Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Menorrhagia sio uchawi wala ushirikina au kulogwa

Upande wa hedhi Haya mambo yapo mengi tu kwa wadada ila sio uchawi wala kulogwa. Ni mambo yanachangiwa na vitu kama stress, hormonr imbalance, mambo ya thyroid hormone nk.
uchawi pia upo uchawi wa kumtoa mwanamke damu ya hedhi mfululizo kwa muda wa siku 7 anatokwa na damu kama bomba la maji yanavyo toa maji. Na muda wake ni siku 7 atakufa. Je hiyo Menorrhagia inatoka hivyo?na Je Mwanamke akiwa na hiyo Menorrhagia baada ya siku 7anakufa?
 
Mimi nataka connection.. A. K. A fiber,, jina lako na mama...

Ukiona mganga ana kuomba jina la mama ni hatari sana...


Ila ukitumia jina la baba huwezi kumuua mtu kwa sababu asilimia 65 %, baba wanakua sio wenyewe... Ni wa kubambikwa..
bull to da shit
 
Yeye si ametaka kurogwa? Au mada yake inasemaje,

Una dare kitu halafu unalinda privacy basi uzi wake utakua hauna maana tena
Hajasema anataka kujulikana id yake amesema anataka kulogwa. Kama wewe ni mchawi mloge boss.
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao[emoji23]

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Mboo moja inakutosha tu wewe.
 
uchawi pia upo uchawi wa kumtoa mwanamke damu ya hedhi mfululizo kwa muda wa siku 7 anatokwa na damu kama bomba la maji yanavyo toa maji. Na muda wake ni siku 7 atakufa. Je hiyo Menorrhagia inatoka hivyo?na Je Mwanamke akiwa na hiyo Menorrhagia baada ya siku 7anakufa?
Ingekuwa hiyo nguvu ya uchawi upo na uhalisia namna ivyo mbona tungeisha poteza dada zetu wengi sana kwa kutembea na waume za watu lakini wengi wao wanadunda tu mitaani.

Upotezaji wa damu mfululizo kama bomba la maji hauhitaji hata nusu ya siku 7 ili ufe.

Menorrhagia kwa yenyewe sio fatal, ni shida inatatulika na na kutibika vizuri tuu. Lakini mdada anawezakufa kwa sinario kama hii, mdada akishapata shida hiyo ya hedhi mfululizo bila kikomo ataamini moja kwa moja kwamba kalogwa au kafanyiwa uchawi na mambo ya kishirikina (kwa imani zenu za uchawi mnazo waaminisha humu na kwenye jamii yetu). matokeo yake badala ya kwenda mahali husika (kwenye kituo cha afya) atakimbilia kwa waganga wa kienyeji, huko hatapata utatuzi wa shida yake ya uvujaji wa damu, matokeo yake ataendelea kuvuja damu mpaka anakufa, au kupata shida zingine kama upungufu wa damu nk.

Labda akutane na mganga mjanja mjanja au mganga tapeli, ajue shida yake ni nini kisha ampatie dawa ya kukata izo damu zikatike na kupona kabisa.

Dawa za kustop uvujaji damu ya hedhi zipo na zinauzwa wazi kabisa, wala hazihitaji uchawi, uganga wa kienyeji au ushirikina ili kuzijua au kuzipata.
 
Upotezaji wa damu mfululizo kama bomba la maji hauhitaji hata nusu ya siku 7 ili ufe.

Menorrhagia kwa yenyewe sio fatal, ni shida inatatulika na na kutibika vizuri tuu. Lakini mdada anawezakufa kwa sinario kama hii, mdada akishapata shida hiyo ya hedhi mfululizo bila kikomo ataamini moja kwa moja kwamba kalogwa au kafanyiwa uchawi na mambo ya kishirikina, matokeo yake badala ya kwenda mahali husika (kwenye kituo cha afya) atakimbilia kwa waganga wa kienyeji, huko hatapata utatuzi wa shida yake ya uvujaji wa damu, matokeo yake ataendelea kuvuja damu mpaka anakufa, au kupata shida zingine kama upungufu wa damu nk.

Labda akutane na mganga mjanja mjanja au mganga tapeli, ajue shida yake ni nini kisha ampatie dawa ya kukata izo damu zikatike na kupona kabisa.

Dawa za kustop uvujaji damu ya hedhi zipo na zinauzwa wazi kabisa, wala hazihitaji uchawi, uganga wa kienyeji au ushirikina ili kuzijua au kuzipata.
Wewe usirogwe na mchawi ukawa unatokwa na damu ya hedhi. Utakwenda hospitali kutibiwa hutopona utarudi hapa hapa kushitakia maradhi yako ukifanya mchezo utakufa na tutakupa jina jipya aka RIP. Usicheze na wachawi ogopa sasa hawa viumbe wanaoitwa Wachawi ni viumbe wabaya sana katika hii dunia yetu. Achana na hiyo Menorrhagia inayoweza kutibiwa hospitali na hata dawa za asili.Lakini ukirogwa na uchawi wa kutokwa na damu ya hedhi huwezi kupona kwa dawa za Kizungu na ukifanya mchezo utakufa.
 
Sasa wewe umenipa nyota gani ? Una kitu gani special ?

Shame on you
Acha kubabaikia watu,acha kujilengesha,be creative usiwe mdandiaji,jenga brand yako kwa kutafuta ID yako na sio kutaka shortcut,kifupi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,hata kwenye maisha unaonekana unajipendekeza sana kwa watu coz hujiamini.
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Kumbe wewe ni jike zuri hivo na shundu lipo ila mwandiko wa dume
 
Wewe usirogwe na mchawi ukawa unatokwa na damu ya hedhi. Utakwenda hospitali kutibiwa hutopona utarudi hapa hapa kushitakia maradhi yako ukifanya mchezo utakufa na tutakupa jina jipya aka RIP. Usicheze na wachawi ogopa sasa hawa viumbe wanaoitwa Wachawi ni viumbe wabaya sana katika hii dunia yetu. Achana na hiyo Menorrhagia inayoweza kutibiwa hospitali na hata dawa za asili.Lakini ukirogwa na uchawi wa kutokwa na damu ya hedhi huwezi kupona kwa dawa za Kizungu na ukifanya mchezo utakufa.
mkuu mimi ni ME.

hata ningekuwa mdada, hao watu wenye uwezo huo wa kutoa damu namna hiyo, wanaoitwa wachawi hawapo, zaidi ya kutishana tishana tu.
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao[emoji23]

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Duh unajiamini kitu gani mkuu
 
Acha kubabaikia watu,acha kujilengesha,be creative usiwe mdandiaji,jenga brand yako kwa kutafuta ID yako na sio kutaka shortcut,kifupi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,hata kwenye maisha unaonekana unajipendekeza sana kwa watu coz hujiamini.
Sawa
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Nimependa unavyo jiamini
Binafsi naamini uchawi upo ila siuamini

Na uchawi huumpata yule anayeamini hayo mambo ya kishirikina
 
Back
Top Bottom