🤣🤣🤣 asifanye mchezo..na mbaya zaidi mtu akilogwa anakua hajijui ila watu wa pembeni ndo watamsaidia..unaweza pigwa kitu kesho huioni hiyo siku..asicheze na hizo mamboTwende ukakabizishe hizo hela kabisa kwa makubaliano ya kusainishana kisheria alafu nipe majina yako matatu na uzi kutoka kwenye nguo yako.... Niruke pale tunduma chap kwa mzee mmoja anaitwa Nyang'anya Wananyungi Filtahai Bin Nyang'anya, Wewe week tu unabaka mwanafunzi na ndo unakuwa mwanzo wa matatizo yako.
Usije ukafanya utani aiseeh na mambo ya kuroga...unaweza pigwa kitu kesho haifiki..kuwa makini hiyi ni imani za watu kama zilivo zingine.
nipm jina halisi uone kama ni bullshit.Privacy mkuu😂
Honestly siogopi coz those things are bullshit.Havipo
Anaogopa anajua watu Wana utani 😂😂😂nipm jina halisi uone kama ni bullshit.
If it wasnt bullshit you would do your voodoo to get my detailsnipm jina halisi uone kama ni bullshit.
Sababu ili aweze kulogwa watahitaji vina saba kutoka kwake..mfano jina lake ndo limebeba roho yake, e.t.c hapo akitaja jina tu la kwake na mama yake..ndo mwisho wake..asicheze na hizo imani ambazo hata katika vitabu vitakatifu zimeandikwaYeye si ametaka kurogwa? Au mada yake inasemaje,
Una dare kitu halafu unalinda privacy basi uzi wake utakua hauna maana tena
Siogopi.Anaogopa anajua watu Wana utani 😂😂😂
alete aone kuna mwamba since 2007 kapigwa tukio kisa kuiba maandazi na huyo mhusika ajawahi kuonekana mpaka kesho.Anaogopa anajua watu Wana utani 😂😂😂
Siamini.haya mambo ni rahisi kupuuza au kutoamini ila siku yakikukuta yanagharimu sana kujinasua, uzungu wenu ni huko huko ila uchawi upo na unafanya kazi.
sasa huu uzi wanini au umetufanya watoto? tuma pmSiogopi.
Wewe ukiambiwa uandike majina yako humu utaandika dear?
Tuma pm ya anaeomba😂😂Siogopi.
Wewe ukiambiwa uandike majina yako humu utaandika dear?
kutokuamini hakubadili uhalisia we jichanganye uoneSiamini.
Siwez kukupa majina sbb ya privacy.alete aone kuna mwamba since 2007 kapigwa tukio kisa kuiba maandazi na huyo mhusika ajawahi kuonekana mpaka kesho.
Mm pia nimeshukuhudia mtu ni chiz had Leo alipewa matunda mzee mmoja akauza hakupeleka ela akamdhulumu mwenye Shamba Yani ni chizi anavua nguo had hadharanialete aone kuna mwamba since 2007 kapigwa tukio kisa kuiba maandazi na huyo mhusika ajawahi kuonekana mpaka kesho.
Ndo yale yale dear.Tuma pm ya anaeomba😂😂
😂😂😂😂Ndo yale yale dear.
Nitaamini vipi kama.atayaheshimu baada ya kumtumia?
Sasa wanakuroga vipi na wakati vitu wanavyohitaji hutaki kuwapatia....Wape details hizoNdo waniloge sasa ili niwape heshima yao coz sasa hv nawadharau sana