Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Kumbe mkuu ningejua nisingefanya marudio.
Ngojea niupitie uzi wako.
Kuna wakati nilikua Handeni huko ndani ndani.
Nikatokea kupendana na bibi fulani,akatukribisha kwake.Wenzangu wakagoma eti wenyeji wanasema tukilala.pale.kesho hatuamki.
Mimi nikalala.Bibi akanipikia ubwabwa mzuri na samaki.Tukapiga sana story.Bibi was so cool ila alikua anaogopwa na ametengwa eti ni mchawi na anahusishwa na vifo kadhaa pale kijijini.
Tukalala mimi na bibi na pakakucha salama
Wale wenzangu asubuhi wanalalamika eti huko walikolala hawakulala eti mauzauza Handeni hapafai.
Nikashangaa mim nilolala na mchawi mbona sijaona mauza uza

Wengi wenye imani za kishirikina sio timamu. Their whole thought process is illogical. Wanaamini tu kama nyumbu. Story zote za ushirikina ni hearsay na kuaminishana upuuzi tu. Huyo bibi wanaweza hata kumdhuru maskini kwa imani zao za kipuuuzi.

Haidhuru wewe kuanzisha uzi mwingine labda utapata majibu tofauti ila I can assure you utapewa excuses lukuki badala ya kuokoa nguvu na muda kwa kukuroga tu mwenyewe uje kutoa ushuhuda.
 
Sababu Imeandikwa; “ asiachwe mwanamke Mchawi kuishi “

Maana yake auliwe mara moja inapojulikana kuwa mwanamke fulani ni mchawi auwawe.

Mungu mpaka anaandika amri hiyo usizani ni jambo la masihara.

Neno la Mungu limehakikishwa mara 7.

Mungu anajua uharibifu na madhara anayosababisha
Mwanamke Mchawi Ndiyo maana akaagiza auliwe mara moja.
neno "Mchawi" lilivotumika kwenye biblia sio huu uchawi wa kiafrika tunaoujua na anaouzunvumzia mtoa mada. Kama kupaa na ungo au kuchanja watu chale, kudhuru watu kimaajabu ajabu na miujiza au kuingua ndani bila kufunguliwa mlango nk.

Neno hilo "mchawi" kwa dhana yetu ya kiafrica ni lipo kwenye biblia zetu kimakosa.
 
Sasa alogwe ili iweje hapa JF?
Ye atukane watu huko mitaani , vijijini.
Kazini
Ataleta mrejesho km ataweza kuandika
Ta det lugnt vänen.
Nishawahi kuongea hivi kwa mganga maarufu huko Sumbawanga.
Nilimfata kwa heahima tu nikamsalimia kisha nikamwambia ajikite kutibu kwa herbs aache kudanganya watu kwa tunguri.
Hakunijibu akaingia ndani,niliokua nao wote wakakimbia ila nikabaki pale pale nje kwake kumsubiri.
Akatoka akaingia akatoka akaingia nikamwambia nilijua wanakuogopa bure tu huwezi kunifanya chochote nikasepa.
Wakasema hapakuchi ila palikucha na nikaridu Dar safe and sound
 
Sababu ili aweze kulogwa watahitaji vina saba kutoka kwake..mfano jina lake ndo limebeba roho yake, e.t.c hapo akitaja jina tu la kwake na mama yake..ndo mwisho wake..asicheze na hizo imani ambazo hata katika vitabu vitakatifu zimeandikwa
Hamna hayo mambo mkuu.

Jina ni maandishi tu ya herufi kadhaa za kusomeka basi ili kuweza kututofautisha na kutofautisha mtu na mtu, wala halina chochote cha maana, jina ni herufi kadhaa za kutupatia identity tu basi HAKUNA ZAIDI YA HAPO KWENYE IZO HERUFI ZA MAJINA, WALA JINA HALIBEBI ROHO WALA CHOCHOTE ZAIDI YA IDENTITY TU.

pia Biblia haizungumzii huu uchawi tunaoujua sisi huku.
 
Kama kweli upo serious na Milioni 25 za kulogwa,,, basi fanya hivi??

Milioni 5 fanya tangazo likiwa na DETAILS zinazohitajika na WACHAWI,,, weka bango gazeteni, nunua ukurasa pale MWANASPOTI au MWANANCHI... au mtandaoni kama FACEBOOK, Google Adsense au zingine.

Halafu hiyo Milioni 20 inatosha kabisa ndo iwe zawadi.. Na hii unaiweka kwenye Escrow Account mapema kabisa, maana unaweza ukafanywa chizi halafu hela isipatikane tena..

Zaidi ya hapo tuendelee kunywa supu Nyama zipo chini..
Huyu hafanywi kuwa chizi huwa anarogwa kule chini kwenye papuchi yake kuwe kunatoka damu ya hedhi isiyokatika halafu atatafuta waganga wa kumtibu hatoweza kuwapata matokeo yake anaweza kufa asipo rudi hapa tena jukwaani na kueleza yaliyo mkuta.
 
Ta det lugnt vänen.
Nishawahi kuongea hivi kwa mganga maarufu huko Sumbawanga.
Nilimfata kwa heahima tu nikamsalimia kisha nikamwambia ajikite kutibu kwa herbs aache kudanganya watu kwa tunguri.
Hakunijibu akaingia ndani,niliokua nao wote wakakimbia ila nikabaki pale pale nje kwake kumsubiri.
Akatoka akaingia akatoka akaingia nikamwambia nilijua wanakuogopa bure tu huwezi kunifanya chochote nikasepa.
Wakasema hapakuchi ila palikucha na nikaridu Dar safe and sound
Tar det lugnt själv,
Sasa wewe unaomba watu wakuloge utawalipa ndo nini?
Bila kosa lolote,
Utalogwa kweli ushangae binadamu si watu wazuri.
Kuna makabila kila namna humu.
 
WANAVYOFANYA WACHAWI KUMVUJISHA DAMU MFULULIZO MWANAMKE.jpg

KUMVUJISHA DAMU MFULULIZO MWANAMKE​


WANAVYOFANYA UCHAWI HUU
~WANACHUKUA KOPO JIPYA KABISA
LA PLASTIKI AMBALO HALIJAWAHI
KUTUMIWA NA WANALIANDIKA MANENO
HAYA
---------------------------------------------------------------[Nayaficha

kwa sababu ni maneno mazito ya kufru na kuwaapia
mabwana zao wa kishetani kuwatukuza kuwasifu na
kuwaabudia kuwa wao ndyo wenye nguvu kuliko
muumba wala chochote, na mwisho wanamalizia
kuandika jina la binti anayetakiwa kuvujishwa damu na
jina la mamake au km hawamjui mamake hutumika
HAWAA mama wa binadamu wote na wakimaliza kopo
hilo wanalifukiza haltiti,nywele7 za sehemu za siri za
punda mweusi na damu ya hedhi wanachanganya
pamoja na kulifukiza kopo hilo.
Baada ya kumaliza hapo hilo kopo linatobolewa
kwenye kitako na sindanO au msumari mdogo sana kiasi
cha kupata kitobo tuu
Baada ya hapo wanalitundika kopo juu ya mti wowote
na wanalitia maji
ile maji yakidondoka ndo ndo ndo ndo ndo kupitia
kwenye kile kitobo huyu mwanamke ataanza kutokwa na
damu na damu hiyo haikati
Kazi anayoifanya mchawi hapa ni kuongeza maji kila
yakiisha huku mwanamke anaendelea kuteseka kwa
kuvuja damu.......
 
Wengi wenye imani za kishirikina sio timamu. Their whole thought process is illogical. Wanaamini tu kama nyumbu. Story zote za ushirikina ni hearsay na kuaminishana upuuzi tu. Huyo bibi wanaweza hata kumdhuru maskini kwa imani zao za kipuuuzi.

Haidhuru wewe kuanzisha uzi mwingine labda utapata majibu tofauti ila I can assure you utapewa excuses lukuki badala ya kuokoa nguvu na muda kwa kukuroga tu mwenyewe uje kutoa ushuhuda.
Uko sahihi mkuu.
Chakusikitisha sidhani kama wasioamini wanafika 20 jf nzima.
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao[emoji23]

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Kuna watu hatuamini haya mambo ya uchawi ndugu bora hiyo pesa utuweze tufanye biashara angalau kwa uchache.
Wanasilisha.
 
Uko sahihi mkuu.
Chakusikitisha sidhani kama wasioamini wanafika 20 jf nzima.

Sad indeed. Mwaka jana kuna survey ilisema TZ inaongoza kwa imani za kishirikina Africa meaning watu wanaoamini ushirikina upo ila sababu wabongo wengi wana comprehension disorder hawawezi kung'amua mambo wengi walielewa "wabongo wengi ni washirikina." These are two different meanings. Watu ambao hawawezi kung'amua sentence rahisi tu hivi huwezi tegemea wawe rational. Wao wanaamini tu kama nyumbu kila wanachoambiwa.
 
Back
Top Bottom