Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Kaa utulie ule mema yako uchawi upo,
Hujawai kulala ndani ukajikuta umelala juu ya bati?
Hamna anaeanza kukuloga bila sababu
Hyo ya kulala ndani kuamka nje
Amuulize Mzee wa Msoga kilichomkuta Kwa mkewe,alivoenda msibani kwetu Lindi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji122]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
mwandiko wa kiume atachment ya kike mwe mwoga bana..weka details unapoishi tunakuloga kwa kukuangalia tu.....tunaanza kukata huo uchumi tunakuloga na maneno...kama huamini uchawi nilikuwa kama wewe..nipo zangu shy vijijini huko mnadani wanauza hizi dawa hadharani kabisa...yule muuzaji nkamwandia kama ulivyosema hapa..akajibu shika hii diwa inaitwa makata ipo kwenye chupa na niya blue akasema kaogee uone...aisee ile kushika ile dawa SIKU HIO SIKUUZA ZAIDI YA KUTUMIA HELA TU...siku ilikuwa ya mikosi balaa...na wewe kajaribu kishika au kuogea alafu uje usema uchawi haupo...mtu anaweza kukuwekea mahala hayo maji japo sijui ukayashika ukabaki na mikosi...
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Aise jf is not for everyone, very funny😂 Sasa tukuroge Ili iweje
 
Unafaidika na nini kutumia ID inayofanana na yangu? si ulisema utabadili?

Hivi JamiiForums mmeshindwa kushughulikia hii issue?
ID moja mnatoa kwa member wawili?
Maxence Melo Moderator Active BlackBold Boqin Paw

Kama hamuwezi kushughulikia hii issue basi pigeni life ban ID yangu,huenda ikawapendeza zaidi,hii issue nimesha report sana tu ila hata japo kunijibu tu sijapata jibu lolote lile!
Dogo acha miyeyusho basi.. Sasa unaniuliza Mimi nanufaidikaje unataka nikujibu vipi ? Kama unaona mm napata faida badilisha wewe..

Mimi nimeshindwa kubadilisha, ndio maana unaona Bado lipo Hilo jina, Au unafikir nimefanya maksudi kutumia Hilo jina..

Lawana usinipe Mimi, wape wenye mandatory ya kuamua nani, atumie jina gani
 
Hyo ya kulala ndani kuamka nje
Amuulize Mzee wa Msoga kilichomkuta Kwa mkewe,alivoenda msibani kwetu Lindi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji122]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Atajua hajui na vimilioni vyake,
Kuna kuanguka au bafuni kimazingara inakua ntolee unapooza wiki 2 umevuta,
Anaweza kuendesha gari lake mwenyewe likamtupa porini huko ikawa kwaheri.
Watu hawawezi kumloga sababu ya kutukana JF.
Kwanza akipigwa bomu alemae hiyo pesa atailipa vp?
😄😅😅
Jinga sana
Atukane watu huko mtaani kwao
Au aende kijijini kwao awaambie hayo maneno aone km atabaki salama.
Si hatuna habari nae hapa
 
mwandiko wa kiume atachment ya kike mwe mwoga bana..weka details unapoishi tunakuloga kwa kukuangalia tu.....tunaanza kukata huo uchumi tunakuloga na maneno...kama huamini uchawi nilikuwa kama wewe..nipo zangu shy vijijini huko mnadani wanauza hizi dawa hadharani kabisa...yule muuzaji nkamwandia kama ulivyosema hapa..akajibu shika hii diwa inaitwa makata ipo kwenye chupa na niya blue akasema kaogee uone...aisee ile kushika ile dawa SIKU HIO SIKUUZA ZAIDI YA KUTUMIA HELA TU...siku ilikuwa ya mikosi balaa...na wewe kajaribu kishika au kuogea alafu uje usema uchawi haupo...mtu anaweza kukuwekea mahala hayo maji japo sijui ukayashika ukabaki na mikosi...

Atajua hajui na vimilioni vyake,
Kuna kuanguka au bafuni kimazingara inakua ntolee unapooza wiki 2 umevuta,
Anaweza kuendesha gari lake mwenyewe likamtupa porini huko ikawa kwaheri.
Watu hawawezi kumloga sababu ya kutukana JF.
Kwanza akipigwa bomu alemae hiyo pesa atailipa vp?
😄😅😅
Jinga sana
Atukane watu huko mtaani kwao
Au aende kijijini kwao awaambie hayo maneno aone km atabaki salama.
Si hatuna habari nae hapa
Basi uchawi haupo maana mmeshindwa kudhibitisha, umepanic
 
Dogo acha miyeyusho basi.. Sasa unaniuliza Mimi nanufaidikaje unataka nikujibu vipi ? Kama unaona mm napata faida badilisha wewe..

Mimi nimeshindwa kubadilisha, ndio maana unaona Bado lipo Hilo jina, Au unafikir nimefanya maksudi kutumia Hilo jina..

Lawana usinipe Mimi, wape wenye mandatory ya kuamua nani, atumie jina gani
Wewe ni mpuuzi acha kusafiria nyota za watu,Jijengee himaya yako,usirudie tena kuniita dogo, pumbavu.
 
Huyu mleta mada ajue tu kuwa kitanda usichokilalia huwezi kujua kunguni wake, na asifiaye mvua imemnyea. Huyu anajisemesha tu hajawahi kukutwa na huo mkasa lakini waliopitia huo mtihani hapa huwezi kuwaambia kitu. Quran na Biblia vyote vinakubaliana na uwepo wa uchawi. Fuatilia kisa Cha Musa and et al utapata majibu labda km wewe una abudu miungu.

✓Ila km wewe mleta mada ndiyo hiyo picha Yako nadriki kusema wewe ni mwanga na mchawi uliekubuhu. Mimi nakwambia ukweli. Hapo kwenye mwili wako tu una vitu vingi vya kishirikina ingawa wewe hujui au huoni km ni ushirikina. Siku ukipigwa kipapai usiste kutupa mrejesho.
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Mshana Jr hatimae kazi imepatikana kaka
 
Back
Top Bottom