Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Kumbe mchawi ni mpaka asaidiwe na muhusika ndio aweze kuroga!

Mkuu umesha fanya wangapi kua vichaa mpaka muda huu?
Halafu waamini uchawi kwanini hua wanaamini kwenye mabaya tu? kwanini usimwambie kua unaweza kumfanya akawa tajiri zaidi?
😀 😀
Mkuu, ata jina uchawi halimanishi utajiri, kipato, mafanikio, simply uchawi ni uharibifu, magonjwa, yaan kinyume na maendeleo. So navyoona watu wanaweka mpaka 25M eti warogwe, ni kukosa akili kupindukia.
May be, yawezakuwa tunahangaika kusoma uzi wa mtu alietoka kwa mganga wake jana, hapa anataka kupima dawa za mganga wake kama zinafanya kazi.

NIWAKUMBUSHE KITU.
Ata Yesu mwenyew hakujiamini kiasi hiki, aliamin kuwa wachawi wapo. Uchawi si wa Africa tu, uchawi upo karne na karne toka kipindi cha akina Ibrahim, Musa, Suleiman.....Bible na Koroani zinautambua uchawi na zinasisitiza kuuepuka.

Leo mtu mmoja kashiba makande, anaomba arogwe tena kwa dau la 25M, ujinga na upumbavu. Ukitaka kurongwa seriously, usiombe kurogwa bali nenda sehem ambapo inasemekana kuna wachawi wengi anaza kupiga makofi, bibi na babu vizee, dokoa Mali za wazee hovyo, kafanye fujo kule vijijini. Nakuahidi hutarudia kuomba kurogwa.

Kama hujawahi kurogwa Mshukuru Mungu kwanza. Maana si kwamba wew ni mjanja sana, bali Mungu hajakuachilia kwa mikono ya kichawi.
 
Nijibu kwanza swali hili kwanza tujue ujanja wako
Je, kuku watano wakiangalia juu huwa wanaangalia macho mangap?
a. Kumi ( )
b. Matano ( )
c. kuku hawangalii juu ( )
d. Yote ni majibu ( )
e. Hakuna jibu ( )
Kwa hiyonataka mnichoshe kwamza na math ndo mniloge au🤣.
Nilogeni basi
 
Kama kweli upo serious na Milioni 25 za kulogwa,,, basi fanya hivi??

Milioni 5 fanya tangazo likiwa na DETAILS zinazohitajika na WACHAWI,,, weka bango gazeteni, nunua ukurasa pale MWANASPOTI au MWANANCHI... au mtandaoni kama FACEBOOK, Google Adsense au zingine.

Halafu hiyo Milioni 20 inatosha kabisa ndo iwe zawadi.. Na hii unaiweka kwenye Escrow Account mapema kabisa, maana unaweza ukafanywa chizi halafu hela isipatikane tena..

Zaidi ya hapo tuendelee kunywa supu Nyama zipo chini..
Ingependeza kama hizo info babu azipate kwa ramli.
Mimi nawa challenge wachawi wa JF.
Huko gazetin sina muda
 
Sasa nikikuroga hiyo pesa utanipaje?
Unafaidika na nini kutumia ID inayofanana na yangu? si ulisema utabadili?

Hivi JamiiForums mmeshindwa kushughulikia hii issue?
ID moja mnatoa kwa member wawili?
Maxence Melo Moderator Active BlackBold Boqin Paw

Kama hamuwezi kushughulikia hii issue basi pigeni life ban ID yangu,huenda ikawapendeza zaidi,hii issue nimesha report sana tu ila hata japo kunijibu tu sijapata jibu lolote lile!
 
Mkuu, ata jina uchawi halimanishi utajiri, kipato, mafanikio, simply uchawi ni uharibifu, magonjwa, yaan kinyume na maendeleo. So navyoona watu wanaweka mpaka 25M eti warogwe, ni kukosa akili kupindukia.
May be, yawezakuwa tunahangaika kusoma uzi wa mtu alietoka kwa mganga wake jana, hapa anataka kupima dawa za mganga wake kama zinafanya kazi.

NIWAKUMBUSHE KITU.
Ata Yesu mwenyew hakujiamini kiasi hiki, aliamin kuwa wachawi wapo. Uchawi si wa Africa tu, uchawi upo karne na karne toka kipindi cha akina Ibrahim, Musa, Suleiman.....Bible na Koroani zinautambua uchawi na zinasisitiza kuuepuka.

Leo mtu mmoja kashiba makande, anaomba arogwe tena kwa dau la 25M, ujinga na upumbavu. Ukitaka kurongwa seriously, usiombe kurogwa bali nenda sehem ambapo inasemekana kuna wachawi wengi anaza kupiga makofi, bibi na babu vizee, dokoa Mali za wazee hovyo, kafanye fujo kule vijijini. Nakuahidi hutarudia kuomba kurogwa.

Kama hujawahi kurogwa Mshukuru Mungu kwanza. Maana si kwamba wew ni mjanja sana, bali Mungu hajakuachilia kwa mikono ya kichawi.
Daah
 
Mie nadhani kwa kua umepania kuwa prove kua hicho kitu hakipo ungefata yale wanayokuelekeza wao, kitendo cha kukataa inaonesha hata wewe una mashaka na unachokidai,

Weka Jina lako, la Mama yako waongezee na picha yako kuna mwingine kasema uweke uzi wa nguo yako kisha mkaandikishiane sehemu,

Wafanyie hayo watakayo kisha tukae tuone matokeo hata mie nina hamu ya kujua kama inawezekana ama haiwezekani.
25M ni nyingi dear.
They have to work for it.
Pia its about my privacy.
Na ingekua mim ndio mchawi ningetaka kum impress mtu mbishi kwa kumtajia hadi jina lake la utotoni na la mama yake maana wasije wakacheza na IT kujua makina then wajifanye ulozi.
Wao si wachawi!
Si nasikia wanaweza hadi kukulisha nyama kimazingara sijui kupaa na ungo?
Kweli washindwe kujua majina yangu plus la mama yangu?
 
Mkuu, Technologically hizi ID hazifanani kabsa.
Yako : The Icebreaker (haina space, pia I ni capital)
Ya jamaa: The ice breaker (ina space, pia i ni small letter.

So, Database inazitambua kama 2 tofauti kabsa.....
Hilo nalielewa ila inasomeka ni ile ile tu,kwanini mtu adandie jina la mwingine? kwanini mtu asitengeneze jina lake yeye kama yeye na alibrand badala yakudandia? huyo aliyejiita hivyo amekopi makusudi na kubadili kidogo tu ili kukwepa jina kua rejected technologically.
 
Back
Top Bottom