Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
- Thread starter
- #281
🤣🤣🤣🤣Atatoa kuroga ni kazi kubwa nitamgeuza kuku akileta jeuri😬😁😁
Uzuri hata ukinifanya kuku xmas mbali🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Atatoa kuroga ni kazi kubwa nitamgeuza kuku akileta jeuri😬😁😁
Dah Mkuu mpaka mwili umesisimka yani kuna dada alikuwa anakaa changanyikeni ndio alipata maradhi hayo alipitia kipindi kigumu yule dada japo alienda kuponea pemba hukoView attachment 2615767
KUMVUJISHA DAMU MFULULIZO MWANAMKE
WANAVYOFANYA UCHAWI HUU
~WANACHUKUA KOPO JIPYA KABISA
LA PLASTIKI AMBALO HALIJAWAHI
KUTUMIWA NA WANALIANDIKA MANENO
HAYA
---------------------------------------------------------------[Nayaficha
kwa sababu ni maneno mazito ya kufru na kuwaapia
mabwana zao wa kishetani kuwatukuza kuwasifu na
kuwaabudia kuwa wao ndyo wenye nguvu kuliko
muumba wala chochote, na mwisho wanamalizia
kuandika jina la binti anayetakiwa kuvujishwa damu na
jina la mamake au km hawamjui mamake hutumika
HAWAA mama wa binadamu wote na wakimaliza kopo
hilo wanalifukiza haltiti,nywele7 za sehemu za siri za
punda mweusi na damu ya hedhi wanachanganya
pamoja na kulifukiza kopo hilo.
Baada ya kumaliza hapo hilo kopo linatobolewa
kwenye kitako na sindanO au msumari mdogo sana kiasi
cha kupata kitobo tuu
Baada ya hapo wanalitundika kopo juu ya mti wowote
na wanalitia maji
ile maji yakidondoka ndo ndo ndo ndo ndo kupitia
kwenye kile kitobo huyu mwanamke ataanza kutokwa na
damu na damu hiyo haikati
Kazi anayoifanya mchawi hapa ni kuongeza maji kila
yakiisha huku mwanamke anaendelea kuteseka kwa
kuvuja damu.......
Sasa ukinifanya kuku si utaishia kupata mayai tu😁😁😁Mimi nishamaliza kazi bibie anipe changu vinginevyo bibie anageuka kuku 😬😬😬
Nakuambia hv,Kila Mtu na asili yake,wewe waweza sema hvyo kumbe vizazi vyako vilivyopita vishafanya mambo usidhurikeMkuu nishaishi uswazi.
Sijazaliwa ushuani dear.
Nishaishi nyumba fulani pale magomeni karibu na kwa bibi nyau.Wapangaji wote mpaka kaka yangu alikua akiamin bibi mwenye nyumba ni mchawi ila mim peke yangu ndio nilikua siamini.
Nilikua sina story na mtu na maringo ya kisichana,na katika mabinti mim ndio nilikua na kaz,ilikua ya muda ubaloz fulani.
Nilikua naringa,sina time na mtu na nilikua navaa mtaa mzima naongoza na wamama na vibinti walikua hawanipend wanasema naringa ila mim peke yangu ndio nilikua naweza fua nguo nakuzianika kisha nikatoka nikaziacha.Mimi peke yangu ndio nilikua naacha madumu ya maji ya kuogea yanaishi korido na hakuna kilichowahi kunipata.
Wengine wote wakifua wanalinda nguo eti mtu atachukua uzi awaloge.Maji nilikua naambiwa ninavyoyaacha pale eti nitawekewa kitu nikioga nipate kitu.Nilikua naambiwa nisigaqe nguo au viatu eti watavitumia kuniloga ila nilikua nikivichoka nagawa.Na hapo nilikua mdogo elimu ni form six tu na sina hata exposure niliyonayo leo ila nilikua tu smart kutoamin upuuzi.
Mfyuuuuuu [emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Aah Acha kutusumbua wachawi bwana,mtu mwenye kujenga hekalu na kuweza kitulipa mln 25 wachawi hawezi kuvaa gauni la kama Hilo....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayo ni matumizi mabaya ya mikoba
Siwezi kuogea mavitu sijui ni manini yaje yaharibu my expensive skin bure🤣.wewe maneno mengi nunua hio dawa inaitwa makata....nawa au oga uone utakavyoiloga utatafuta tiba mwenyewe....kama uchawi ni sayansi hio ndio proof yake...
Uchawi wa biblia sio kama huu wenu.Nakuambia hv,Kila Mtu na asili yake,wewe waweza sema hvyo kumbe vizazi vyako vilivyopita vishafanya mambo usidhurike
Kingine km unaamini dini zeu hizi mbili huwezi sema hakuna uchawi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimeolewa.Vipi umeshaolewa?
Uko na watoto wangapi?
Nimeolewa.
Ndio nina watoto.
wako 8 wa tisa njiani.
next question?
🤣🤣🤣Uchawi haupo tulishindwa nini kuwaloga wazungu waliotukamata na kutupeleka utumwani?
nikimalza kukuloga pesa nazikuta sehemu gan umeweka ???Hello Africans.
Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.
Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.
Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).
Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.
Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.
Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.
Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.
Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"
Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.
Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.
UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.
Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.
Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂
Haya kazi kwenu.
NILOGENI
UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Hamna cha asili wala nini.Nakuambia hv,Kila Mtu na asili yake,wewe waweza sema hvyo kumbe vizazi vyako vilivyopita vishafanya mambo usidhurike
Kingine km unaamini dini zeu hizi mbili huwezi sema hakuna uchawi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani nawahurumia wanaojisumbua na uchawi siku wakigundua hakuna lolote la maana huko muda umepita sana.🤣🤣🤣
Acha tu ndugu yangu.
Usinikumbushe vita ya majimaji.tulivyofwekwa kama mende
Na image jogoo atakavyo kukimbiza bibie utavunjika pingiri 😁😬😬Sasa ukinifanya kuku si utaishia kupata mayai tu
Ukipiga ramli utajua zilikonikimalza kukuloga pesa nazikuta sehemu gan umeweka ???
ila mimi nakuongezea tu inayoonyesha ulishalogwa tayar
Cha kusikitisha kuna wanaokua mpaka wanazeeka na kufa wakiwa.wanaamini hayo mamboYaani nawahurumia wanaojisumbua na uchawi siku wakigundua hakuna lolote la maana huko muda umepita sana.
Ukweli ni upiSio kweli mkuu