Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

mbona unalia 😂
 
uchawi upo ila hauna nguvu na huna limit mm mpk hapa naamini uchawi hauna nguvu anesema uchawi una nguvu aje nimuulize 😁😁😁
 
Nimemuona kwenye picha !kama ni yako KWELI bas bado hujakua!

Unafikiri watahangaika na hiyo biashara !!?watahangaika na watoto au ndugu wa karibu!utawatibu hadi utaishiwa fedha!!

Watamzingua mumeo mtazinguana hadi kipato kutashuka coz mafanikio mengine yanasababishwa na bond Kati YAKO na huyo ulie nae KWA muda mrefu!!
 
Muhimu kumbukeni hata wachawi huloga mtu potential siyo Kila mtu. Mfano, nani amewahi kuskia kichaa, mlemavu au mtu wa utindio wa ubongov(tahira) nk wamelogwa. Ebu tuwape heshima wachai wote popote walipo Duniani kwani ni watu makini sana. Hufanya upembuzi yakinifu kabla ya kufikia maamuzi, huwa hawakurupuki, wanachukua kilicho Bora. Sawa na Simba mnyama mwitu huwa hali mizogo yeye mizoga huachia fisi.

Kwa Hiyo hakuna sababu ya kujitapa kuwa eti mtu huwezi kulogeka sema tu huna sifa. It means you don't meet their needs.
 
Exactly haya maneno aende kijijini kwao akaseme
Mimi sirogi na siwezi mroga maana siupendi uchawi na nachukia wachawi ila akaseme hivi kijijini kwao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Exactly haya maneno aende kijijini kwao akaseme
Mimi sirogi na siwezi mroga maana siupendi uchawi na nachukia wachawi ila akaseme hivi kijijini kwao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hamna anayependa .
Mi nimeuliwa baba zangu ukoo wote, wa mwisho nilikua naye
Mzima tunaagana
Asubuhi namuona huyu hapa anahema.
kumbe kashapigwa huko
mkewe ndo shughuli zake.
ajabu
Wiki 2 nimeondoka huku nyuma nae kafa.
Mkewe kakimbilia kwenye ardhi kubwa.
Kuna makaburi saba pale.
Kilichompata na yeye na wanae.
Kakimbilia kanisani na kukiri uchawi wote aliofanya
Kuua baba zangu.
Ambao wote ni wakwe zake.
Mumewe kammaliza mwisho.
Alafu mtu aseme hamna uchawi
 
Wachawi wapi babu malofa tu. Biti nyingi still vipofu tu.
 
Nipe jina lako Kamili la mwanzo na jina la mama ako mzazi.. Inatosha..

Jina La baba ako usinipe
Mkuu analeta joki huyu Jeep rubicon Hawezi kutoa jina lake kamili angelitoa jina lake kamili watu wange mtengeneza kwa kumtoa damu ya hedhi iwe inamwagika kila siku kwa muda wa siku 7 angeitwa jina hili RIP Jeep rubicon.
 
ulogwe mara ya ngapi ulipo tayari habari yako.
 

Utajiri connection pia zipo jogoo na punje za mahindi.
 
Mimi sihitaji majina yako wala chochote kutoka kwako..nairoga hii thread na kombola litakufikia uko uko ulipo
Sasa wewe ndo tunaweza kufanya biashara.
Nasubiri kitu mkuu.
Waambie kabisa nini utanifanya.
Ila usiniue ili nije kutoa ushuhuda😂.
Na ukiweza kuniloga itabidi tukae mezani tuone namna gani tutumie ndumba kupiga hela na ikibidi tutumie uchawi wetu kunufaisha Taifa liwe first world country.
Na usafiri wetu wa ungo nitahakikisha unachuana na KLM,Ethiopian airline na Emirates kuongeza pato la taifa🤣
holy holm Half american Achraf hakim Bufa
 
Najiuliza na mim haya maswali mkuu.
Kwa hiyo kumbe bila majina huwezi logwa?
Hivi hakuna anayeweza kutumia hata hii ID yangu kuniloga?
Mbona kuna mtu nilimuona humu akimkanya mwenzie eti awe makini kuna wanga humu wanaloga hadi ID😂.
Kwani mim ni mzito sana hadi washindwe kuloga kupitia japo ID
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…