Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Taarifa za kiboya?Ngoja tuwe na subra.Jiwe alikuwa rais wa hovyo sana,lkn katika kudhibiti taarifa za kiboya kama hizi nilimsifu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa za kiboya?Ngoja tuwe na subra.Jiwe alikuwa rais wa hovyo sana,lkn katika kudhibiti taarifa za kiboya kama hizi nilimsifu....
Jiwe alikuwa rais wa hovyo sana,lkn katika kudhibiti taarifa za kiboya kama hizi nilimsifu....
Andika kwa utii basi tuupate ujumbe wako ipasavyo,🤔 au yupo anayekukimbizaATCL inasmemekana imefikisja rasm baada ya ndege 3 kukamatwa Kwa SBB ya madeni wakati ndege zingine zikiwa mabovu..hivyo kuasabaisha safari nyingi kufutwa bila kutoa taarifa Kwa wateja.Hapa mwanza..bukoba na chato wasafiri wanapigwa danadana kama enzi za fast jet.Je serikali kwanini inatidhika na ujinga huu?
Ulichoandika hapa ni kama kuna mtu alikuwa anakufukuza hivi!ATCL inasmemekana imefikisja rasm baada ya ndege 3 kukamatwa Kwa SBB ya madeni wakati ndege zingine zikiwa mabovu..hivyo kuasabaisha safari nyingi kufutwa bila kutoa taarifa Kwa wateja.Hapa mwanza..bukoba na chato wasafiri wanapigwa danadana kama enzi za fast jet.Je serikali kwanini inatidhika na ujinga huu?
R.I.P MagufuliATCL inasmemekana imefikisja rasm baada ya ndege 3 kukamatwa Kwa SBB ya madeni wakati ndege zingine zikiwa mabovu..hivyo kuasabaisha safari nyingi kufutwa bila kutoa taarifa Kwa wateja.Hapa mwanza..bukoba na chato wasafiri wanapigwa danadana kama enzi za fast jet.Je serikali kwanini inatidhika na ujinga huu?
Si ndio akampa umaarufu Kigogo na Mange Kimambi, taarifa zikawa zinaaminika tena zaidiJiwe alikuwa rais wa hovyo sana,lkn katika kudhibiti taarifa za kiboya kama hizi nilimsifu....
We ni mungo nd maana hata keyboard imekusaliti😀😀ATCL inasmemekana imefikisja rasm baada ya ndege 3 kukamatwa Kwa SBB ya madeni wakati ndege zingine zikiwa mabovu..hivyo kuasabaisha safari nyingi kufutwa bila kutoa taarifa Kwa wateja.Hapa mwanza..bukoba na chato wasafiri wanapigwa danadana kama enzi za fast jet.Je serikali kwanini inatidhika na ujinga huu?
Lakini watu walisafiri mbona mamb mengine yalikua clear tu acha chuki yeye mseme kwenye democrasia tuJiwe alikuwa rais wa hovyo sana,lkn katika kudhibiti taarifa za kiboya kama hizi nilimsifu....