Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Huyu mleta mada ajue tu kuwa kitanda usichokilalia huwezi kujua kunguni wake, na asifiaye mvua imemnyea. Huyu anajisemesha tu hajawahi kukutwa na huo mkasa lakini waliopitia huo mtihani hapa huwezi kuwaambia kitu. Quran na Biblia vyote vinakubaliana na uwepo wa uchawi. Fuatilia kisa Cha Musa and et al utapata majibu labda km wewe una abudu miungu.

✓Ila km wewe mleta mada ndiyo hiyo picha Yako nadriki kusema wewe ni mwanga na mchawi uliekubuhu. Mimi nakwambia ukweli. Hapo kwenye mwili wako tu una vitu vingi vya kishirikina ingawa wewe hujui au huoni km ni ushirikina. Siku ukipigwa kipapai usiste kutupa mrejesho.
mbona unalia 😂
 
uchawi upo ila hauna nguvu na huna limit mm mpk hapa naamini uchawi hauna nguvu anesema uchawi una nguvu aje nimuulize 😁😁😁
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Nimemuona kwenye picha !kama ni yako KWELI bas bado hujakua!

Unafikiri watahangaika na hiyo biashara !!?watahangaika na watoto au ndugu wa karibu!utawatibu hadi utaishiwa fedha!!

Watamzingua mumeo mtazinguana hadi kipato kutashuka coz mafanikio mengine yanasababishwa na bond Kati YAKO na huyo ulie nae KWA muda mrefu!!
 
Muhimu kumbukeni hata wachawi huloga mtu potential siyo Kila mtu. Mfano, nani amewahi kuskia kichaa, mlemavu au mtu wa utindio wa ubongov(tahira) nk wamelogwa. Ebu tuwape heshima wachai wote popote walipo Duniani kwani ni watu makini sana. Hufanya upembuzi yakinifu kabla ya kufikia maamuzi, huwa hawakurupuki, wanachukua kilicho Bora. Sawa na Simba mnyama mwitu huwa hali mizogo yeye mizoga huachia fisi.

Kwa Hiyo hakuna sababu ya kujitapa kuwa eti mtu huwezi kulogeka sema tu huna sifa. It means you don't meet their needs.
 
Atajua hajui na vimilioni vyake,
Kuna kuanguka au bafuni kimazingara inakua ntolee unapooza wiki 2 umevuta,
Anaweza kuendesha gari lake mwenyewe likamtupa porini huko ikawa kwaheri.
Watu hawawezi kumloga sababu ya kutukana JF.
Kwanza akipigwa bomu alemae hiyo pesa atailipa vp?
[emoji1][emoji28][emoji28]
Jinga sana
Atukane watu huko mtaani kwao
Au aende kijijini kwao awaambie hayo maneno aone km atabaki salama.
Si hatuna habari nae hapa
Exactly haya maneno aende kijijini kwao akaseme
Mimi sirogi na siwezi mroga maana siupendi uchawi na nachukia wachawi ila akaseme hivi kijijini kwao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Exactly haya maneno aende kijijini kwao akaseme
Mimi sirogi na siwezi mroga maana siupendi uchawi na nachukia wachawi ila akaseme hivi kijijini kwao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hamna anayependa .
Mi nimeuliwa baba zangu ukoo wote, wa mwisho nilikua naye
Mzima tunaagana
Asubuhi namuona huyu hapa anahema.
kumbe kashapigwa huko
mkewe ndo shughuli zake.
ajabu
Wiki 2 nimeondoka huku nyuma nae kafa.
Mkewe kakimbilia kwenye ardhi kubwa.
Kuna makaburi saba pale.
Kilichompata na yeye na wanae.
Kakimbilia kanisani na kukiri uchawi wote aliofanya
Kuua baba zangu.
Ambao wote ni wakwe zake.
Mumewe kammaliza mwisho.
Alafu mtu aseme hamna uchawi
 
ngoja niulize swali, mchawi si amejaliwa kufahamu mambo ya sirini ikiwemo nguvu za giza, tuseme ana uwezo binafsi ambao mwanadamu wa kawaida hana.Sasa ni vipi hao wanaojiita wachawai wasiifanye hii kazi chapu maana wao wamejaaliwa haya maujanja!?

au mimi na mtoa mada ndo hatuelewi dhana ya uchawi?
Wachawi wapi babu malofa tu. Biti nyingi still vipofu tu.
 
Nipe jina lako Kamili la mwanzo na jina la mama ako mzazi.. Inatosha..

Jina La baba ako usinipe
Mkuu analeta joki huyu Jeep rubicon Hawezi kutoa jina lake kamili angelitoa jina lake kamili watu wange mtengeneza kwa kumtoa damu ya hedhi iwe inamwagika kila siku kwa muda wa siku 7 angeitwa jina hili RIP Jeep rubicon.
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
ulogwe mara ya ngapi ulipo tayari habari yako.
 
Kumbe mchawi ni mpaka asaidiwe na muhusika ndio aweze kuroga!

Mkuu umesha fanya wangapi kua vichaa mpaka muda huu?
Halafu waamini uchawi kwanini hua wanaamini kwenye mabaya tu? kwanini usimwambie kua unaweza kumfanya akawa tajiri zaidi?
😀 😀

Utajiri connection pia zipo jogoo na punje za mahindi.
 
Mimi sihitaji majina yako wala chochote kutoka kwako..nairoga hii thread na kombola litakufikia uko uko ulipo
Sasa wewe ndo tunaweza kufanya biashara.
Nasubiri kitu mkuu.
Waambie kabisa nini utanifanya.
Ila usiniue ili nije kutoa ushuhuda😂.
Na ukiweza kuniloga itabidi tukae mezani tuone namna gani tutumie ndumba kupiga hela na ikibidi tutumie uchawi wetu kunufaisha Taifa liwe first world country.
Na usafiri wetu wa ungo nitahakikisha unachuana na KLM,Ethiopian airline na Emirates kuongeza pato la taifa🤣
holy holm Half american Achraf hakim Bufa
 
ngoja niulize swali, mchawi si amejaliwa kufahamu mambo ya sirini ikiwemo nguvu za giza, tuseme ana uwezo binafsi ambao mwanadamu wa kawaida hana.Sasa ni vipi hao wanaojiita wachawai wasiifanye hii kazi chapu maana wao wamejaaliwa haya maujanja!?

au mimi na mtoa mada ndo hatuelewi dhana ya uchawi?
Najiuliza na mim haya maswali mkuu.
Kwa hiyo kumbe bila majina huwezi logwa?
Hivi hakuna anayeweza kutumia hata hii ID yangu kuniloga?
Mbona kuna mtu nilimuona humu akimkanya mwenzie eti awe makini kuna wanga humu wanaloga hadi ID😂.
Kwani mim ni mzito sana hadi washindwe kuloga kupitia japo ID
 
Back
Top Bottom