ATCL watolea ufafanuzi kuhusu hali ya tairi la ndege iliyosambaa Katika Mitandao ya Kijamii

Hapa tunaomba wajibu hii fact. Ina maana toka tar 19 Hadi tar 23 ndege imefanya mruko mmoja tuu? Na mdau unasema tairi lilikuwa hivyo hivyo. Sasa maana yake kipara kipo kabla ya tar 19.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Wamejibu vizuri hasa hapa kwa kumshukuru aliyetoa taarifa😀😀

Baada ya kushukuru hapo huko kwengine wamepuyanga.Hasa hapa walipoona kutueleza sisi walipa kodi bila ushahidi kuwa tairi lile lina mruko mmoja?

Kwa akili zao wataanza kuwaambia watu kuzima simu...kama watu flani pale Kigongo-Busisi.
 
Hapa tunaomba wajibu hii fact. Ina maana toka tar 19 Hadi tar 23 ndege imefanya mruko mmoja tuu? Na mdau unasema tairi lilikuwa hivyo hivyo. Sasa maana yake kipara kipo kabla ya tar 19.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hata mimi nimejiuliza.Tunamshukuru sana Member mwenzetu kulitupia hilo.
 
Picha ya tairi tafadhali.
Pitia huu uzi hapo chini:-
 
Kwa kulika kule, sio kwamba ndo imebainika, ile ni muda mrefu tu.
Badilisheni tyres. Vipara mtuachie wenye corolla
... tena kwa matumizi ya taxi bubu mjini au kubebea majani ya mifugo!
 
Duh, yani ndege inaruka na tairi kipara kwa mujibu wa miongozo ya watenngenezaji!!! Maajabu ya Dunia hayo
 
Hapa ndio leo nimegundua kuwa hatuna vyombo vinavyoshugulikia .
Ile picha ilipigwa na abiria akiwa anaenda safari yake.
Je wanahakikishaje ulikuwa mruko wa kwa kwanza. Yaani wanasema kabla ya huo mruko haikuwa kipara, means asubuhi au jana yake haikuwa kipara?
Yaani ilipotaka kuruka ikiwa kipara . Then waka count one.
Nonsense
 
Majibu yao yanashangaza sana
 
Hii nchi hajawahi kuwa serious, yaan unafiki kila kona. Gurudumu ni kipara, suluhisho ni kubadilisha na sio kuja propaganda kama hizo, hakuna gari ya kiongozi ina Gurudumu kipara kwenye ndege wanaona ni sawa tu. ATCL kuwen serious basi badililisheni hilo tyre wote tunajua huo n mruko wa 800
 
Aisee unaongea maneno makali sana mkuu,yanachoma mpaka kumoyo, na kweli viongozi ndio wanavyotuchukulia,embu ona huyu msemaji wa ATCL amekuja na majibu mepesi kwa maswali magumu
 
Kifuatacho ITV ndio hicho,switch your phone off,kazi kwao wapanda ndege
 
Hakuna traffic wa kuwakagua vipara ndiyo maana...
 
Acheni ukanjanja. Badilisheni hilo tairi. Msilete U-miky mouse hewani. Mchubuko umevuka hata hizo nyuzi.
Accept responsibility and change the tyre immediately before the unknown happens.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…