13k yaani nauli ya ndege iwe elfu 13 au hujui hiyo 'k' ni nini, kuna charges ambazo kila abiria analipia uwanja wa ndege zinazidi hata hiyo 13k kuna gharama za wakala kukatisha tiketi hapo hapo.Hata kama ikiwa 13k mpaka 15k afadhali,kuliko wanavyofanya sasa.
Huna namba zao uwapigie?Ile ya Dar to Chato kwa 40,000/= mlifikia wapi?
Mia 30k, sorry mama.13k yaani nauli ya ndege iwe elfu 13 au hujui hiyo 'k' ni nini, kuna charges ambazo kila abiria analipia uwanja wa ndege zinazidi hata hiyo 13k kuna gharama za wakala kukatisha tiketi hapo hapo.
Sijui kama umeangalia swala la operational costs. Ndege kuruka ina gharama kubwa sana. Fuel, Pilots (ndege ikiruka na kutua wanalipwa), kuna flight attendants, Hanger Costs, Maintenance Cost. Hiyo narrative ya uchumi "lower the cost, demand iongezeke" haipo applicable kila sehemu.Ni suala la kitalaamu kiuchumi ambalo lipo katika maisha ya kila siku. Kwamba bei ikiwa ndogo uwezo wa kulipia huduma huwa mkubwa na kuongeza soko.
Kwa hiyo ili kuruhusu soko kubwa lipanuke na kuweza kupata wateja wengi ni vyema Atcl wakashusha bei kama ilivyokuwa kwa Fastjet.
Mfano kama ikiwezekana mtu kusafiri kwa laki na nusu toka Mwanza mpaka Dar Atcl wanaweza kuwa na trip zaidi ya nne kwa siku Dar to Mwanza.
Fastjet mbona waliweza? Hata Usa na EUROPE kuna low price airliners kibao na zinafanya kazi kwa faida.Sijui kama umeangalia swala la operational costs. Ndege kuruka ina gharama kubwa sana. Fuel, Pilots (ndege ikiruka na kutua wanalipwa), kuna flight attendants, Hanger Costs, Maintenance Cost. Hiyo narrative ya uchumi "lower the cost, demand iongezeke" haipo applicable kila sehemu.
Ndege nayo inaunywaji mafuta, the bigger the engine the more fule it consumes.
Ndio ndege za low budget Ulaya zipo, ila wame-minimize costs of operations na nyingi za hizo ndege wamepunguza cabin space. Fastjet hawakuwa na positive balanced accounts na ndio maana mwisho wa siku, the business operations siezed na Tanzania wakaondoka kabisa.Fastjet mbona waliweza? Hata Usa na EUROPE kuna low price airliners kibao na zinafanya kazi kwa faida.
Umefuatilia ripoti ya CAG?Ndio ndege za low budget Ulaya zipo, ila wame-minimize costs of operations na nyingi za hizo ndege wamepunguza cabin space. Fastjet hawakuwa na positive balanced accounts na ndio maana mwisho wa siku, the business operations siezed na Tanzania wakaondoka kabisa.
Kwa ndege zilizopo za ATCL hakuna bei inaweza pungua.