people will perish and leave the worldMyaonayo hayo mjue Mwana wa Adam yu karibu kuja. Take from me Dunia ipembezoni sana tujiandaeni tu kiama ki karibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
people will perish and leave the worldMyaonayo hayo mjue Mwana wa Adam yu karibu kuja. Take from me Dunia ipembezoni sana tujiandaeni tu kiama ki karibu.
Ni mganga maarufu anatumia "kisomo" kutibu anafikiri majini yatamsaidia!Anae toa kauli hana ata cheo cha ukuu wa kaya
MtafanyajeMtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
..hawa watu huchangia tende tu,..cvinginevyo!Ebu niambie mkuu ni lini wamechangia kwy bajeti yetu.?
[emoji1][emoji1][emoji1]Silaha za tende anazogawa dunia nzima
yaani kijana mzaliwa wa Tanzania badala aipiganie nchi yake anaangaika na nchi ya wenyewe.....kwa kweli huu ni upumbavu na u....... uliopitilizaWasaudia weusi wakali kuliko wazawa wa saudia
Ufalme Wa Saudi asili yake ni wazayuni nandio wanaoitawala nchi,sio waarabu wale ni watoto Wa MUNGU MKUU aliowapendelea sanaSaudia sio takatifu ila INA maeneo takatifu. Na wala haiongozwi kiislamu Bali na walfame wanaofuata dini ya kiislam.
Kaka hao sio waarabu ni waisrael waarabu amabao ni wengi Saudi Arabia awaongozi nchi,inaongonzwa na waisraeli fuatilia historiaMe ni mwislam ila ishu y kusema hilo taifa linatoa misaada unatuongopea hakuna wenye roho mbaya na dharau km hao waarabu.
Nani amekuambia Saudi ndio waarabu msipende kukurupukaTunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.