ATCL watolea ufafanuzi kuhusu hali ya tairi la ndege iliyosambaa Katika Mitandao ya Kijamii

Taili liwe la ndege,gari au baskeli, kashata zake zinapofutika na kubaki kipara ni LAZIMA libadirishwe !! Huu utetezi wa kitoto haukubaliki kokote na nina hakika hata Bombardier wenyewe watawashangaa Air Tanzania kwa kutetea uzembe na kuhatarisha maisha ya abiria. Huu utetezi fyongo haukubaliki kabisa.... bora wangekiri tu kuwa hawana pesa za kununua taili jipya.
 
Unajua kwa hapa TZ ukiwa na cheo kidogo unaweza badili maji ukasema divai na watu wakaamini tqiri inaonekqna kabisa ina kipara Leo hii unadangqnya uma kwakusema haina shida .....seriously... kama ile tairi nliyona na kipara chake basi hata tairi za daladala ambazo traffic anasema ni kipara zina qfadhqli mara 100
 
Hilo swali hata mimi nimejiuliza... ingetakiwa tairi libadirishwe haraka sana kabla ya nyunzi kuonekana kuliko kusingizia manufactures guidance.
Hawa umbwa bwana yaani tairi limekwisha wao wanasubiri manufacturer guidance
 
Ni nani anasimamia kwa Karibu kuhakikisha hayo yote yanafanyika kila siku kwa ufanisi?

Uhai wa watu ni muhimu kuliko maelezo jamani
 
Badilisheni tyre bana, ndege hazina blah blah kama daladala
 



 
Focus ni miongozo au Hali Halisi iliyopo, Leo wanakwambia ulikuwa mruko wa kwanza, jaman huu si uongo mkubwa Kabsa.. tunakuaminije?? Mnapokosea kubalin na kurekebisha tatizo, mnasubir miruko 7, hya abiria Kazi kwenu
 
Ingekuwa enzi zetu Melo angekuwa anayea ndoo Keko hadi amlete Member aliyedukua magurudumu ya muundombinu was kitaifa

Dunia inakwenda kasi sana.
 
Sawa, wabadilishe tairi basi, wasisubiri matatizo yatokee ndio waunde timu ya uchunguzi.
 
Kwa maelezo hayo,means hilo tairi ni bado jipya,litatumika mpaka lifike michubuko 8!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…