Athari ya Mkuu wa Nchi kuonesha upande anaoshabikia waziwazi, ni ligi kuwa ya kichawa

Athari ya Mkuu wa Nchi kuonesha upande anaoshabikia waziwazi, ni ligi kuwa ya kichawa

Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.
Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli.
TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.
Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake .
Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.
Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.
Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.
Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.

Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu
Nyinyi badala ya kuwaita Mbumbumbu FC, sasa tutawaita Visingizio Fc!! Maana kila kukicha, mnakuja na visingizio vipya.
 
Mnachukua wachezaji wengi sio vipaji mnataka kulazimisha angalia wale Yanga anatoka mtu anaingia mtu ule mfaulo wa Babu Chama hata ulikua haueleweki kama unatoka au unaingia ndani...
Basi tufanye sisi hatuna wachezaji ni timu ya kuokoteza tu.
 
Unaweza usione au kanona athali ya mkuu wa nchi kujionesha wazi yuko upande wa Yanga.

Watu hawasemi wazi lakini ndio ukweli. TFF na vyombo vyake wako kumpa Furaha mkuu.

Kila Mtu anataka kuwa Chawa kwa nafasi yake. Leo Derby ya Kariakoo Haina tena mvuto.

Kama vile siasa za Tanzania ambavyo zimepoteza mvuto ndivyo mpira nao unapoteza mvuto.

Imagine kwa hapa ligi ilipo tayari Simba hawana tumaini la ubingwa Na hali hii itafanya hâta ushindani upotee kwa zaidi ya miezi saba ligi itakosa ushindani.

Ni kama vile siasa zilivyo dorora tu.

Marefa wanakuja na maelekezo ya kumfurahisha mkuu.
Kolo Utalia sana, Mpira ni Kiwango, Yanga wana Viwango

Mpira sio usajili usio na tija

Sasahivi AZAM ndio Mpinzani wetu mkubwa, ninyi ni Wateja wetu...tumeshachoka kuwafunga kila mara 🤣🤣🤣🤣

Cry More
 
Simba ipo vizuri hakuna anae sema kikosi cha simba nikibovu .
Soma threads nyingine watu wanalaumu mchezaji mmoja mmoja. mechi iliyopita hadi kuna mliowatuhumu kuwa wamehongwa walikuwa hawajitumi pia.
Sasa jamani hebu chagua moja. tunaroga, tunahonga, tunabebwa, kocha mbovu, wachezaji wabovu au refa ndiye shida au mo analeta janja janja?
Chagua moja maana mara timu mnaiponda, mara tunabebwa hamweleweki ndio maana mnakuwa kama mfa maji.
 
Unaelewa maana ya kimataifa ? Au ushabiki tu[emoji848]
Naelewa Sana ila shirikisho siyo pa kumtishia mwezako na kutamba kwamba ujikite kimataifa maana hilo kombe ni la waliofeli...wanaume wa soka wapi kilabu bigwa Nako ndo kimataifa maana ni michuano ya mabigwa tupu.
 
Kosa ni kocha kumtoa mshambuliaji Kibu aingie Kijili kuzuia wasifungwe ndio maana walishambuliwa sana zile dakika na wala sio kosa la kipa..
Mistake imeanza walipomtoa Kagoma, Kiungo yote ikamilikiwa na Mafundi na Mabingwa wa mpira Yanga, Makolo hawana Midfielder / Holder wa mpira katikatika......Mabeki wakipata mpira ni kupiga tu mbele na kukimbia 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom