangalie tu.
Mnafwata magaidi mnafwata malii kuwaibia wananchi..Iraq mlipeleka silaha zenu wameuana mmendabeba mafuta
 

Pumbavu! Kumbuka damu za watu mlioua na manoendelea kuwaua bila hatia zinawalilia. Shenzi mashetani wakubwa!. Mwisho wenu umefika mizoga ya mbweha nyie!
 
Tuache kushukuru misaada ya magharibi ambayo inaonekana tuwashukuru waarabu ambao hata hatujawahi kusikia wanatoa hata net!! Bora ungesema hata China na japani labda!! Una yako ww
 
Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Taifa teule Israel usiteulishe ovyo mataifa kwa mdomo wako usio na breki
 
Naendelea kusisitizaza kuwa kwenye maswla ya imani sisi binadamu ni wanafiki kupindukia na ni bora hata wapagani mungu anaweza kuwasamehe kuliko sisi tunaomdhihaki.
Apo umenena mkuu watu wengi ni wanafki saana afu wanajifanya wameshika dini ndo maana sisi wngne wanatuweka njia panda kwanza hayo maarabu yana roho mby sana tangu enzi za utumwa halafu yanatuambia tuffuate dini
 
Ni bora tukaendelea kulienzi taifa hili teule kwa misaada yake ya kibinadamu hasa nchi maskini. Hongera Saudia.
 
Utafanya hayo yote wewe na nani?
 
Saudi Arabia ndo kimbilio letu sisi nchi maskini. Udumu milele taifa teule.
 
taifa hili limetoa misaada na ajira sana kwa waafrika kotekote nchini mwao kama WAFANYAKAZI WA NDANI (house maids) na katika nchi mbali mbali za afrika kwenye vitega uchumi vya raia wa Saudi Arabia. Pia tunapata TENDE & NYAMA toka Arabuni.
 
Saudi itaanguka yenyewe. Nchi inaongozwa kwasheria za miaka ya ujima. Ukooo wa kifalme ndio wana haki. We gine wote nikama mahouse boys. Ssaudi hata misri ambao ni wa sunni wenzao awawa-support kutokana wanvyowanyanyasa shia kwao ba hasa baharein na yemmen huku wa kijua kuna iran inayozidi kua na nguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…