Tetesi: ATCL yafilisika rasmi, haina ndege za kutosha baada ya ndege tatu kukamatwa. Wanaghairisha safari bila taarifa

Tetesi: ATCL yafilisika rasmi, haina ndege za kutosha baada ya ndege tatu kukamatwa. Wanaghairisha safari bila taarifa

ATCL inasmemekana imefikisja rasm baada ya ndege 3 kukamatwa Kwa SBB ya madeni wakati ndege zingine zikiwa mabovu..hivyo kuasabaisha safari nyingi kufutwa bila kutoa taarifa Kwa wateja.Hapa mwanza..bukoba na chato wasafiri wanapigwa danadana kama enzi za fast jet.Je serikali kwanini inatidhika na ujinga huu?
Economic hitmen wapo kazini. Kazi zao ni kutengeneza matatizo ya umeme, usafiri wa anga. Lengo ni kuhakikisha nchi inatembelea kiuno! Na bado maana zile ndege za cash wapinzani walimzodoa Dkt Magufuli
 
Bukoba hali ya hewa mbaya leo. Nimesubiri mtu akanambia wamepelekwa hotelini hawawezi kuondoka mpaka kesho. Kulikuwa na mvua kubwa
Safari ya jana saa saba Bukoba to Dar imetimia leo jioni. Aliyetakiwa kufika jana saa kumi kasoro jioni kafika leo saa kumi na mbili jioni. Hali ya hewa ilichangia
 
Namimi navizia ile "Dirimulaina" nawadai pia.
Ikiingia tu kwenye anga zangu naipiga pini halafu naigeuza kuwa flying Casino.

Tuendelee kupambana na marehemu.
 
Hali sasa ni mbaya Atcl imeshusha kutoka trip 6hadi tatu kwenda mwanza.Na Kati ya hizo tatu mbili ni za usiku na moja ni ya lafajili Sana..Je airbus bado zimekamatwa?Je zile zenye matatizo ya engine nazo ziko wapi!
 
Back
Top Bottom